Radio Tadio

Ukatili

7 December 2023, 4:54 pm

Wazazi, walezi watajwa chanzo cha mimba za utotoni

Malezi yasiyozingatia misingi bora pamoja na ukosefu wa elimu ya uzazi imetajwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Na Sabina Martin Mimba katika umri mdogo imetajwa kuwa ni miongoni mwa ukatili uliokithiri katika jamii ya wananchi…

29 November 2023, 8:54 am

Polisi kukabiliana na vitendo vya kikatili Rungwe

ili kuweza kutokomeza vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ikiwa ni pamoja na ukatili kwa wanawake na watoto jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa taarifa kwenye vyombo vya kisheria. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jamii imeshauriwa kuachana na vitendo vyaa kikatili…

28 November 2023, 6:11 pm

Muendelezo wa Siku 16 za kupinga ukatili

Na Mariam Matundu. Tukiwa bado katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia leo tunakuuliza ni njia gani ya haraka unaweza kuitumia kuripoti vitendo vya ukatili ? Leonard mwacha amezungumza na mkuu wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa…

27 November 2023, 5:44 pm

Leo tunaangazia siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia

Hatua za kutokomeza ukatili zianzie katika ngazi ya familia. Na Mwandishi wetu. Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia imezinduliwa ikiwa na kauli mbiu isemayo wekeza kutokomeza ukatili ,kaulimbiu ambayo imewaleta wadau ,serikali na famili kwa pamoja katika…

13 November 2023, 4:31 pm

Ubakaji, ulawiti kwa watoto wakithiri Dodoma

Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Kituo cha One stop center kwa mwezi Septemba 2023 ambapo takwimu zimebainisha kuwa mkoa wa Dodoma matukio ya ukatili wa kijinsia kwa  watoto 130  kwa matukio ya ubakaji huku watoto 69 wakilawitiwa. Na Seleman…

6 November 2023, 15:44

CP. Wakulyamba: Wapeni ushirikiano VGS

Wananchi wametakiwa kuwapa ushirikiano Askari wa Wanyamapori Vijijini (VGS) ili waweze kutekeleza Majukumu yao vizuri ya ulinzi wa Maliasili pamoja na kuwalinda wanavijiji dhidi ya Wanyamapori wakali na waharibifu.  Na Mwandishi wetu, Dodoma Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu…