Afya
7 Januari 2024, 12:32 um
Wakazi wa Ilenge wilayani Rungwe wafurahia kupata zahanati
Baada ya kufuata huduma ya matibabu umbali mrefu wananchi wa kijiji cha Ilenge wameipongeza serikali kwa kuwajengea zahanati kwani wamesema imewapunguzia changamoto ya kukosa matibabu. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa wilaya Rungwe Jaffar Haniu amepongeza juhudi zilizofanya na wakazi…
5 Januari 2024, 17:02
Kituo cha afya kipya chazinduliwa halmashauri ya wilaya Kibondo
Halmashauri ya wilaya ya Kibondo imezindua kituo kipya cha afya kilichopo katika kata ya Kibondo mjini kilichogharimu shilingi milioni 500 mpaka kukamilika kwake ikiwa ni mkakati wa kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya wilaya na kuboresha huduma za afya.…
5 Januari 2024, 16:43
Watoto zaidi ya 600 waripotiwa kufariki wakati wa kuzaliwa Kigoma
Zaidi ya watoto wachanga 600 wamefariki wakati wa kuzaliwa mkoani Kigoma huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wa kujifungua katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2023. Na, Josephine Kiravu. Hakuna mama anaebeba ujauzito kwa kipindi cha miezi 9 halafu matarajio…
4 Januari 2024, 13:02
Kukaja Kununu wamwaga bima za afya Kyela
Katika kuhikikisha watoto wanakuwa na afya bora hapa nchini umoja wa kikundi cha Kukaja kununu kimetoa bima za afya na vifaa vya usafi vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki tano katika hospitali ya wilaya ya Kyela. Na James Mwakyembe…
4 Januari 2024, 11:12 mu
Aonekana hai baada ya kufariki miaka 3 iliyopita Geita
Mwanamke Mugumba Misalaba aliyepatikana akiwa hai Fitina baada ya kufariki miaka 3 iliyopita. Picha na Amon Bebe Matukio ya baadhi ya watu kufariki dunia na kuonekana tena yameendelea kutokea katika maeneo tofauti, jambo ambalo linazua mizozo na kuhusishwa na imani…
30 Disemba 2023, 09:04
Wananchi Rungwe waendelea kufurahia huduma za afya
Na mwandishi wetu Huduma ya matibabu katika kituo cha afya Iponjola zimeanza leo rasmi tarehe 29.12.2023 ikiwa ni hatua ya kuwasogezea wananchi huduma hii muhimu karibu na makazi yao. Kituo hiki kilichojengwa na Serikali kwa Kushirikiana na Wananchi kimegharimu zaidi …
28 Disemba 2023, 18:09
Zahanati ya Ilenge kata ya Kyimo wilayani Rungwe imefunguliwa
Na mwandishi wetu Huduma ya Matibabu kwa Wagonjwa katika Zahanati ya Ilenge kata ya Kyimo imefunguliwa leo rasmi tarehe 27.12.2023 na kutoa huduma mbalimbali kwa ikiwemo ya mama na mtoto. Amesema pamoja na huduma zingine, wagonjwa wameendelea kunufaika na huduma…
27 Disemba 2023, 3:30 um
Wauguzi na wakunga 4166 kufanya usajili na leseni Decemba 29
Baraza la Uuguzi na ukunga Nchini mpaka sasa linajumla ya wauguzi na wakunga 49994 ambao wanatoa huduma kwenye zahanati ,vituo vya afya pamoja na hospitali za wilaya ,mikoa na rufaa. Na Mariam Matundu. Wauguzi na wakunga 4166 wanatarijia kufanya mtihani…
23 Disemba 2023, 15:21 um
Vifo vya wajawazito, watoto wachanga bado ni changamoto Mtwara-Makala
Kwa mujibu wa Mganga Mkuu mkoa wa Mtwara, kumekuwepo na ongezeko la vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa kipindi cha miezi mitatu. Na Gregory Millanzi Binadamu tunapitia nyakati tofauti tofauti katika maisha yetu, baadhi ya nyakati tunazopita…
23 Disemba 2023, 12:52
‘Cha Malawi’ chateketezwa Kasumulu
Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Kyela imeteketeza jumla ya tani 154.28 za madawa ya kulevya aina ya bangi zilizokamatwa baada ya misako mbalimbali ya jeshi la polisi wialayni hapa. Na Nsangatii Mwakipesile Mkuu wa wilaya ya Kyela Josephine…