Ukatili
11 May 2022, 2:02 pm
Wasichana wahofia kuripoti vitendo vya ukatili
Na;Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa asilimia kubwa ya wasichana hawaripoti vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa kwa kuhofia kudhalilika. Taswira ya habari imezungumza na Mkaguzi wa polisi Christer yasinta Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Polisi Mkoa wa Dodoma ambapo…
28 September 2021, 2:11 pm
Kaskazini Unguja yashauriwa kupinga vitendo vya udhalilishaji
Uingijaji wa wageni kiholela ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja ndio chanzo cha kuwepo Utelekezaji wa familia. Na Vuai Juma. Serekali ya mkoa wa kaskazini unguja imeshauriwa kuweka mikakati Madhubuti kwa wageni wanaoingia katika maeneo ya mkoa huo ili kuondoa…
21 April 2021, 12:50 pm
Dodoma jiji kucheza na Azam FC kesho uwanja wa Jamhuri Dodoma
Na; Matereka Junior Makocha wa timu zote mbili Dodoma jiji na Azam fc wamezungumzia maandalizi yao ya mwisho kuelekea mchezo wao wa kesho Alhamis katika uwanja wa Jamhuri.