Elimu
4 Oktoba 2023, 11:01
Wadau wa elimu Kigoma watakiwa kusaidia kuboresha miundombinu
Serikali imeomba wadau wa elimu kuendelea kusaidia katika kuboresha miundombinu ya elimu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila Wadau wa elimu mkoani Kigoma wametakiwa kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu kwa kuchangia upatikanaji wa miundombinu bora kwa…
3 Oktoba 2023, 17:17
Utoro chanzo ufaulu kushuka kwa wanafunzi kidato cha nne
Wazazi na walezi ni lazima wawe karibu na watoto wao ili kuhakikisha wanazingatia masomo yao na kufika shuleni kwa wakati ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao ya mwisho. Na Rukia chasanika Imeelezwa kuwa utoro wa wanafunzi wa shule ya…
Oktoba 2, 2023, 8:32 mu
Miundombinu shule ya sekondari ya wasichana Makete sasa shwari
Kupitia ongezeko la wanafunzi hususani kidato cha tano na cha sita serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 1 kujenga madarasa shule ya sekondari ya wasichana Makete. na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi bilioni…
30 Septemba 2023, 3:04 um
Taulo zimekuwa mkombozi kwa wanafunzi wa kike mashuleni
wanafunzi wa shule ya sekondari tukuyu wilayani Rungwe wakiwa wanapokea taulo[picha na lennox mwamakula] jamii imetakiwa kuendelea kumsaidia mtoto wa kike ili aweze kuondokana na vikwazo vinavyoweza kumkwamisha kutimiza ndoto zake RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Jumla ya pisi elfu ishirini…
30 Septemba 2023, 1:50 um
Kambarage Wasira ashiriki kutatua changamoto shule ya msingi Kunzugu
Ukosefu wa choo cha walimu na vifaa vya kuchapisha mitihani ni miongoni mwa changamoto katika shule ya msingi Kunzugu iliyopo Bunda Mkoani Mara. Na Edward Lucas Katika mahafali ya 42 shule ya msingi Kunzugu, Kambarage Wasira ametoa ahadi ya kuwapatia…
29 Septemba 2023, 10:04
WHO: Tuna imani na wanahabari katika kutatua changamoto za jamii
Jamii imekuwa na uelewa mdogo sana juu ya makundi ya ya watu wenye ulemavu ,hivyo basi katika kuondoa dhana ya unyanyapa wwa makundi yenye ulemavu serikali kupitia wadau imekuwa ikitoa elimu kuwezesha kuondokana na hali hiyo. Na Hobokela Lwinga Katika…
Septemba 29, 2023, 9:04 mu
Fedha zatolewa na serikali ujenzi wa nyumba za walimu Makete
Ikiwa ni mwendelezo wa ujenzi wa shule ya Makete ilitopo katika kata ya Mlondwe wilayani Makete serkali imeendelea kutoa fedha kwaajili ya kukamilisha Ujenzi wa Miundombinu ya shule hiyo na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi milioniĀ 100 kimetolewa na serikali…
27 Septemba 2023, 20:07
TADIO yawanoa wanahabari Mufindi FM
Waandishi wa habari Mufindi FM wakiwa katika mafunzo ya urushaji maudhui mtandao kupitia radio.Picha na Kelvin Mickdady Na Isaya Kigodi -Mufindi Mtandao Wa Radio Jamii nchini( TADIO) umetoa mafunzo ya Ndani kwa waandishi Wa habari Wa kituo Cha jamii Mufindi…
27 Septemba 2023, 13:07
Wanafunzi marufuku mikesha ya ngoma(sherehe) za usiku
Baadhi ya wazazi wamekuwa wakiwahusisha watoto wadogo kwenye sherehe hali inayopelekea watoto kubadilika tabia na wengine kushindwa kuendelea na masomo na kuwa wanenguaji katika sherehe hizo. Na Samwel Mpogole Afisa Tarafa wa Sisimba Jijini Mbeya John Mboya amewataka wazazi na…
27 Septemba 2023, 8:11 mu
Maswa: Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani Simiyu watakiwa kutenga Bajeti ya Elimu…
Wasichana wapatao (222) Mkoani Simiyu wamefanikiwa kuendelea na masomo yao ya Elimu ya Sekondary Mbadala baada ya kujifungua. Na Alex Sayi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt,Yahaya Nawanda amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Mkoani hapa kuhakikisha wanatenga bajeti kwa ajili…