Triple A FM

Recent posts

2 February 2024, 2:27 pm

Mdahalo kufanyika kata kinara kwa ukeketaji Arusha

“Vtendo vya ukeketaji nchini vimepungua lakini vimeongezeka kwa mkoa wa Arusha ambao unaongoza nchini kwa vitendo hivyo” Na. Anthony Masai. Maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji nchini yanatarajia kufanyika katika kijiji cha Olchorvosi,kata ya Musa,halmashauri ya…

1 February 2024, 7:27 pm

DSW lawajengea uwezo vijana kukabili ukatili wa kijinsia na kujitambua

“Mafunzo mliyopatiwa yakawe chachu kwa vijana wengine kujiingiza katika shughuli za uzalishaji mali ili kuondoa changamoto zitokanazo na ukosefu wa kipato” Na. Anthony Masai. Vijana zaidi ya 50 ambao ni viongozi wa vikundi vya mabadiliko katika mikoa ya Arusha na…

31 January 2024, 7:09 pm

Serikali: Hali ya umeme nchini yaanza kuimarika

“Yalikuwa ni maelekezo ya mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha umeme unaimarika katika kipindi cha miezi sita” Na. Anthony Masai Serikali imesema hali ya upatikanaji wa nishati ya umeme nchini inaendelea kuimarika licha ya kuwepo kwa upungufu…

19 January 2024, 6:44 pm

Chande: Mabadiliko Posta lazima, dunia ya sasa ni kidijitali

“kuhusu usafirishaji wa mizigo,tumeshafungua vituo  vya utimilifu Arusha,Zanzibar,Dodoma na Dar es Salaam ili ndani ya siku mbili mtu akiwa sehemu yoyote duniani anapokea mzigo wake“ Na. Anthony Masai. Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Maharage Chande amesema,hakuna namna ambavyo…

31 December 2023, 4:45 pm

Finland kuendelea kupiga jeki redio jamii Afrika Mashariki

Muungano wa Ufini kwa Vyombo vya Habari na Maendeleo (VIKES) umekuwa chachu ya maendeleo kidijitali kwa redio jamii nchini Tanzania, Kenya na Uganda na hivi karibuni muungano huo unaopokea fedha toka Wizara ya Mambo ya Nje ya Finland umeahidi kuendelea…

16 December 2023, 10:25 pm

Arusha City yafungashiwa virago ASFC

Niwashukuru sana vijana wangu wameonyesha kiwango kizuri dhidi ya Singida maana wao wametuzidi vitu vingi Joel Headman. Arusha Unaweza kusema ni mkono wa bye bye ulioikuta timu ya mpira wa miguu ya Arusha City baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya…

8 December 2023, 11:16 pm

Wanachama TADIO wanufaika na mafunzo ya kusimamia mitandao

Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…

8 December 2023, 11:42 am

Makala: Kwanini hospitali ya jiji la Arusha haijakamilika?

Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG jengo hilo lilitengewa shilingi Bilioni 3.9 Na Joel Headman Msikilizaji ukisoma muundo wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa wa…

ABOUT US.

ORGANIZATION.

Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.

Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health   .the company own only one frequency which is 88.5.

THE MISSION

As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station  roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”

THE VISION

“To be the most listened Radio Station in Arusha”

THE CORE VALUES

  • Professionalism
  • Quality
  • Integrity
  • Innovation
  • A drive for customer satisfaction.