Triple A FM
Triple A FM
18 May 2025, 6:00 pm
Na Joel Headman Saa chache baada ya kupatikana kwa mchungaji wa kanisa la huduma ya Kristo lililopo Kata ya Muriet mtaa wa FFU mkoani Arusha Steven Jacob, mapya yameibuka leo kanisani kwake Ibada ya leo Jumapili iliyofanyika kanisani hapo, imeshuhudiwa…
13 May 2025, 10:39 am
Waongoza utalii wamepaza sauti juu ya ubovu wa miundombinu ya barabara ambayo imekuwa ikiwarushisha nyumba katika shughuli zao za utalii wawapo mbugani Na Joel Headman Wadau na wanachama wa chama cha waongoza watalii Tanzania TTGA wameiomba serikali kushughulikia suala la…
12 May 2025, 11:48 am
Katika hali isiyotarajiwa Mh. Mrisho Gambo amerusha jiwe gizani katika mkutano wake wa hivi karibu Na Joel Headman Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amezidi kuweka utata kwenye suala la ujenzi wa jengo la utawala la jiji la Arusha lililokwama…
2 May 2025, 11:30 am
Na Joel Headman, Arusha Vyumba 7 vimeungua kwa moto kwenye mtaa wa Jordan kata ya Kiutu mkoani Arusha baada ya kushika moto uliotokana na jiko la gesi. Moto huo ulioanzia kwenye chumba cha mkaazi mmoja wa eneo la Jordan unadaiwa…
1 May 2025, 12:48 pm
Na Joel Headman, Arusha Baadhi ya waumini na mchungaji wa kanisa la Wanafunzi wa Yesu Kristo Tanzania lililopo Kijiji cha Ilkiding’a mtaa wa Laiza kata ya Ilikiding’a Mkoani Arusha na baadhi ya waumini wamejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya…
25 March 2025, 10:31 am
Na Joel Headman; Arusha Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya ugonjwa wa Kifua Kikuu kwa asilimia 40 hatua inayoiweka nchi katika mwelekeo sahihi wa kufanikisha lengo la kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu…
31 January 2025, 10:29 am
Na Joel Headman, Arusha Wananchi wa Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi kutoa maoni juu ya maandalizi ya dirampya ya maendeleo ya taifa mwaka 2050. Wito umetolewa na hakimu mkazi wa mahakama ya Arumeru mkoani hapa Theresia Sedoyeka wakati wa utoaji…
29 January 2025, 11:21 am
Na Joel Headman, Arusha Hali ya majonzi imezidi kutawala jijini Arusha kutokana na kuongezeka kwa vifo vya kujuinyonga. Hii ni baada ya kijana mwenye umri wa miaka 32 mkazi wa kijiji cha Oldadai Elirehema Ernest kujinyonga kwa kile kinachodhaniwa ni…
28 January 2025, 10:17 am
Na Joel Headman, Arusha Uongozi wa soko kuu jiji la Arusha umepiga marufuku watoto kujihusisha na biashara sokoni hapo. Katazo hilo limekuja ikiwa ni siku chache baada ya shule kufunguliwa kote nchini. Akizungumza na Triple A fm amesema kumekuwa na…
17 December 2024, 9:05 pm
Na Joel Headman Arusha Siku 1 baada ya wananchi wa kata ya Muriet Jijini Arusha kumtembeza kwenye matope na maji machafu diwani wao Francis Mbise mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameeleza kufurahishwa na tukio hilo. Akizungumza leo kwenye…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES