Radio Tadio

Habari za Jumla

18 Aprili 2024, 14:02

Wakulima wa kahawa walia na ukosefu wa viwatilifu kakonko

Licha ya elimu ya namna ya kulima kilimo chenye tija kwa wakulima walio wengi nchini lakini bado kilio cha wakulima ni kuona serikali inaboresha upatikanaji wa pembejeo za kilimo. Na James Jovin, Kigoma Wakulima wa Zao la Kahawa Wilayani Kakonko…

17 Aprili 2024, 21:17

Rais Samia mgeni rasmi wakfu wa askofu mteule Moravian

Taasisi za dini ni miongoni mwa taasisi ambazo zimekuwa mchango mkubwa wa kutunza, kulinda amani ya taifa hali hiyo inathibitishwa na maridhiano yaliyopo baina ya taasisi za dini pamoja na serikali. Na Hobokela Lwinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

17 Aprili 2024, 19:40

Wananchi 350 waanza kutumia nishati safi ya kupikia

Na Bestina NyangaroOfisi ya mbunge Jimbo la Mafinga Mjini kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati, imegawa mitungi 350 ya gesi ambayo imeambatana na elimu (Mafunzo) ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuwezesha upatikanaji wa nishati hiyo. Zoezi hilo…

17 Aprili 2024, 12:12

Mvua yakata mawasiliano ya miundombinu ya barabara Rungwe, Mbeya

Katika hali isiyotarajiwa wakazi wa kata ya Kapugi na Lyenje wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wamekutana na adha ya kuharibika kwa miundombinu ya barabara iliyokuwa ikiwaunganisha na kusababisha shughuli mbalimbali za kiuchumi kusimama. Na Ezra Mwilwa Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha…

17 Aprili 2024, 10:49 mu

DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo

Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…

Aprili 17, 2024, 6:24 mu

Maafisa ugani watakiwa kusimamia zao la ngano Makete

katika kusimamia na kutekeleza kwa vitendo mpango wa Serikali wa kufungua fulsa za kiuchumi katika Wilaya ya Makete maafisa ugani wametakiwa kusimamia kilimo cha zao la ngano kwalengo la kuleta tija kiuchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Makete. Na Aldo…

16 Aprili 2024, 7:32 um

Itilima wakosa huduma ya maji safi na salama kwa wiki tatu

Watembea umbali wa kilomita 3 kufuata huduma ya maji safi na salama kufuatia mota ya kusukuma maji kuungua kijijini hapo. Na. Daniel Manyanga  Wananchi wa vijiji vya Mlimani na Zanzui vilivyopo  wilayani  Itilima mkoani Simiyu  wakosa huduma ya maji safi…

16 Aprili 2024, 16:58

Dkt.Nchimbi atua Mbeya kwa kishindo

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dkt. Emmanuel Nchimbi ameendelea na ziara yake ya mkoa kwa mkoa na sasa ametua mkoani Mbeya baada ya kutoka kwenye ziara katika mikoa ya Katavi,Rukwa na Songwe. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya…