Habari za Jumla
13 Septemba 2023, 8:23 um
Watumishi waliohama vituo vya kazi kwa uhamisho feki kufutwa kazi
Uchunguzi umeanza kufanyika kwa watumishi wa umma waliohama vituo vyao vya kazi kwa njia za udanganyifu nakukimbilia mjini. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafuta kazi baadhi ya watumishi wa umma waliotumia nyaraka feki za…
12 Septemba 2023, 11:55
Sekta ya Maendeleo Mufindi yapewa kongole
Lengo letu ni kusaidia sekta zote kama tulivyoanza na sekta ya Afya na shughuli mbalimbali za maendeleo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi Festo Mgina akipokea Cheti cha Pongezi kutoka kwa mkuu wa taasisi ya Vijana ( Youth Agency…
12 Septemba 2023, 11:11
Ukosefu wa mwalimu wa kike wawa kero kwa wanafunzi shule ya msingi Ilota Mbeya
Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…
11 Septemba 2023, 12:51
Wazazi wilayani Kyela wahimizwa kuwapeleka watoto kliniki
Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…
8 Septemba 2023, 12:56 um
Kamati za kupinga ukatili Zanzibar zatoa neno kupunguza talaka
Visiwani Zanziabar kumekuwa na engezeko la talaka kila siku hali hiyo ndio imepelekea kamati maalum ya kupinga vitendo vya udhalilishaji Zanzibar kutoa ushauri kwa serikali kwa kutoa elimu hiyo skuli na madrsa. Na Mwandishi wetu. Kamati za kupinga vitendo vya…
27 Agosti 2023, 3:21 um
Kijana ajinyonga Pemba
Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia wa…
18 Agosti 2023, 12:21 um
Ujenzi daraja mto Lufilyo mkombozi kwa wakazi wa Luteba, Lufilyo
Na Lennox Mwamakula Wananchi wa kata ya Luteba Halmashauri ya Busokelo wameonesha kufurahishwa na ujenzi wa daraja ambalo linaunganisha kata ya Luteba na Lufilyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Lulasi kata ya Luteba Mbunge wa Jimbo la…
18 Agosti 2023, 10:05 mu
Takukuru Simiyu yaokoa milioni 500 za mfanyabiashara
TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU mkoa wa Simiyu imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi …
16 Agosti 2023, 12:10 um
Kipindi: Mwangaza wa habari
Na Ivan Mapunda. Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa kaskazini Unguja amewataka madereva kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali.
15 Agosti 2023, 4:38 um
DC Mjaja: Wazazi, walezi wazuie watoto kuokota karafuu kuwakinga na udhalilishaj…
Mkuu wa wilaya ya Mkoani anawataka wazazi na walezi wasiwaruhusu watoto wao kuokota karafuu(mpeta) kwa kuhofia vitendo vya udhalilisha kwai matendo hayo yanaendezeka sana wakati wa msimu wa zao hili linapokuja kila mwaka. Na Amina Masoud Wazazi na walezi kisiwani…