

1 February 2024, 7:27 pm
“Mafunzo mliyopatiwa yakawe chachu kwa vijana wengine kujiingiza katika shughuli za uzalishaji mali ili kuondoa changamoto zitokanazo na ukosefu wa kipato” Na. Anthony Masai. Vijana zaidi ya 50 ambao ni viongozi wa vikundi vya mabadiliko katika mikoa ya Arusha na…
31 January 2024, 7:09 pm
“Yalikuwa ni maelekezo ya mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha umeme unaimarika katika kipindi cha miezi sita” Na. Anthony Masai Serikali imesema hali ya upatikanaji wa nishati ya umeme nchini inaendelea kuimarika licha ya kuwepo kwa upungufu…
19 January 2024, 6:44 pm
“kuhusu usafirishaji wa mizigo,tumeshafungua vituo vya utimilifu Arusha,Zanzibar,Dodoma na Dar es Salaam ili ndani ya siku mbili mtu akiwa sehemu yoyote duniani anapokea mzigo wake“ Na. Anthony Masai. Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Maharage Chande amesema,hakuna namna ambavyo…
31 December 2023, 4:45 pm
Muungano wa Ufini kwa Vyombo vya Habari na Maendeleo (VIKES) umekuwa chachu ya maendeleo kidijitali kwa redio jamii nchini Tanzania, Kenya na Uganda na hivi karibuni muungano huo unaopokea fedha toka Wizara ya Mambo ya Nje ya Finland umeahidi kuendelea…
16 December 2023, 10:25 pm
Niwashukuru sana vijana wangu wameonyesha kiwango kizuri dhidi ya Singida maana wao wametuzidi vitu vingi Joel Headman. Arusha Unaweza kusema ni mkono wa bye bye ulioikuta timu ya mpira wa miguu ya Arusha City baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya…
13 December 2023, 12:37 pm
Na Mariam Juma
8 December 2023, 11:16 pm
Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…
8 December 2023, 11:42 am
Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG jengo hilo lilitengewa shilingi Bilioni 3.9 Na Joel Headman Msikilizaji ukisoma muundo wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa wa…
8 December 2023, 10:45 am
Shilingi bilioni 3.9 tayari zilitolewa na Serikali Kuu na kuifikia halmashauri ya jiji la Arusha miaka mitatu iliyopita lakini hadi mwaka 2023 bado jengo la wagonjwa wa nje kwenye hospitali ya jiji hilo haijakamilika. Na Joel Headman Wakazi wa jiji…
7 December 2023, 3:33 pm
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa usafirishaji jijini Arusha. Picha na Anthony Masai “Sheria ya reli namba 17 imefanyiwa marekebisho ambapo kwa sasa inaruhusu uwekezaji wa sekta binafsi katika miundombinu ya reli“. Na Anthony…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES