Habari za Jumla
5 Julai 2023, 1:54 um
Mtoto afariki kwa kushambuliwa na Fisi
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya Fisi kushambulia watu na mifungo wilayani sengerema, hali hiyo imezua hofu, huku baadhi yao wakishindwa kufanya shughuli za maendeleo Na:Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 5 aliyeshambuliwa na Fisi na kujeruhiwa sehemu mbalimbali…
4 Julai 2023, 6:11 um
Makatibu tawala watakiwa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia utawala bora
Mafunzo hayo ya siku tatu yameandaliwa na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi ya Ungozi yamehusisha Makatibu Tawala wa Wilaya 135 za Tanzania Bara. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa…
4 Julai 2023, 1:04 um
28 wapigwa msasa kwa ajili ya Uokoaji
Jumla ya Askari 28 wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji kutoka mikoa mbalimbali Nchini Tanzania wameshiriki mafunzo ya pamoja ili kujiongezea ujuzi utakaowasaidia wakati wa uokoaji yanapotokea majanga. Akifungua mafunzo hayo Nov 21 mwaka huu,Kamishina msaidizi mwandamizi Zabrune Levson Muhumha,Kamanda…
4 Julai 2023, 11:38 mu
Jela miaka 30 kwa ubakaji wa mtoto
Mahakama ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mahmoud Idi (54) mkulima mkazi wa kijiji cha Kigarama kata ya Kanyigo wilayani humo kwa kuthibitika pasipo na shaka kuwa alimbaka mtoto wa miaka minane kijijini hapo…
4 Julai 2023, 11:37 mu
Mawakala wa usafirishaji waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
Juni 28, 2023, 2:19 um
Anaswa kujiunganishia maji kinyemela Kahama
Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) limemkamata Bwana Swamweli Samson mkazi wa mtaa wa Kihulya Nyakato kata ya Nyasubi kwa tuhuma za kuiba maji na kumwagilia bustani.…
26 Juni 2023, 5:09 um
Mashirika yasiyo ya kiserikali yatakiwa kutumia fursa zinazojitokeza
Asasi zaidi ya 50 mkoani Dodoma zimenufaika na mafunzo hayo ambayo yanalega kuongeza uelewa na namna ya kujua kujitafutia rasilimali. Na Mindi Joseph. Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yametakiwa kutumia fursa zinazojitokea ili kuifikia jamii kwa ukaribu kupitia utekelezaji wa…
15 Juni 2023, 11:21 mu
Bunda: Nyamakokoto yapiga marufuku wenye nyumba kupangisha bila barua ya utambul…
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe EMANUEL MALIBWA amepiga marufuku kwa wenye nyumba kuwapangisha watu bila kuwa na uthibitisho wa barua alikotoka. Akizungumza katika kikako cha hadhara mtaa wa barabara ya Ukerewe halmashauri ya Mji…
15 Juni 2023, 9:19 mu
MAKALA:Jinsi uchangiaji damu ulivyo na faida kwako mchangiaji.
Kuchangia damu kunafaida si kwa wale wanaokwenda kusaidiwa kwa ile damu uliyochangia lakini pia kwako mchangiaji,kwani unapata namba na cheti cha kuonesha kuwa ni mchangiaji damu kitakachokufanya utambulike kama mchangiaji damu. Na Isack Dickson Kila tarehe 14 ya kila mwaka…
10 Juni 2023, 10:53 mu
Livingstone Byekwaso:Tokomezeni kwa vitendo unyanyapaa kwa wahanga wa marburg
Katibu mkuu wa shirika la Karagwe Media Association (KAMEA) linalomiliki Radio Karagwe mkoani Kagera Bw. Livingstone Byekwaso amewaasa wandishi wa habari mkoani hapa na wasanii wa fani mbalimbali kutekeleza kwa vitendo mipango yao ya kupambana na vitendo vya unyanyapaa na…