Triple A FM
88.5 MHz
Triple A Complex,Sakina-Arusha
+255713515936,+255682676784
triplea885@yahoo.com
88.5 MHz
Triple A Complex,Sakina-Arusha
+255713515936,+255682676784
triplea885@yahoo.com
28 October 2025, 10:55 am
“nimekutana na Kamati zote za usalama wilaya ndani ya Mkoa na tumejiridhisha kuwa kampeni zimeenda salama kwa amani na utulivu katika Majimbo yote na hali ya usalama katika Wilaya zote ni shwari.” Na Furahini Jonas Mkuu wa mkoa wa Arusha…
21 October 2025, 2:46 pm
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha limewataka wananchi kujiepusha kusambaza taarifa za uzushi na uongo hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wan chi uliopangwa kufanyika Oktyoba 29 mwaka huu Kauli hiyo imetolewa na Kamishna msaidizi wa polisi Salvas…
17 October 2025, 7:46 pm
Na Joel Headman Ndivyo unavyoweza kusema baada ya ushindi wa bao 1 la dakika za jioni walilolipata Fountain Gate dhidi ya Dodoma jiji jioni ya leo Mchezo huo wa ligi kuu uliopigwa kwenye dimba la Tanzanite Kwaraa umeshuhudia kandanda safi…
17 October 2025, 2:02 pm
Na Jackson Mbwambo Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imewataka wazazi na walimu nchini kuacha tabia ya kutoa uhuru mkubwa kwa watoto kutumia mitandao ya kijamii bila uangalizi, ikionya kuwa hali hiyo imekuwa chanzo cha kuongezeka kwa vitendo vinavyohatarisha…
15 October 2025, 10:53 am
Na Joel Headman Tanzania kama ilivyo kwa nchi zenye mifumo ya kidemokrasia inajiandaa kwa uchaguzi mkuu tarehe 29 Oktoba 2025, unaolenga kupata madiwani,wabunge na rais, viongozi watakaoongoza kwa miaka mitano ijayo. Lakini je unafahamu nini basi kuhusu Rushwa kwenye uchaguzi?
30 September 2025, 11:58 am
“Tuendelee kuwa Pamoja tushikamane tushirikiane tupendane na tuweze kusonga mbele” Na Joel Headman Bingwa wa dunia wa marathoni Mtanzania Alphonce Simbu baada ya mapokezi ya kishindo jiji Arusha ameahidi kupambana na kutafuta medali nyingine kwa ajili ya kulitangaza zaidi taifa…
25 September 2025, 1:38 pm
“Kwa sababu mwisho wa siku wale ndio watakuwa mashahidi wako wa kwanza katika…. kuonyesha kwamba umiliki huu ni wa bwana X au ni wa bwana Y” Na Jolaz Joel Headman Takwimu rasmi za wizara ya ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…
24 September 2025, 3:04 pm
Na Daudi Peter Mkuu wa Wilaya ya Arusha Joseph Mkude amewataka wananchi kuwa tayari na kujiandaa kuchangamkia fursa mbalimbali zitakazoletwa na mashindano ya AFCON yanayotarajiwa kufanyika mwaka 2027 Akizungumza na Triple A Mkude amesema kuwa michuano hiyo imefungua fursa kwa…
24 September 2025, 2:35 pm
“Suala zima la riadha,suala zima la mpira wa miguu,mpira wa mikono,mpira wa pete na michezo aina nyinginezo nyingi kwa sababu tunaona fursa ya ajira” Na Joel Headman Mgombeau rais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha United Democratic Party (UDP)…
18 September 2025, 5:34 pm
Na Joel Headman Wazee wa Kikombe cha bati, chai ya moto leo wamekiona cha moto kutoka kwa Purple Nation Mbeya City kwenye mchezo wa 3 wa ligi kuu uliomalizika jioni hii hapa Tanzanite Kwaraa Babati Kipute hicho kilianza majira ya…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES