Habari
21 November 2023, 8:42 pm
Milioni 58 fedha mfuko wa Jimbo kutatua changamoto Bunda mji
Kiasi Cha shilingi milioni 58 fedha za mfuko wa Jimbo zimepokelewa ndani ya Jimbo la Bunda Mjini. Na Adelinus Banenwa Kiasi Cha shilingi milioni 58 fedha za mfuko wa Jimbo zimepokelewa ndani ya Jimbo la Bunda Mjini Hayo yamesemwa na…
20 November 2023, 08:57
leo hii katika magazeti 20/11/2023
November 17, 2023, 6:53 pm
Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…
17 November 2023, 10:02 AM
CCM Mtwara yakagua miradi ya maendeleo Masasi
Masasi Kamati ya Chama Cha Mapinduzi {CCM} mkoa wa Mtwara, imefanya ziara ya kikazi wilayani Masasi kwa lengo la kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo. Ziara hiyo imeongozwa na katibu wa chama ngazi ya mkoa David Molle, ambapo walitembelea…
16 November 2023, 9:49 pm
Baraza la madiwani Bunda laahirishwa madiwani wakidai taarifa za miradi
Madiwani wakataa kuendelea na kikao wakiomba kupata taarifa za miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya halmashauri. Na Edward Lucas. Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara, Mhe. Charles Manumbu ameahirisha kikao cha baraza hilo na kumwagiza…
16 November 2023, 13:13 pm
Biteko awasha umeme wa REA Mtwara
Na Grace Hamisi Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Novemba 15,2023 amewasha umeme wa ujazilizi katika maeneo ya vijiji – miji awamu ya III mitaa ya Pachoto A, Pachoto B na Pwani kata ya Naliendele mkoani…
14 November 2023, 6:40 pm
Yafahamu makundi na mgawanyiko wa majukumu ya nyuki kwenye mzinga
Je Maisha ya Nyuki yapoje katika Mzinga. Na Yussuph Hassan. Nyuki wamegawanyika katika aina kuu mbili pamoja na mgawanyo wa majukumu katika kila koloni.Leo Afisa nyuki anatueleza makundi na aina ya majukumu ya nyuki kwenye makoloni yao.
8 November 2023, 1:19 pm
Akutwa amefariki kwenye bajaji Mpanda
Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 50 amekutwa amefariki dunia katika eneo la Rugwa. Na Gladness Richard – Mpanda Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Hillalie Rioba mwenye umri wa miaka 50 amefariki dunia katika eneo la Rugwa kata ya Kazima…
2 November 2023, 12:46 pm
Mpango maalum ‘Tumewasikia Tumewafikia’ wazinduliwa Dodoma
Mpango huo ulizinduliwa katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma ambapo ni programu ya nchi nzima yenye lengo la kuhakikisha wananchi wanapata taarifa juu ya yale yanayotekelezwa na seikali ya awamu ya sita ukiwa na jina TUMEWASIKIA TUMEWAFIKIA. Na…
28 October 2023, 14:10 pm
Zoezi la ugawaji vitambulisho vya NIDA lazinduliwa
Wananchi wote ambao hawajasajiliwa kufika kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kupata utaratibu awali kwa ajili ya kusajiliwa ili na wao waweze kupata vitambulisho hivyo kama wengine Na Musa Mtepa; Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Ahmadi Abasi, Oktoba 27,2023…