Ukatili
20 February 2023, 13:11 pm
Kisa cheje auwawa na kutupwa kando ya bahari
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limesema linaendelea kufanya uchunguzi wa mauaji ya mwanaume mmoja aitwaye Abdul Shaa Abdulmajidi mwenye umri wa miaka 47, ambaye amekutwa akiwa amefariki baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali kichwani na mtu au watu…
17 February 2023, 1:48 pm
Simiyu: Askari aliyejeruhi mwanae afikishwa mahakamani
Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu mwenye no H.4178 PC Abati Benedicto Nkalango miaka (27) aliyempiga mwanae mwenye miaka( 7) mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Herbeth Gappa English Mediam na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili…
19 December 2022, 8:47 am
Wadau watakiwa kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili
Na; Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ameitaka jamii, wadau kwa nafasi zao kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikitokea katika maeneo mbalimbali nchini. Dkt. Jingu ameyasema hayo…
8 December 2022, 5:25 pm
Jumla ya kesi 35 za Ukatili wa kijinsia za fikishwa mahakamani na kutolewa hukum…
KATAVI Jumla ya kesi 35 za ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa watoto mkoani Katavi zimesikilizwa na kutolewa hukumu mahakamani katika kipindi cha mwezi Januari mpaka mwezi Novemba 2022. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa jeshi la polisi mkoa…
8 December 2022, 5:48 am
Dc Moyo Athitibisha- Mama Na Binti Yake Kushikiliwa Na Jeshi La Polisi Kwa Tuhum…
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Egria Ngalawa kwa tuhuma za kumtoa mimba binti yake mwenye umri wa miaka 17 na kufukia kichanga Kwenye banda la kufugia nguruwe lililopo nyuma ya nyumba yao katika…
1 December 2022, 7:49 am
Mila na desturi kandamizi bado ni hatari kwa jamii
Na; Lucy Lister. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wananchi jijini Dodoma wameeleza kuwa,bado kuna mila na desturi zinazokandamiza ustawi wa mtoto wa kike na mwanamke ikiwemo ukeketaji,kurithi wajane na kutopewa…
29 November 2022, 8:14 pm
Ukatili wa kingono sababu ya mimba za utotoni Katavi
KATAVI Ukatili wa kingono umetajwa kuwa ni chanzo kimoja wapo cha mimba za utotoni Mkoani Katavi ambapo jamii imehaswa kuwalinda watoto. Hayo yamesemwa na afisa maendeleo ya jamii Joshua Sankala alipokuwa kwenye uzinduzi wa siku kumi na sita za kupinga…
26 November 2022, 7:50 pm
Katavi yajipanga kukabiliana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia.
KATAVI Serikali mkoani Katavi imesema imejipanga katika kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto kwa kutoa elimu kwa wananchi. Hayo yamesemwa na afisa maendeleo ya jamii Joshua Sankala alipokuwa kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya siku 16…
9 September 2022, 9:57 am
Jamii itoe taarifa kuhusu vitendo vya ukatili
RUNGWE-MBEYA. NA:LETHISIA SHIMBI Baadhi ya Wanawake Wilayani Rungwe mkoani Mbeya wameeleza namna wanavyoshiriki kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo. Wakizungumza na chai fm BAHATI SIMON na MAIDASI NDAMU wamesema endapo vitendo…
29 July 2022, 1:34 pm
Wazazi watakiwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao
Na; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kushirikiana na kutoa taarifa pindi wanapoona vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao ili kuepusha athari wanazoweza kukutana nazo watoto hao. Hayo yanajiri kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii…