Habari
27 June 2025, 4:53 pm
Wananchi wilayani uvinza waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya na Mazingira Hussein Kateranya akiwa katika studio za uvinzafm redio akitoa elimu juu ya kufanya usafi wa mazingira.Picha na Ezra Meshack. “Utaratibu wa kufanya usafi ni jukumu la kila mtu katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama ili…
11 June 2025, 12:16
RC Iringa awaonya wanaotoa risiti bandia
Wateja Mkoani Iringa wametakiwa kudai risiti kila wanapofanya manunuzi, hii kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Peter Serukamba, amewataka wafanyabiashara wote mkoani Iringa kuacha mara moja tabia ya kutoa risiti bandia kwa…
10 June 2025, 6:14 pm
Baptist Sengerema waliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Kufuatia uwepo wa matukio ya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu 2025 viongozi na wamini wa kanisa la Baptist Sengerema wameungana na kufanya maombi ya kuliombea taifa ili liendelee kuwa kisiwa cha amani kama inavyotambulika kuwa Tanzania ni kisiwa cha…
31 May 2025, 9:48 pm
Upasuaji wa nyonga wafanyika kwa mara ya kwanza mkoani Kigoma
Mara nyingi huduma hizi ninapatikana katika hospitali kubwa za kanda lakini leo tumefanikiwa kufanya upasuaji huu mkubwa hapa, ni upasuaji wa kwanza hapa Maweni. Na Abdunuru Shafii Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni Kigoma imetoa huduma ya upasuaji kwa mgonjwa…
21 May 2025, 7:10 pm
“Kuelekea uchanguzi mkuu tuwe makini na taarifa za mitandaoni”
Mei 20 2025 nchini Tanzania ilienea taarifa ya udukuzi kwenye mitandao ya kijamii ya baadhi ya tasisi za kiserikali na za watu binafsi,jambo lililowaimbua wataalamu wa mitandao nchini kuitaka jamii ya watanzania kuwa makini na mitandao hasa kipindi hiki cha…
12 May 2025, 2:36 pm
Wazazi wapeni watoto elimu ya kijinsia bila kupepesa macho
Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…
5 May 2025, 11:41 pm
wanawake wajawazito watakiwa kuhudhuria klinik kuepuka matatizo ya uzazi
Madhara mengi yanaweza kujitokeza endapo mama mjamzito atafika kwa kuchelewa hospitalini siku ya kujifungua. Na Theresia Damasi. Ikiwa ni siku ya Mkunga Duniani Kituo cha Afya uvinza wilayani uvinza kimewataka akina mama wajawazito kuhudhuria clinik mapema pale tu wanapogundua ni…
5 May 2025, 14:16
Naibu Waziri Chillo atoa wito kwa wasanii kuenzi maadili ya kitanzania
Na Mary Julius. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Khamis Hamza Chillo, amewataka wasanii nchini kuhakikisha kazi zao za sanaa zinazingatia hulka, silka, na utamaduni wa Kitanzania, hususan wa Kizanzibari, pamoja na kuhimiza amani na mshikamano wa kitaifa. Akizungumza katika…
22 April 2025, 19:24
Albamu ya ‘Amka’ kuzinduliwa Mei 3, DCMA yaunga mkono muziki wa asil…
Na Mary Julius. Kituo cha Muziki cha DCMA (Dhow Countries Music Academy) kimesema kinashirikiana na msanii Trypon Evarist katika kuandika muziki wa zamani wa Zanzibar kwa lengo la kuuhifadhi na kuutunza, ili vizazi vijavyo viweze kuutumia katika hali yake halisi.…
5 April 2025, 18:24
Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…