Habari za Jumla
22 Septemba 2023, 5:45 um
Vyombo vya habari Kagera kuchochea miradi ya maendeleo
Mradi wa bomba la mafuta ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali unaohusisha nchi mbili kwa maana ya Tanzania na Uganda hivyo waandishi wa habari hawana budi kueleza wananchi habari sahihi na kwa wakati juu ya mwenendo wa…
Septemba 21, 2023, 1:13 um
Ngara yazindua zoezi la utoaji chanjo ya polio kwa watoto
Katibu tawala wa Wilaya ya Ngara Bw. Jawadu Yusufu aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Ngara kuzindua zoezi la kutoa chanjo ya Polio kwa watoto katika hospitali ya Nyamiaga. Idara ya afya Wilayani Ngara Mkoani Kagera leo imezindua zoezi la utoaji…
19 Septemba 2023, 10:44 um
Mgogoro wakulima na wafugaji waitesa Chikobe
Changamoto ya wakulima na wafugaji bado imeendelea kusumbua katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na Said Sindo- Geita Wakulima wa kijiji cha Chikobe kata ya Nyachiluluma, wilayani na mkoani Geita wamesema wapo hatarini kukumbwa na njaa baada ya mashamba yao…
Septemba 19, 2023, 9:21 um
Wananchi Makete waishukuru serikali kutoa pembejeo kwa wakati
Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…
13 Septemba 2023, 8:23 um
Watumishi waliohama vituo vya kazi kwa uhamisho feki kufutwa kazi
Uchunguzi umeanza kufanyika kwa watumishi wa umma waliohama vituo vyao vya kazi kwa njia za udanganyifu nakukimbilia mjini. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafuta kazi baadhi ya watumishi wa umma waliotumia nyaraka feki za…
12 Septemba 2023, 11:55
Sekta ya Maendeleo Mufindi yapewa kongole
Lengo letu ni kusaidia sekta zote kama tulivyoanza na sekta ya Afya na shughuli mbalimbali za maendeleo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi Festo Mgina akipokea Cheti cha Pongezi kutoka kwa mkuu wa taasisi ya Vijana ( Youth Agency…
12 Septemba 2023, 11:11
Ukosefu wa mwalimu wa kike wawa kero kwa wanafunzi shule ya msingi Ilota Mbeya
Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…
11 Septemba 2023, 12:51
Wazazi wilayani Kyela wahimizwa kuwapeleka watoto kliniki
Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…
8 Septemba 2023, 12:56 um
Kamati za kupinga ukatili Zanzibar zatoa neno kupunguza talaka
Visiwani Zanziabar kumekuwa na engezeko la talaka kila siku hali hiyo ndio imepelekea kamati maalum ya kupinga vitendo vya udhalilishaji Zanzibar kutoa ushauri kwa serikali kwa kutoa elimu hiyo skuli na madrsa. Na Mwandishi wetu. Kamati za kupinga vitendo vya…
27 Agosti 2023, 3:21 um
Kijana ajinyonga Pemba
Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia wa…