Triple A FM

Recent posts

30 May 2025, 1:03 pm

Arusha tayari kwa msimu wa utalii

Na Joel Headman Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha limewakutanisha zaidi ya madereva 800 wanaoongoza watalii kwa ajili ya kuwapatia mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo pindi wanapotoa huduma hiyo ya usafiri Akifungua mafunzo hayo mkoani Arusha,…

29 May 2025, 10:58 am

CHADEMA yamuenzi Mbowe Arusha

Na Joel Headman Ikiwa imepita miaka 33 tangu kuasisiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, bado viongozi na wanachama wanaendelea kutambua mchango wa viongozi na waasisi wao CHADEMA ilianzishwa Mei…

27 May 2025, 10:55 am

Kilio cha shule kata ya Sakina

Na Jane Silayo Diwani wa Kata ya Sakina Mkoani Arusha ameiomba serikali kuwajengea shule ya sekondari ndani ya kata hiyo ili kuchochea maendeleo ya elimu kwa watoto. Akizungumza katika Kipindi cha Ukurasa Mpya cha Triple A Radio, Bw Elvicent Willson…

26 May 2025, 10:18 am

Kibano kwa madereva wa serikali

Na Joel Headman Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo kwa madereva wanaondesha magari ya Serikali mkoani hapa kwa ajili ya kuwajengea uwezo juu ya matumizi sahihi ya barabara na mifumo ya Jeshi la Polisi…

21 May 2025, 10:29 am

Makonda achagua Jimbo la Arusha Mjini

Na Joel Headman Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amewahamasisha wananchi kujitokeza kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura Ametoa hamasa hiyo Jumatatu Mei 20, 2025 kwenye kituo cha kuandikisha wapiga kura kilichopo kwenye Hospitali ya…

18 May 2025, 6:00 pm

Mchungaji kutekwa Arusha mapya yaibuka

Na Joel Headman Saa chache baada ya kupatikana kwa mchungaji wa kanisa la huduma ya Kristo lililopo Kata ya Muriet mtaa wa FFU mkoani Arusha Steven Jacob, mapya yameibuka leo kanisani kwake Ibada ya leo Jumapili iliyofanyika kanisani hapo, imeshuhudiwa…

13 May 2025, 10:39 am

Waongoza watalii walilia miundombinu ya barabara

Waongoza utalii wamepaza sauti juu ya ubovu wa miundombinu ya barabara ambayo imekuwa ikiwarushisha nyumba katika shughuli zao za utalii wawapo mbugani Na Joel Headman Wadau na wanachama wa chama cha waongoza watalii Tanzania TTGA wameiomba serikali kushughulikia suala la…

12 May 2025, 11:48 am

Gambo arusha jiwe lingine gizani

Katika hali isiyotarajiwa Mh. Mrisho Gambo amerusha jiwe gizani katika mkutano wake wa hivi karibu Na Joel Headman Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amezidi kuweka utata kwenye suala la ujenzi wa jengo la utawala la jiji la Arusha lililokwama…

2 May 2025, 11:30 am

Wali wachoma vyumba 7 Arusha

Na Joel Headman, Arusha Vyumba 7 vimeungua kwa moto kwenye mtaa wa Jordan kata ya Kiutu mkoani Arusha baada ya kushika moto uliotokana na jiko la gesi. Moto huo ulioanzia kwenye chumba cha mkaazi mmoja wa eneo la Jordan unadaiwa…

1 May 2025, 12:48 pm

Namna mchungaji alivyopigwa pingu Kanisani

Na Joel Headman, Arusha Baadhi ya waumini na mchungaji wa kanisa la Wanafunzi wa Yesu Kristo Tanzania lililopo Kijiji cha Ilkiding’a mtaa wa Laiza kata ya Ilikiding’a Mkoani Arusha na baadhi ya waumini wamejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya…

ABOUT US.

ORGANIZATION.

Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.

Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health   .the company own only one frequency which is 88.5.

THE MISSION

As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station  roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”

THE VISION

“To be the most listened Radio Station in Arusha”

THE CORE VALUES

  • Professionalism
  • Quality
  • Integrity
  • Innovation
  • A drive for customer satisfaction.