Radio Tadio

Kilimo

4 Julai 2024, 12:02

Wananchi walalamikia michango mingi shuleni

Wazazi na walezi wilayani kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa wameomba serikali kupunguza baadhi ya michango midogo midogo ambayo hutozwa shuleni kutokana na hali kuwa ngumu ya maisha. Na James Jovin – Kibondo Wakati shule tayari zimefunguliwa kwa muhula wa pili kwa…

2 Julai 2024, 08:42

Wananchi Mwilamvya wachanga milioni 14 kujenga shule mpya

Ili kukabiliana na chamgamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa kata ya Mwilamvya wilayani Kasulu, hatimaye wananchi wamekubaliana kushirikiana na wadau wa maendeleo kuchanga pesa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya katani hapo. Na Emmanuel Kamangu…

25 Juni 2024, 13:29

Manyara yatajwa kuwa na asilimia 32 ya udumavu

Licha ya mkoa wa Mnyara kuwa na uzalishaji mkubwa wa vyakula mbali mbali hali ya udumavu imeonekana kuwa juu hasa katika maeneo ya kata ya Bashay iliyopo wilaya mbulu vijijini Na Marino Kawishe Mkoa wa Manyara umetajwa kuwa na silimia…

11 Mei 2024, 10:52

Moravian chini ya Mission 21 yafanya tathmini ya miradi

Wafadhili wa Mission 21 katika kanisa la Moravian Tanzania wamekutana na jimbo la kusini magharibi na jimbo la kusini na wasimamizi wa miradi mbalimbali ili kufanya tathimini ya miradi iliyo pita kwa mwaka 2022-2024 na kupokea maoni ya miradi ujao…

Mei 8, 2024, 2:17 um

Mifugo yaripotiwa kuuawa kwa sumu za viwanda vya dhahabu

“Mheshimiwa Mwenyekiti kwanza kabisa binafsi kwa hoja hii iliyotolewa hapa kwenye Baraza lako binafsi sijawahi kupata malalamiko hayo sisi kama halmashauri gharama za usajili ni shilingi elfu kumi (10,000) pekee kwa kikundi tutaendelea kufuatilia ubadhilifu huo” Alisema Judica Sumari. NA…

06/05/2024, 17:32

Wezi wadaiwa kuficha mali juu ya mlima

Licha ya dhana ya ulinzi shirikishi na uwepo wa polisi jamii katika mitaa na vijiji vya mkoa wa Geita, bado changamoto ya vibaka na wezi imeendelea kuwatesa wakazi wa Njia panda ya Inyala katika mji mdogo wa Katoro. Na: Evance…