Ukatili
5 October 2023, 10:23 am
Wanahabari Pemba watakiwa kuibua changamoto za wananchi
Waandishi wahabari kisiwani Pemba wametakiwa kusaidia jamii kupambanana na udhalilisha wa aina yoyote ile sambamba na kutoa elimu juu ya vitendo hivyo ambavyo bado vimo ndani ya jamii. Na Khadija Rashid Jumuiya ya KUKHAWA kisiwani Pemba imezitaka kamati za kuibua…
12 September 2023, 9:02 pm
Vyombo vya maamuzi kikwazo mapambano dhidi ya ukatili Geita
Na Mrisho Sadick – Geita Naibu waziri wa maendeleo ya Jamii , jinsia, Wanawake na makundi maalumu Mwanaidi Ali Khamis amevitaka vyombo vya kutoa maamuzi kuharakisha uchunguzi nakutoa uamuzi wa kesi mbalimbali za vitendo vya ukatili ili kuepuka kupoteza ushahidi…
12 September 2023, 1:57 pm
Wanamtandao Pemba waaswa kuendeleza mapambano dhidi ya udhalilishaji wa kijinsia
Matendo ya udhalilishaji kisiwani Pemba bado yapo hivyo kumekuwa na mtandao maalum wa kupinga matendo hayo kwa kufuatilia kesi hizo na kutoa elimu ili kuhakikisha jamii inabaki salama. Na Amina Masoud Wanamtandao wa kupinga udhalilishaji wa kijinsia kisiwani Pemba wametakiwa…
12 September 2023, 1:37 pm
Hatma ya watoto wa kike waliopata ujauzito katika umri mdogo
Mimba za utotoni ni miongoni mwa sababu zinazosababisha wasichana wengi kutotimiza ndoto zao huku takwimu zikionesha asilimia 40 ya wasichana huacha masomo kutokana na mimba, hii ni kwa mujibu wa utafiti wa mwaka 2016 wa Human Rights Watch. Frida Mwaipopo…
1 September 2023, 11:16
Wanafunzi walia na ukatili wa kijinsia Kigoma
Katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia, Shirika la Maendeleo ya Vijana mkoani Kigoma KIVIDEA limeendelea kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili kuwapa elimu ya kujitambua ili waweze kuepukana na vitendo vya ukatilii. Na,…
26 August 2023, 9:24 pm
Bunda: ajinyonga aacha watoto na mke
Akutwa amejinyonga nyumbani kwa wazazi wake chanzo hakijajulikana aacha mke na watoto wawili Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Kija Hamis Machilu {29} mkazi wa Kitaramanka kata ya Sazira Bunda mjini amepoteza maisha kwa kujinyonga nyumbani kwa…
23 August 2023, 3:44 pm
Akutwa amepoteza maisha kwenye pagale ”wananchi wafunguka”
Mtoto mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 10 hadi 12 amekutwa amefariki na mwili wake kutelekezwa katika jengo Moja la shule ya Elly’s iliyopo mtaa wa mbugani kata ya manyamanyama halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara…
23 August 2023, 2:53 pm
Matukio ya udhalilishaji yaongezeka kwa 32.3% Zanzibar
Na Ahmed Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema pamoja na kupiga vita dhidi ya matukio ya udhalilishaji na ukatili kwa wanawake na watoto lakini bado matukio hayo yanaongezeka kila siku. Kwa mujibu wa takwimu za makosa ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kutoka…
23 August 2023, 12:03 am
Serengeti: Kifo cha kusikitisha mtoto aliyetelekezwa nje ya nyumba ya babu yake
Mtoto wa mwaka mmoja na miezi 6 Ismail Erasto amefariki dunia katika kifo cha kuhuzunisha na kusikitisha baada ya bodaboda kwenda kumtelekeza nje nyumbani kwa babu yake kijiji cha Mabuli wilaya ya Serengeti Na Edward Lucas Tukio la kusikitisha na…
22 August 2023, 4:11 pm
Adaiwa kuuawa na mpenzi wake, mwili watelekezwa ndani Bunda
Jeshi la polisi mkoa wa Mara linaendelea kumtafuta mhusika wa tukio hilo huku akibainisha baadhi ya vitu vilivyopotea katika nyumba ya marehemu vimekamatwa wilayani Serengeti. Na Adelinus Banenwa Jeshi la polisi mkoani Mara linamtafuta mwanaume mmoja anayetuhumiwa kumuua mwanamke aliyetajwa…