Radio Tadio

Habari

12 December 2023, 5:06 pm

Bunda DC yamtunuku hati ya pongezi Meneja TARURA Bunda

Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi Meneja TARURA wilaya ya Bunda Eng Baraka Mkuya. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi na fedha shilingi laki tano…

11 December 2023, 1:29 pm

TADIO yawafikia wanahabari Loliondo

Baada ya mtandao wa redio TADIO ambalo ni jukwaa linalounganisha redio za kijamii Tanzania kufanikisha mafunzo ya wanahabari ya namna yakuchapisha maudhui mtandaoni kwa Kanda ya kaskazini yaliyofanyika kwa siku mbili Desemba 7-8, 2023 sasa wameanza kuwapatia mafunzo wale waliosalia…

9 December 2023, 3:49 pm

DC Naano apongeza usimamizi wa miradi Bunda

Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Aney Naano ameipongeza halamashauri ya wilaya ya Bunda kwa usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Aney Naano ameipongeza halamashauri ya wilaya ya Bunda kwa…

30 November 2023, 22:27

Kisa Simba, Yanga bodaboda Kyela wasogeza mbele uchaguzi

Uchaguzi wa kuwapata viongozi wa umoja wa bodaboda Kyela uliopangwa kufanyika Disemba 2, 2023 umesogezwa mbele mpaka Disemba 8, 2023. Na Nsangatii Mwakipesile Mwenyekiti wa uchaguzi wa waendesha bodaboda wilayani Kyela Widrey Mwasyeka ametangaza kusogezwa mbele uchaguzi wa chama hicho…