Jamii
31 Januari 2024, 22:08
Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya
Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…
Januari 30, 2024, 9:55 um
Ded William Makufwe awataka watendaji kusimamia mapato
Kutokana na upotevu wa mapato Ded Makufwe amewataka Watendaji hususani katika maeneo yote yenye mageti kuahkikisha wanasimamia kikamilifu kudhibiti mianya yote ya utoroshaji wa mapato ambayo ndio uti wamgongo wa Halmashauri ya Makete na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya…
Januari 30, 2024, 9:26 um
Dc Juma Sweda Ametembelea kaya zilizoezuliwa na upepo Ipelele Makete
Tayari takribani nyumba saba zimeshajengwa ikiwa ni hatua za kunusuru kaya zilizokosa makazi baad ya mvua na upepo mkali kuezua nyumba siku za hivi karibuni katika maeneo kadha katika wilaya ya Makete ambapo serkali wadau na wananchi wamechangia nguvu zao…
28 Januari 2024, 4:59 um
Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi
Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…
27 Januari 2024, 00:30
Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele
Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…
Januari 20, 2024, 9:01 um
Zaidi ya kaya 20 zaathiriwa na upepo mkali Makete
Ikiwa mamlaka za utabiri wa hali ya hewa nchini zinazidi kutoa tahadhari juu ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, baadhi ya maeneo katika mikoa na wilaya kumetokea athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifo vya binadamu pamoja na uharibifu wa miundombinu.…
19 Januari 2024, 13:29
Waliomteka mtoto na kudai milioni 4 watiwa mbaroni Mbogwe
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limejipanga kukabiliana na matukio ya ukatili kwa watoto ikiwemo ya kubakwa na kuuawa. Na Mrisho Shabani – Geita Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu watatu wilayani Mbogwe kwa tuhuma za kumteka mtoto…
16 Januari 2024, 14:42
Polisi Mbeya yaadhimisha ‘police family day’
Na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeadhimisha “Police Family Day” kwa kushiriki shughuli mbalimbali na michezo na familia zao. Akifungua sherehe za maadhimisho ya “Police Family Day” Januari 12, 2024 katika uwanja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia…
15 Januari 2024, 12:26
Wafungwa gereza la Kihesa Mgagao wapewa msaada
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ametoa msaaada kwa wafungwa wa gereza la Kihesa Mgagao wilaya ya Kilolo mkoani Iringa. Akizungumzia kuhusu msaada alioutoa Dkt Kabati amesema kuwa Ametoa sabuni, dawa za meno,…