Afya
22 Septemba 2023, 12:44
RC Mbeya awaonya wananchi wanaopotosha kuhusu chanjo ya polio
Maambukizi ya virusi vya polio ni maambukizi yanayoathiri mfumo wa neva na huweza kusababisha udhaifu wa misuli au kupooza,Ugonjwa huu ni adimu, kwa kuwa chanjo imepunguza uwepo wa virusi hivi katika nji nyingi. na mwanaisha makumbuli Mkuu wa Mkoa wa…
21 Septemba 2023, 4:40 um
Zaidi ya watoto elfu 86 kupata chanjo ya polio Rungwe
Halmashauri ya wilaya ya Rungwe inatarajia kuwafikia watoto zaidi ya elfu themanini na sita na kuwapatia chanjo ya polio ambayo imezinduliwa rasmi hii leo katika mikoa sita yenye hatari ya kupata ugonjwa huo hapa nchini. Na Sabina martin – RungweJamii…
21 Septemba 2023, 4:38 um
Wajawazito watakiwa kufanya maandalizi mapema
Wataalamu wa Afya wanashauri kuwa mama mjamzito anatakiwa kuwa na maandalizi kabla ya kujifungua kwani kuna umuhimu wa kufanya hivyo ili kuepukana na madhara mbalimbali yanayoweza kutokea. Na Naima Chokela. Ushauri Umetolewa kwa Wajawazito kuhakikisha wanafanya maandalizi kabla ya kujifungua…
21 Septemba 2023, 15:47
Mbeya yazindua huduma ya utoaji wa chanjo ya polio kwa watoto
Mkoa wa Mbeya ni moja ya mkoa wa Nyanda za Juu Kusini ambao umeanza leo zoezi la utoaji wa chanjo kwa watoto wenye umri wa miaka nane hii ni kutokana na uwepo wa mkoa wa katavi kuwa na kisa cha…
21 Septemba 2023, 2:37 um
WAVIU watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya ARV
Kwa mujibu wa wataalam wa afya wanashauri kwamba ni vema wananchi kuhakikisha wanapima afya hususani maambukizi ya virusi vya ukimwi ili waweze kujitambua na kutumia dawa kwa usahihi. Na Katende Kandolo. Watu walioathirika na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wametakiwa…
21 Septemba 2023, 13:27
Wananchi Kyela washauriwa kuachana na imani potofu zoezi la utoaji chanjo kwa wa…
Wakati zoezi la utoaji chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka 8 likianza hii leo wazazi na walezi wilayani Kyela wameaswa kuachana na imani potofu, bali wanatakiwa kuamini chanjo inayotolewa na watoa huduma waliowekwa na serikali. Na Secilia Mkini…
Septemba 21, 2023, 1:13 um
Ngara yazindua zoezi la utoaji chanjo ya polio kwa watoto
Katibu tawala wa Wilaya ya Ngara Bw. Jawadu Yusufu aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Ngara kuzindua zoezi la kutoa chanjo ya Polio kwa watoto katika hospitali ya Nyamiaga. Idara ya afya Wilayani Ngara Mkoani Kagera leo imezindua zoezi la utoaji…
20 Septemba 2023, 6:18 um
Watoto elfu 34 kupatiwa chanjo ya polio halmashauri ya Busokelo.
watoto wenye mahitaji maalum pia wanahaki ya kupata hii chanjo ya polio hivyo msiwafungie ndani wapeni nafasi ya kupata chanjo. Na Sabina Martin – RungweWazazi na walezi katika halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kutowafungia watoto wenye mahitaji…
20 Septemba 2023, 16:51
kipindi:Chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane ni mhimu kwa ajili ya kuw…
Afisa chanjo Halmashauri ya Mbeya Christopher Mathias akiwa katika kipindi cha Nuru ya asubuhi akitoa elimu ya umhimu wa chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane(picha na Hobokela Lwinga). Kama ilivyo ada katika jamii yetu mtoto akizaliwa tu…
20 Septemba 2023, 2:55 um
Wajawazito waonywa kuepuka matumizi ya Pombe
Ili kupunguza vitendo vya matumizi ya pombe na dawa za kulevya katika jamii hususani kwa wajawazito wataalamu wa afya wanaendelea kuhamasisha jamii kuachana na suala hilo kwani lina athari kubwa kiafya. Na Katende Kandolo. Akina mama wajawazito wametakwa kuachana na…