Triple A FM
Triple A FM
9 September 2025, 11:47 am
“Nilienda kwa ndugu zangu, majirani wao wakaona ni kitu cha kawaida sana….yaani naumia, naumia nikikaa ndani ndio hivyo naliaa najiona kabisa maisha yangu yamefika mwisho, ndoto yangu ilikuwa niwe daktari”
3 September 2025, 11:01 am
“Alafu ni mwendo kasi, sio kitu kingine ndio ajali ya pikipiki, ameingia mwenyewe” Na Joel Headman Afisa usafirishaji (bodaboda) mwanaume mkazi wa Arusha amejeruhiwa baada ya kupata ajali eneo la mataa ya kuongoza magari ya Triple A kwenye barabara kuu…
3 September 2025, 10:48 am
Na Joel Headman Mkuu wa Mkoa wa Arusha Amos Makalla amewataka wananchi wa Wilaya ya Ngorngoro kuwa watulivu na kuendelea kudumisha amani na Mshikamano wakati wakisubiri majibu ya Tume mbili zilizoundwa kushughulikia changamoto zao. Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha…
16 August 2025, 6:36 pm
Na Joel Headman Kampuni ya bia ya Tanzania Breweries PLC (TBL) imekusudia kuwainua zaidi wakulima wa Shayiri walioko kanda ya Kaskazini na maeneo mengine ya nchi ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa hiyo muhimu ambayo hutumiwa kama kimea kwenye uzalishaji wa…
12 August 2025, 1:17 pm
Na Joel Headman Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Arusha wameomba kupatiwa elimu ya utambuzi wa habari za uongo na uzushi ili kuisaidia jamii kuwa salama na kujiepusha na migogoro ya kisheria. Wakizungumza na Triple A fm leo mmoja wa…
31 July 2025, 10:50 am
“Akasema mama wawili nifungulie huku kwako nilale, mama wawili akasema we lala tu mbona hamna watu? Mama wawili yeye akalala Rasi kumbe kamtumia meseji… Wananchi wa mtaa wa Olmokea kata ya Sinoni Mkoani Arusha wameeleza kugubikwa na hofu kufuatia matukio…
29 July 2025, 10:45 pm
Na Joel Headman Arusha Nchi ya Tanzania inazidi kung’ara katika medani za kimataifa na kuifanya kushika nafasi za juu katika nchi ambazo uhusiano wake na China unazidi kuimarika. Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa shirika la kiraia la Doublethink Lab…
18 July 2025, 9:38 am
“Hatuwezi kuendelea na vichekesho lazima taaluma iwe serious…Vichekesho vilikuwa vinachukua nafasi kubwa kuliko uandishi wa habari” Na Anthony Masai Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amevimwagia sifa vituo vya redio za kijamii nchini vilivyo chini ya mwamvuli…
16 July 2025, 12:13 pm
Tumeshapata viti karibia 300 ambavyo vitakuja kuwekwa kwenye majukwaa haya…..uwanja huu utakuwa wa tofauti sana….malengo yetu ni hata mechi za Afcon zije kufanya mazoezi ya AFCON Joel Headman Uchumi wa mji wa Babati umepanda kwa kasi hadi kuzidi malengo yaliyowekwa…
20 June 2025, 12:46 pm
Joel Headman “Kwenye upande wa FM ahami anabaki na redio yake, anayetaka kupokea signal ya dijitali ni lazima awe na kifaa cha kupokelea chenye uwezo wa kupokea signal ya dijitali” Mha. Jan kaaya Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA imetangaza kuanza…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES