Kilimo
11 Mei 2024, 10:52
Moravian chini ya Mission 21 yafanya tathmini ya miradi
Wafadhili wa Mission 21 katika kanisa la Moravian Tanzania wamekutana na jimbo la kusini magharibi na jimbo la kusini na wasimamizi wa miradi mbalimbali ili kufanya tathimini ya miradi iliyo pita kwa mwaka 2022-2024 na kupokea maoni ya miradi ujao…
Mei 8, 2024, 2:17 um
Mifugo yaripotiwa kuuawa kwa sumu za viwanda vya dhahabu
“Mheshimiwa Mwenyekiti kwanza kabisa binafsi kwa hoja hii iliyotolewa hapa kwenye Baraza lako binafsi sijawahi kupata malalamiko hayo sisi kama halmashauri gharama za usajili ni shilingi elfu kumi (10,000) pekee kwa kikundi tutaendelea kufuatilia ubadhilifu huo” Alisema Judica Sumari. NA…
6 Mei 2024, 5:32 um
Wezi wadaiwa kuficha mali juu ya mlima
Licha ya dhana ya ulinzi shirikishi na uwepo wa polisi jamii katika mitaa na vijiji vya mkoa wa Geita, bado changamoto ya vibaka na wezi imeendelea kuwatesa wakazi wa Njia panda ya Inyala katika mji mdogo wa Katoro. Na: Evance…
3 Mei 2024, 3:58 um
Mikopo umiza ni ugonjwa mwingine kwa watumishi wa umma Simiyu
Ubunifu wa kufanya kazi nyingine tofauti ile ambayo umeajiriwa ni njia pekee inayoweza kuwakomboa watumishi wa umma na kuondokana na mikopo umiza ambao ni ugonjwa mwingine hatari. Na,Daniel Manyanga Kaimu mkuu wa mkoa wa Simiyu Bi.Anna Gidarya amewataka watumishi wa…
27 Febuari 2024, 4:07 um
Ujirani mwema baina ya TAWA na jamii ya Simanjiro.
Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA Kanda ya Kaskazini kitengo cha ujirani, ofisi ya Ikolojia Simanjiro Lokisale wametoa elimu ya uhifadhi na manufaa yatokanayo na Wanyamapori. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Viongozi mbalimbali, wazee mashuhuri na wakaazi…
22 Febuari 2024, 4:42 um
Wananchi Sengerema wajitokeza kuchukua vitambulisho vya NIDA
Wananachi wa Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza Mwanza wamejitokeza kwa wingi kupata vitambulisho ya Taifa (NIDA). Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA Wilaya ya Sengerema imeanza zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya NIDA kwa wananchi,huku likiwataka kujitokeza kwa…
Januari 31, 2024, 5:11 um
Wananchi Makete washauriwa kulima mazao mchanganyiko kukabili baa la njaa
Kutokana na wananchi kuhamasika katika kilimo cha kibiashara hususani katika zao la viazi Dc Sweda ametoa tahadhari kwa wakulima wa Makete kulima mazao mchanganyiko ili kukabili baa la njaa baada ya wananchi kujikita zaidi katika zao la viazi pekee. na…
31 Januari 2024, 7:59 mu
Wakulima wapatiwa elimu ya kukabiliana na mvua nyingi
Mifugo na baadhi ya mazao hutegemea ufanisi wa wataalamu hususani inapokuja mabadiliko ya hali hewa hivyo ni vyema kufuata ushauri wataalamu wa kilimo pamoja na mifugo. Na Victor Chigwada .Wakulima na wafugaji wa kata ya Handali wilaya ya Chamwino wameendelea…
23 Januari 2024, 08:43
Nchi 17 kufanya utafiti zao la mpunga nchini
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde. Juma Zuberi Homera amefungua Mkutano wa Afrika ambao umeandaliwa na Tasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa zao la Mpunga Internation Rice Research Institute (IRRI) na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania…
18 Januari 2024, 20:27
DC Malisa: Wahujumu uchumi mbolea ya ruzuku kukiona Mbeya
Na Hobokela Lwinga Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mkoani Mbeya Mh.Beno Malisa ametoa onyo kali kwa wakulima,mawakala wa mbolea na wanaoshiriki kuhujumu mpango wa mbolea ya ruzuku iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan…