Kilimo
19 December 2022, 11:27 am
Kipindi: Wanawake na Msimu wa Korosho
Na Grace Hamisi sikiliza makala haya juu ya kinachotokea kwa wanawake mara baada ya msimu wa korosho kuisha. Sikiliza Hapa
19 December 2022, 8:35 am
Bahi watakiwa kulima mazao yanayo stahimili ukame
Na; Benard Filbert. Wakulima wa kata ya Bahi wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kupanda mazao ambayo yanahitaji mvua kidogo ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Ushauri huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo Agustino Mdunuu wakati akizungumza…
16 December 2022, 12:16 pm
Mbolea ya ruzuku kilio kwa baadhi ya wakulima
RUNGWE- MBEYA NA JUDITH MWAKIBIBI Kutokana na kukosekana kwa mbolea ya ruzuku kwa baadhi ya maeneo Wilaya Rungwe Mkoani Mbeya wakulima wametakiwa kuwa na subira wakati serikali ikiendelea kulishughulikia suala hilo. Hayo yamebainishwa na afisa kilimo wilayani hapa Bw Juma…
13 December 2022, 9:18 am
Bilioni 150 zimetolewa na serikali Kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo Katavi.
KATAVI Waziri Mkuu Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa amesema kiasi cha fedha cha shillingi Bilioni 150 zimetolewa na serikali kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo kwa wakulima ili wapate mbolea na dawa Mkoani Katavi. Ameyasema hayo alipokuwa…
24 November 2022, 3:29 pm
Wakulima Iringa wamempongeza Rais Samia kwa kupunguza bei ya Mbolea
Wakulima mkoani Iringa wamefanya matembezi ya kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea. Wakizungumza Mbele ya Mkuu wa mkoa wa Iringa wakulima hao wamesema kuwa walikuwa wakinunua mbolea kwa shilingi…
16 November 2022, 12:28 pm
Zaidi ya billioni 474 zinatumika kuagiza mafuta nje ya Nchi
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa iwapo mkakati wa kukuza na kuongeza uzalishaji katika zao la alizeti ukifanikiwa,serikali itafanikiwa kuokoa fedha nyingi ambazo zinatumika kuagiza mafuta ya kula nje ya Nchi . Akizungumza katika mahojiano maalumu na Dodoma fm naibu waziri…
27 October 2022, 10:21 am
Wakulima Kongwa watakiwa kulima kilimo chenye tija
Na; Benard Filbert. Wakulima wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…
23 October 2022, 9:37 am
Dc Moyo Atoa Siku Saba Kwa Mawakala Wa Mbolea Kufikisha Mbolea Kwa Wakulima
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo ametoa siku saba kwa mawakala wa pembejeo za kilimo kufikisha mbole aina zote kwa wakulima huku wakisubili serikali kutatua changamoto za kimfumo ambazo wanakabiliana nazo. Akizungumza wakati kikao kazi na wadau,mawakala…
20 October 2022, 11:59 am
Bilioni 27 zatarajiwa kutumika ujenzi wa bwawa Chunyu
Na;Mindi Joseph. Bilioni 27 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika kijiji cha chunyu wilayani mpwawa ili kutatua changamoto ya uzalishaji hafifu wa Chakula. Hivi karibuni wanachi wa kijiji hicho wameelezea kuwa ukosefu wa Bwawa na Skimu za…
18 October 2022, 6:55 am
Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni
Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…