Mazingira
20 Novemba 2023, 14:24
Jamii Kigoma yashauriwa kushirikiana na serikali kukabiliana na uharibifu wa ma…
Serikali imesema itaendelea kuthamini mchango wa taasisi ya Jane Goodall katika kuhakikisha inatekeleza shughuli zake za utoaji wa elimu ya mazingira na kilimo kuitia ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Na Tryphone Odace Wadau wa maendeleo mkoani Kigoma wameshauriwa…
14 Novemba 2023, 17:58
Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasicha…
Leo tunaangazia jinsi Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasichana. Na Mariam Matundu. Mariam matundu awali alizungumza na mwanaharakati wa maswala ya mabadiliko ya tabia nchi na haki za wasichana fower malle na ameanza kumuuliza…
7 Novemba 2023, 17:13
Wananchi Ihumwa A waomba kutengewa eneo la kuhifadhi taka
Hali hii inashangaza kuona mtaa huo ambao haupo mbali na ulipo mji wa serikali ukikosa mzabuni wa kukusanya takataka na wananchi wakichoma takataka katika maeneo yao wakati sheria zipo na miongozo ya udhibiti na utunzaji wa mazingira . Na Victor…
1 Novemba 2023, 12:37
Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri shughuli za kilimo-Makala
Mabadiliko ya Tabianchi ni mabadiliko ya hali ya hewa ya muda mrefu katika eneo fulani (Mkoa, Nchi au Bara) tofauti na iliyozoeleka. Mabadiliko hayo huleta athari katika nyanja za kiuchumi, kimazingira na kijamii. Na Alfred Bulahya. Tunapata kusikia kisa cha…
28 Oktoba 2023, 13:56
Makala – Matumizi ya mkaa wa karatasi
Na Musa Mtepa; Makala haya yanaeleza namna ambavyo kikundi hiki kimeamua kujikita katika kuandaaa mkaa unaotokana na mabox pamoja na karatasi. Katika makala haya utawasikia wanakikundi cha Tumalane, Utamaduni na Mazingira maarufu kama TUMA kinachopatikana katika kijiji cha Msangamkuu halmashauri…
24 Oktoba 2023, 13:38
NGO’S zatakiwa kufanya tathmini za mazingira
Kikao hicho kimefanyika hapo jana ofini kwake ambapo katibu tawala alizungumza na wadau hao. Na Mariam Kasawa.Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya…
Oktoba 22, 2023, 12:35 um
Wananchi waaswa kuendelea kutunza miradi ya maendeleo
Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis na viongozi wa halmashauri katika mradi wa shamba la kilimo cha ngano ugabwa.picha na ombeni mgongolwa Kutokana na fedha kutolewa kwaajili ya kuendeleza miradi…
16 Oktoba 2023, 18:03
Serikali, FAO wazindua kampeni ya upandaji miti Kigoma
Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini, serikali kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani FAO wamezindua zoezi la upandaji miti ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Na, Tryphone Odace Shirika la Chakula na Kilimo la…
15 Oktoba 2023, 13:32
Pangani watakiwa kufanyia kazi taarifa za majanga ya asili
“Ni vyema wananchi wakachukua tahadhari wanapoona viashiria vya majanga na pia kuepuka kujenga nyumba kiholela.” Na Catheline Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuchukua tahadhari wanapopewa taarifa za uwepo wa viashiria vya matukio ya majanga ya asili ili kuepusha…
14 Oktoba 2023, 13:56
Serikali yatoa maagizo kukabiliana na el nino
Kikao hicho kilihitimishwa kwa Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko kukabidhi Mpango wa Taifa wa Dharura wa kuzuia na kukabiliana na madhara ya El nino kwa mawaziri na viongozi waliohudhuria mkutano huo. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya hali ya hewa nchini…