Habari za Jumla
25 Machi 2024, 15:39
Shule za msingi zalia na miundombinu ya ufundishaji na ujifunzaji
Shule za Msingi Wilayani Kibondo, zimeomba Serikali, Mashirika ya Kuhudumia Wakimbizi pamoja na Wadau wa Elimu, Kusaidia ufanisi wa mazingira rafiki ya Ufundishaji na Ujifunzaji. Kutoka Wilayani Kibondo Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel Anaripoti.
25 Machi 2024, 3:36 um
Unakabiliana vipi na mila na desturi zinazokwamisha wanawake kushiriki kwnye vyo…
Na mwandishi wetu. Wanawake hawana nafasi kubwa ya kushiriki katika mikutano,mijadala na hawana ujasiri wa kutoa maoni yao haswa wanawake wa jamii ya kifungaji,na hii ni kutokana na mila na desturi kandamizi. Lakini zipo familia ambazo zimeweza kuachana na mila…
25 Machi 2024, 3:17 um
MAKALA; Kutana na Neema mwanamke aliyeshinda mila zinazomzuia mwanamke kushiriki…
“Kuna wanawake ambao wameweza kukabiliana na mila na tamaduni kandamizi na wanashiriki kwenye vyombo vya maamuzi” Na Dorcas Charles. Katika jamii ya kimaasai wanawake mara nyingi hawananafasi ya kutoka majumbani na kwenda kushiriki katika mikutano mikuu ya vijiji ama vitongoji…
25 Machi 2024, 14:54 um
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali umiliki wa Gesi Asilia
Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya umma imeipongeza serikali kwa kuchukua hatua ya kuwasomesha vijana wa kitanzania nje ya nchi ambao kwasasa ndio wanao simamia mitambo ya kuchakata na kuzalisha Gesi Asilia katika kjiji cha Madimba…
24 Machi 2024, 09:04
Ujenzi Stendi ya Chimbuya Songwe kukamilika mwezi mei 2024
Baada ya kilio cha stendi ya kuegesha magari ya mizigo songwe hatimaye swala hilo limepatiwa ufumbuzi Na Ezra Mwilwa Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Songwe, Mhandisi Suleiman Bishanga amesema Matengenezo ya mahali pa kuegesha malori eneo…
23 Machi 2024, 22:49
Kyela:Mitungi ya Kinanasi yafika msikiti wa tenende
Mbunge wa jimbo la Kyela amendelea kukabidhi majiko ya gesi na sukari kwa waumini wa dini ya kiislamu ambapo mara hii amekabidhi majiko hayo katika misikiti ya tenende na Ipinda. Na Masoud Maulid Waislamu wilaya ya kyela wamempongeza mbunge wa…
23 Machi 2024, 22:28
Kyela:Mwanjala atembelea Convenant Edible Oil
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kyela akiambatana na kamati yake ya siasa wilaya ya Kyela amekagua kiwanda kipya cha kuzarisha mafuta cha Convenant Edible Oil na kumwagia sifa lukuki mwekezaji wa kiwanda hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Kamati ya siasa ya…
23 Machi 2024, 07:37
Baraka fm redio yapewa cheti ushiriki kongamono idhaa za kiswahili duniani
Meneja wa kituo cha redio Baraka cha jijini Mbeya Charles Amlike akiwa ameshika chetu cha pongezi na kutambua ushiriki wa kituo hiki cha matangazo katika kongamano la idhaa za kiswahili dunia lililofanyika Mbeya. kongamano hilo limeandaliwa Baraza la Kiswahili kwa…
23 Machi 2024, 07:20
Mbeya UWSA yakabidhi bando 8 za mabati kwa shule na ofisi ya mtaa
Nyuma ya mafanikio yako wapo watu wanaokuwezesha hivyo tunapaswa kujifunza kuwa na shukrani,haya tunafundishwa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya ambao wameona umuhimu wa kurudi kwa jamii kwa kurudisha kwa jamii baadhi ya mafanikio yake. Na…
22 Machi 2024, 19:39
Mwenyekiti CCM Mbeya atoa maagizo waliovamia ardhi ya chama kukiona
Chama cha mapinduzi mkoa wa Mbeya kimeanza kurudisha mali zote zilizochukuliwa kinyume na utaratibu wa sheria. Na Ezra Mwilwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mbeya Patrick Mwalunenge amewapa siku Saba wale wote waliovamia eneo la shamba la…