Afya
21 September 2023, 15:47
Mbeya yazindua huduma ya utoaji wa chanjo ya polio kwa watoto
Mkoa wa Mbeya ni moja ya mkoa wa Nyanda za Juu Kusini ambao umeanza leo zoezi la utoaji wa chanjo kwa watoto wenye umri wa miaka nane hii ni kutokana na uwepo wa mkoa wa katavi kuwa na kisa cha…
21 September 2023, 2:37 pm
WAVIU watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya ARV
Kwa mujibu wa wataalam wa afya wanashauri kwamba ni vema wananchi kuhakikisha wanapima afya hususani maambukizi ya virusi vya ukimwi ili waweze kujitambua na kutumia dawa kwa usahihi. Na Katende Kandolo. Watu walioathirika na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wametakiwa…
21 September 2023, 13:27
Wananchi Kyela washauriwa kuachana na imani potofu zoezi la utoaji chanjo kwa wa…
Wakati zoezi la utoaji chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka 8 likianza hii leo wazazi na walezi wilayani Kyela wameaswa kuachana na imani potofu, bali wanatakiwa kuamini chanjo inayotolewa na watoa huduma waliowekwa na serikali. Na Secilia Mkini…
September 21, 2023, 1:13 pm
Ngara yazindua zoezi la utoaji chanjo ya polio kwa watoto
Katibu tawala wa Wilaya ya Ngara Bw. Jawadu Yusufu aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Ngara kuzindua zoezi la kutoa chanjo ya Polio kwa watoto katika hospitali ya Nyamiaga. Idara ya afya Wilayani Ngara Mkoani Kagera leo imezindua zoezi la utoaji…
20 September 2023, 6:18 pm
Watoto elfu 34 kupatiwa chanjo ya polio halmashauri ya Busokelo.
watoto wenye mahitaji maalum pia wanahaki ya kupata hii chanjo ya polio hivyo msiwafungie ndani wapeni nafasi ya kupata chanjo. Na Sabina Martin – RungweWazazi na walezi katika halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kutowafungia watoto wenye mahitaji…
20 September 2023, 16:51
kipindi:Chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane ni mhimu kwa ajili ya kuw…
Afisa chanjo Halmashauri ya Mbeya Christopher Mathias akiwa katika kipindi cha Nuru ya asubuhi akitoa elimu ya umhimu wa chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane(picha na Hobokela Lwinga). Kama ilivyo ada katika jamii yetu mtoto akizaliwa tu…
20 September 2023, 2:55 pm
Wajawazito waonywa kuepuka matumizi ya Pombe
Ili kupunguza vitendo vya matumizi ya pombe na dawa za kulevya katika jamii hususani kwa wajawazito wataalamu wa afya wanaendelea kuhamasisha jamii kuachana na suala hilo kwani lina athari kubwa kiafya. Na Katende Kandolo. Akina mama wajawazito wametakwa kuachana na…
20 September 2023, 14:14
Wanahabari wapewa mafunzo ya habari za afya kuibua yaliyojificha kwenye sekta ya…
Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF Tanzania inaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Jamii nchini ili kusaidia katika juhudi za kuboresha huduma za afya katika jamii na isack mwashiuya Mafunzo hayo ya siku 4 yameanza rasmi…
20 September 2023, 13:09
Uhaba wa wahudumu wa afya katika kijiji cha mtanila chunya ni kero kwa wananchi
Kwa mujibu wa sera ya maji ,Maji ni muhimu kwa viumbe vyote duniani, bila maji hakuna uhai. Aidha maji ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na usafi…
20 September 2023, 6:52 am
ESRF yazinoa radio jamii kuboresha huduma za afya nchini
Na Edward Lucas Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF Tanzania inaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Jamii nchini ili kusaidia katika juhudi za kuboresha huduma za afya katika jamii. Mafunzo hayo ya siku 4 yameanza leo…