Radio Tadio

Jamii

31 Januari 2024, 22:08

Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya

Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…

Januari 31, 2024, 7:56 mu

katika mwendelezo wa ziara za jukwaa la ustawi wa jamii Makete kutoa elimu ya malezi mkurugenzi mtendaji akiambatana na baadhi ya wataalam kutoka Halmashauri wametembelea kata ya Ipepo na kutoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto wanaotoka ktk mazingira…

Januari 30, 2024, 9:55 um

Ded William Makufwe awataka watendaji kusimamia mapato

Kutokana na upotevu wa mapato Ded Makufwe amewataka Watendaji hususani katika maeneo yote yenye mageti kuahkikisha wanasimamia kikamilifu kudhibiti mianya yote ya utoroshaji wa mapato ambayo ndio uti wamgongo wa Halmashauri ya Makete na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya…

27 Januari 2024, 00:30

Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele

Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…

Januari 20, 2024, 9:01 um

Zaidi ya kaya 20 zaathiriwa na upepo mkali Makete

Ikiwa mamlaka za utabiri wa hali ya hewa nchini zinazidi kutoa tahadhari juu ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, baadhi ya maeneo katika mikoa na wilaya kumetokea athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifo vya binadamu pamoja na uharibifu wa miundombinu.…

16 Januari 2024, 14:42

Polisi Mbeya yaadhimisha ‘police family day’

Na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeadhimisha “Police Family Day” kwa kushiriki shughuli mbalimbali na michezo na familia zao. Akifungua sherehe za maadhimisho ya “Police Family Day” Januari 12, 2024 katika uwanja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia…

15 Januari 2024, 12:26

Wafungwa gereza la Kihesa Mgagao wapewa msaada

Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ametoa msaaada kwa wafungwa wa gereza la Kihesa Mgagao wilaya ya Kilolo mkoani Iringa. Akizungumzia kuhusu msaada alioutoa Dkt Kabati amesema kuwa Ametoa sabuni, dawa za meno,…