Afya
10 Oktoba 2023, 09:04
Malinyi kunufaika na klinik tembezi
Na Jackson Machoa/Morogoro Mkuu wa wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro Mh. Sebastian Waryuba amezindua mradi wa klinik tembezi wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 210 uliofadhiliwa na nchi ya Uswiz kupitia shirika lisilo la kiserikali la Solider Med ili…
9 Oktoba 2023, 2:28 um
Jamii Katavi yashauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango
Jamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango Na Kalala Robert & Veronica Mabwile – MpandaJamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango ili kuwa na…
7 Oktoba 2023, 8:11 mu
Ujio wa vituo vya afya kuwa mkombozi kwa wananchi
kituo cha afya ndanto {picha na lennox mwamakula} wananchi wafurahia huduma ya afya wilaya rungwe kutokana na kuondokana na changamoto ya muda mrefu. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Jumla ya wakazi elfu kumi na nanene wanaenda kunufaika na huduma ya afya …
Oktoba 5, 2023, 8:39 mu
DC Sweda akasirishwa kituo cha afya kutofanya huduma za upasuaji
Kituo cha afya Lupila kwa muda mrefu sasa kimeshindwa kutoa huduma za upasuaji sababu zikiwa ni kukosekana kwa mtaalam wa upasuaji na kupelekea adha kubwa kwa wananchi wanaolazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya kilomita zaidi ya 50 hadi…
3 Oktoba 2023, 19:09
Umuhimu wa kutunza macho yako ukiwa kazini
Katika maisha yetu ya kila siku tunashauriwa kutunza macho yetu kwa kupunguza matumizi ya simu pamoja na komputa hasa ukiwa kazini. Na Mpoki Japheth Wananchi mkoani Mbeya wameshauriwa kutunza macho yao ili kuepukana na changamoto ya tatizo la uoni hafifu.…
Oktoba 2, 2023, 8:53 mu
Serikali yatoa fedha ukarabati wa hospitali ya wilaya Makete
Kupitia uchakavu wa Hospitali ya wilaya ya Makete serikali umetoa fedha zaidi ya shilingi milioni miatisa (900) kukarabati miundombinu ikiwemo Majengo Majengo makubwa matano (5) yamejengwa Hospitali ya Wilaya ya Makete kwa fedha za Serikali zaidi ya shilingi Milioni 900…
1 Oktoba 2023, 6:26 um
Uelewa mdogo juu ya kansa ya matiti kwa wananchi Katavi
Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuelewa sababu zinazo sababisha tatizo la kansa ya matiti Katavi Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuelewa sababu zinazosababisha tatizo la kansa ya matiti kwa wanawake ili kupata ufumbuzi wa haraka kipindi dalili zinapojitokeza. Mganga Mkuu manispaa ya…
30/09/2023, 21:03
TMDA yaendelea kuelimisha wananchi matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba
Matumizi mabaya ya dawa na vifaa tiba bado imeonekana ni changamoto kwa baadhi ya maeneo kanda ya ziwa, hili limesababisha TMDA kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya dawa. Na Zubeda Handrish- Geita Meneja wa Mamlaka ya…
29 Septemba 2023, 14:17
Madaktari 24 kuweka kambi mkoani Kigoma
Wananchi zaidi ya 3000 mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wanaotarajia kuweka kambi hospitalini hapo. Na Josephine Kiravu Zaidi ya Madaktari bingwa 12 wanatarajia kuweka kambi Mkoani kigoma kwa muda wa siku tano kwa lengo la kutoa…
27/09/2023, 16:57
Akinamama watakiwa kuzingatia muda wa kunyonyesha watoto
Wataalamu wa Afya hushauri mtoto kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda stahiki hasa kwa miezi sita ili kuijenga afya ya mtoto pamoja na kumpatia baadhi ya vyakula kwa ajili ya afya bora kwa mtoto. Na Naima Chokela. Ni muhimu…