Habari za Jumla
15 Julai 2023, 5:32 um
Geita Gold FC yaanza kusuka kikosi
Leo ni siku ya 15 tangu kufunguliwa kwa dirisha kubwa la usajili ambapo Julai 1, 2023 rasmi vilabu katika ngazi mbalimbali za ligi ziliruhusiwa kuongeza wachezaji kwaajili ya msimu mpya wa 2023/24. Na Zubeda Handrish- Geita Klabu ya Geita Gold…
10 Julai 2023, 3:22 um
Sibuka Fm: Kongole TADIO, Vikes kwa elimu ya kutangaza kidijitali
Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…
6 Julai 2023, 8:51 um
Wananchi Karagwe wamshukuru Rais Dkt. Samia kwa miradi ya maendeleo
Baadhi ya wananchi wa wilaya ya Karagwe mkoani Kagera wameishukuru serikali kwa kutekeleza miradi ya maendeleo katika maeneo yao. Na Ospicia Ddace Wananchi wa wilaya Karagwe wameishukuru na kuipongeza serikali ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miradi mikubwa…
6 Julai 2023, 10:31 mu
Rais Samia afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Na Mwandishi wetu RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri na kuunda wizara mpya. Rais Samia amevunja Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais…
5 Julai 2023, 1:54 um
Mtoto afariki kwa kushambuliwa na Fisi
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya Fisi kushambulia watu na mifungo wilayani sengerema, hali hiyo imezua hofu, huku baadhi yao wakishindwa kufanya shughuli za maendeleo Na:Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 5 aliyeshambuliwa na Fisi na kujeruhiwa sehemu mbalimbali…
4 Julai 2023, 6:11 um
Makatibu tawala watakiwa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia utawala bora
Mafunzo hayo ya siku tatu yameandaliwa na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi ya Ungozi yamehusisha Makatibu Tawala wa Wilaya 135 za Tanzania Bara. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa…
4 Julai 2023, 1:04 um
28 wapigwa msasa kwa ajili ya Uokoaji
Jumla ya Askari 28 wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji kutoka mikoa mbalimbali Nchini Tanzania wameshiriki mafunzo ya pamoja ili kujiongezea ujuzi utakaowasaidia wakati wa uokoaji yanapotokea majanga. Akifungua mafunzo hayo Nov 21 mwaka huu,Kamishina msaidizi mwandamizi Zabrune Levson Muhumha,Kamanda…
4 Julai 2023, 11:38 mu
Jela miaka 30 kwa ubakaji wa mtoto
Mahakama ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mahmoud Idi (54) mkulima mkazi wa kijiji cha Kigarama kata ya Kanyigo wilayani humo kwa kuthibitika pasipo na shaka kuwa alimbaka mtoto wa miaka minane kijijini hapo…
4 Julai 2023, 11:37 mu
Mawakala wa usafirishaji waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
Juni 28, 2023, 2:19 um
Anaswa kujiunganishia maji kinyemela Kahama
Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) limemkamata Bwana Swamweli Samson mkazi wa mtaa wa Kihulya Nyakato kata ya Nyasubi kwa tuhuma za kuiba maji na kumwagilia bustani.…