Habari
22 October 2023, 11:01 pm
UWT Bunda: Wanawake tumejipa kazi nyingi, tumesahau malezi kwa watoto
“Akina mama tumejipa shughuli nyingi tumesahau wajibu wetu wa malezi, twende tuwalinde watoto” Na Edward Lucas Wanawake wameaswa kuzingatia malezi ya watoto ili kukabiliana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii Wito huo umetolewa leo na Mjumbe Kamati…
22 October 2023, 7:22 am
NIDA Bunda: Zaidi ya vitambulisho elfu 50 vyapelekwa ofisi za kata
“Mbali na vitambulisho vilivyokuwepo awali, serikali imeleta tena vitambulisho vingine kwa wale waliojiandikisha hivi karibuni kwahiyo wananchi wafike ofisi za kata kuchukua vitambulisho vyao” Na Edward Lucas Wito umetolewa wananchi wilaya ya Bunda mkoani Mara kufika katika ofisi za kata…
17 October 2023, 14:25 pm
Siku ya mwanamke anayeishi kijijini
Suala la ukatili bado linaendelea katika jamii huku suala la undugu likiwa kikwazo kutokomeza, wanajamii wamekuwa wakifichiana matukio hayo hasa rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi na taasisi za elimu. Na Musa Mtepa Wananchi mkoani Mtwara wametakiwa kukomesha vitendo…
11 October 2023, 14:19
Bei za mafuta zasababisha mgomo wa daladala Mbeya, nauli zapandishwa kiholela
Wakazi wa Mbeya wamejikuta wakiamka na kukuta wanakosa usafiri wa kwenda kwenye shughuli zao hali iliyowasababishia kutumia usafiri wa bajaji kwa gharama kubwa. Na Ezra Mwilwa Wananchi jijini Mbeya wameiomba Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA kuchukua hatua za kisheria…
10 October 2023, 19:16
Wamiliki viwanda Mufindi watakiwa kusimamia maslahi ya wafanyakazi
Na Kefa Sika/Mafinga Mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amewataka wamiliki na wasimamizi wa viwanda wilayani Mufindi kusimamia taratibu na sheria za ufanyaji kazi ili kuwasaidia wananchi. Salekwa ameyasema hayo katika ziara ya viwandani mjini Mafinga kuwa kila…
29 September 2023, 23:09
Mch. Mwakipesile ahukumiwa miaka 3 jela
Kila nchi inaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na sheria na katika sheria hakuna ambaye anakuwa juu ya sheria, hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu taratibu na kuheshimu sheria. Na Josea Sinkala Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka…
28 September 2023, 4:42 pm
MCT yakiri kukinzana kwa sheria ya matumizi sahihi ya mitandao
Hali hiyo imekuwa ikikinzana na Sheria ya haki ya kupata Taarifa ambayo inatoa wigo kwa wananchi kuwa huru kupata taarifa ambazo hazijazuiliwa kisheria. Na Seleman Kodima. Pamoja na Serikali kuhimiza Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii, Baraza la Habari Tanzania…
22 September 2023, 3:34 pm
Vijana wa kanisa la Baptist Nyasura wawatembelea wagonjwa hospital ya Bunda DDH
Umoja wa vijana kutoka kanisa la Nyasura Baptist Wakiongozwa na mchungaji wao kiongozi Jeremiah Motomoto wamefanya ziara ya kuwatembelea wagonjwa hospital ya Bunda DDH Kwa lengo la kuwatia moyo na kuwaombea Na Adelinus Banenwa. Umoja wa vijana kutoka kanisa la…
22 September 2023, 2:53 pm
Mara waikubali ZUKU, waipokea kwa mikono miwili
Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora wake wa muonekano wa picha. Na Thomas Masalu Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora…
September 19, 2023, 2:37 pm
Serikali kujenga shule ya sekondari mpya Ushetu
SERIKALI Kuu imetoa Sh milioni 603.8 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Ngilimba kata ya Ulowa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Hatua hiyo itawanusuru wanafunzi kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 10 kuelekea…