Radio Tadio

Habari za Jumla

5 March 2021, 1:14 pm

Wananchi Makulu wachekelea umeme wa REA

Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kufanikisha kusambaza umeme kupitia mpango wa umeme Vijijini REA, kwani kwa sasa huduma hiyo imefikia idadi kubwa ya kaya. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…

4 March 2021, 9:51 am

Jamii yasisitizwa kuendelea kuchukua tahadhari .

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ameonyesha kuridhishwa kwake na utendaji kazi wa kitengo kinachosimamia utekelezaji wa afua mbalimbali katika kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa namna ambavyo kimekuwa kikifanya majukumu yake na kutoa mrejesho chanya katika utekelezaji…

2 March 2021, 1:41 pm

Wakulima Kondoa wanufaika na taarifa za hali ya hewa

Na, Benard Filbert, Dodoma. Imeelezwa kuwa baada ya Halmashauri ya Mji wa Kondoa kuunganishwa katika mfumo wa taarifa wa mamlaka ya hali ya hewa nchini imesaidia wakulima kuendesha shughuli zao kuendana na mabadiliko ya hali ya hewa. Hayo yameelezwa na…

2 March 2021, 1:07 pm

Wananchi Hombolo Makulu walia na fidia ndogo

Na, Alfred Bulahya, Dodoma. Wananchi wa mtaa wa Mkoyo Makulu Kata ya Hombolo Bwawani wameiomba Serikali, kuwaongezea pesa za fidia zinazotolewa kwa ajili ya kupisha upanuzi wa eneo la hifanyi ya Kinyami iliyopo Kijijini hapo. Hatua hiyo inakuja wakati wananchi…