Radio Tadio

Kilimo

10 February 2023, 4:52 pm

Wakulima walalamikia wafanyabiashara wa mchele Bahi

Wakulima wa mpunga wilayani Bahi mkoani Dodoma wamelalamikia wafanya biashara wanaofuata mchele na Mpunga unaozalishwa wilayani humo kwa kuupa majina ya mchele wa mikoa mingine wanapouuza katika masoko mbalimbali hapa nchini tatizo linalopelekea kutotambulika kabisa kwa mchele wa Bahi kwenye…

8 February 2023, 12:26 pm

Zaidi ya Heka 200 za Mazao Zaharibiwa na Mvua Nsimbo

NSIMBO Zaidi ya heka 200 za mazao ya chakula na biashara zimeharibiwa na mvua iliyonyesha January 31 mwaka huu katika Kijiji cha Ikolongo kata ya mtapenda Halmashauri ya Nsimbo Mkoani katavi. Akitoa taarifa ya tukio hilo Mtendaji wakijiji cha Ikolongo…

4 February 2023, 10:42 pm

Hatimaye migogoro ya mashamba yatatuliwa Kilosa

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuwa, ihakikishe inapima eneo la Shamba ambalo Serikali ilikabidhi Halmashauri hiyo na kuwapatia Wananchi kwa kuwapatia hati ndogo inayoonyesha umiliki halali wa eneo hilo. Na Epiphanus Danford Waziri huyo…

31 January 2023, 12:07 pm

Wanawake washauriwa kukuza kipato cha familia

“Wanawake wa Mkoani Mtwara wameshauriwa kupambana katika kutafuta  na kuongeza kipato cha familia  na kuachana na tabia ya kuwaacha wanaume pekee katika kutekeleza majukumu ya Nyumbani.“ Na Mohamed Massanga Akizungumza na Jamii fm Radio Mwenyekiti wa kikundi cha ‘’LIYAKAYA  WOMENI GROUP’’…

30 January 2023, 3:50 pm

Ruangwa yapokea kilogramu 1500 ya mbegu za Alizeti

Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imepokea mbegu za Alizeti aina ya Record nbegu chotara (certified seeds) kilogram 1,500 kutoka Tasisi ya Agricultural Seed Agency (ASA) ya mkoani Morogoro. Akizungumza baada ya kupokea mbegu hizo Afisa kilimo, Mifugo na…

30 January 2023, 1:45 pm

Wakulima watakiwa kulima kilimo cha Ikolojia.

Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa wakulima wilaya ya Kilosa wametakiwa kulima kilimo ikolojia ambacho ni Kilimo rafiki kwa mazingira na kinasaidia kupunguza gharama za kununua madawa na mbolea kwa ajili ya kustawisha mashamba na kuua wadudu kwenye mazao.…

30 January 2023, 9:02 am

Wakulima Kongwa kupambana na wadudu

Na; Mariam Kasawa. Wakulima katika wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua hatua mapema za kupambana na wadudu waharibifu wa mazao. Akiongea na taswira ya habari Afisa kilimo wilaya ya Kongwa Bwana Jackson shida anasema….. Pia Shija amewataka wakulima kuchukua…

25 January 2023, 10:44 am

Zaidi ya Miti Millioni Mbili Inataraji Kupandwa Tanganyika

MPANDAJumla ya miti milioni mbili na elfu kumi na nne inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbalimbali wilayani Tanganyika mkoani katavi. Hayo yamesemwa na Mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa wilaya ya mpanda Jamila Yusufu wakati wa uzinduzi wa zoezi la upandaji…

24 January 2023, 8:41 am

Tumieni mbolea muongeze tija katika kilimo

Wakulima wametakiwa kutumia mbolea ya ruzuku ya serikali ambayo huuzwa kwa thamani ya mfuko shilingi elfu Sabini (70,000/=) ili kuongeza tija ya uzalishaji katika sekta ya kilimo huku ikielezwa kuwa kilimo cha mazoea kinatajwa kuwadidimiza wakulima kupata mavuno haba. Hayo…

22 January 2023, 10:04 am

KILIMO CHA MBAAZI

Na; Mariam Kasawa Licha ya zao la mbaazi kutumika kama matumizi mbalimbali kama mboga , chakula huku zao hili likifundishwa na wataalamu kuwa linaweza kuwa zao la biashara kwa kutengenezea vitu mbalimbali kama uji, supu, biscuti , cake, makande lakini…