Jamii
11 January 2024, 17:42
Kyela:Vitambulisho 36 elfu vya utaifa vyatolewa na NIDA Kyela
Baada ya serikali kutoa vitambulisho vya utaifa vya NIDA kwa wilaya ya Kyela wananchi wilayani hapa wamesusia kuchukua vitambulisho hivyo licha ya serikali kutumia nguvu kubwa katika kuwahamasisha. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya mkuu wa wilaya ya Kyela…
6 January 2024, 10:21 pm
Mbunge Saashisha Mafuwe amlilia katibu wake
Aliyekuwa katibu wa mbunge jimbo la Hai Mwl. Benson Lema azikwa kijijini kwao Nronga – Machame. Na Elizabeth Mafie Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe wameshiriki katika ibada ya maziko ya aliyekuwa katibu wake…
2 January 2024, 18:54
Dkt. Tulia afanya tendo la huruma kwa wakazi wa Rungwe
Na mwandishi wetu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Tulia Akson Mwansasu kupitia asasi isiyo ya Kiserikali ya Tulia Trust amekabidhi nyumba mbili pamoja na kiti mwendo kwa wakazi wawili wenye mahitaji maalumu katika kata ya Kisondela…
2 January 2024, 18:21
SACP Misime: Toeni malezi bora kutengeneza kizazi bora cha kesho
Na mwandishi wetu Waumini wa kanisa la EAGT Kati kwa Mchungaji Alfred Mahenge lililopo kata ya Mlowo wilayani Mbozi wametakiwa kuwapa malezi bora watoto wao ili kutengeneza kizazi bora kwa maendeleo ya taifa. Hayo yalisemwa na Msemaji wa Jeshi la…
28 December 2023, 18:20
Jamii yatakiwa kuondokana na imani potofu
na Mwandishi wetu,Songwe Wanakijiji wa kijiji ya Hangomba wilayani Mbozi wametakiwa kuachana na imani potofu za kishirikina ikiwemo ramli chonganishi pamoja na unywaji wa pombe uliopindukia. Kauli hiyo imetolewa Disemba 17, 2023 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna…
28 December 2023, 17:59
Iponjola washiriki christmas kwa kuchimba shimo la maji
Na Hobokela lwinga Katika kuadhimisha sikukuu ya Krismas Mamia ya Wakazi wa kata ya Iponjola wilayani rungwe wameshiriki zoezi la Uchimbaji wa Shimo la maji taka katika kituo cha afya kilichopo katika kata yao. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni hatua…
27 December 2023, 21:30
Ibasa washerehekea Krismasi, mwaka mpya na wenye ualbino Kyela
Vifaa tiba pamoja na vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi milioni nne na laki tisa vimetolewa na umoja wa wanakyela waishio sehemu mbalimbali maarufu Ibasa katika kituo cha afya Njisi na sekaondari mpya ya njisi iliyoko kata ya Njisi…
23 December 2023, 14:49
Mwamengo atoa mkono wa faraja kwa watoto yatima 36 wilayani Kyela
Mkurungenzi wa kampuni ya ujenzi ya Basai General Supplies Limited Baraka Mwamengo ametoa jumla ya shilingi laki nane kwa watoto yatima 36 wanaolelewa na familia ya mwalimu Mwakibinga hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka…
21 December 2023, 9:52 pm
HRT watoa msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji
Chama cha ushirika wa akiba na mikopo Hai Rural Teachers SACCOS (HRT) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa sare za shule kwa wanafunzi wenye uhitaji kutoka shule 16 za wilaya ya Siha. Na Elizabeth Mafie Chama cha Ushirika wa …
19 December 2023, 19:23
Iringa watoa msaada wa tsh. 42,944,000 kwa waathirika mafuriko Hanang
Na Moses Mbwambo Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego akiwa ameambatana na viongozi wa Mbalimbali wa mkoa huo wakiwemo wakuu wa Wilaya Wakurugenzi viongozi wa Chama cha Mapinduzi na kamati ya ulinzi wametoa Mkono wa pole kwa Waathirika…