Radio Tadio

Habari

9 July 2025, 1:50 pm

Uvinza Malaria sasa basi

Zaidi ya vyandarua elfu 16 vitagawiwa kwa wananchi wa Kata ya Uvinza kama sehemu ya juhudi za kuendelea kutokomeza ugonjwa hatari wa malaria katika Wilaya ya Uvinza. Na Abdunuru Shafii Wananchi wa kata ya uvinza wilaya ya uvinza wamepokea vyandarua…

11 June 2025, 12:16

RC Iringa awaonya wanaotoa risiti bandia

Wateja Mkoani Iringa wametakiwa kudai risiti kila wanapofanya manunuzi, hii kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Peter  Serukamba, amewataka wafanyabiashara wote mkoani Iringa kuacha mara moja tabia ya kutoa risiti bandia kwa…

12 May 2025, 2:36 pm

Wazazi wapeni watoto elimu ya kijinsia bila kupepesa macho

Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu  madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…