

Triple A FM
88.5 MHz
Triple A Complex,Sakina-Arusha
+255713515936,+255682676784
triplea885@yahoo.com
88.5 MHz
Triple A Complex,Sakina-Arusha
+255713515936,+255682676784
triplea885@yahoo.com
“elimu jumuishi kwa watoto izingatie maarifa,maadili na stadi za kazi”
25 March 2025, 10:31 am
Na Joel Headman; Arusha Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya ugonjwa wa Kifua Kikuu kwa asilimia 40 hatua inayoiweka nchi katika mwelekeo sahihi wa kufanikisha lengo la kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu…
31 January 2025, 10:29 am
Na Joel Headman, Arusha Wananchi wa Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi kutoa maoni juu ya maandalizi ya dirampya ya maendeleo ya taifa mwaka 2050. Wito umetolewa na hakimu mkazi wa mahakama ya Arumeru mkoani hapa Theresia Sedoyeka wakati wa utoaji…
29 January 2025, 11:21 am
Na Joel Headman, Arusha Hali ya majonzi imezidi kutawala jijini Arusha kutokana na kuongezeka kwa vifo vya kujuinyonga. Hii ni baada ya kijana mwenye umri wa miaka 32 mkazi wa kijiji cha Oldadai Elirehema Ernest kujinyonga kwa kile kinachodhaniwa ni…
28 January 2025, 10:17 am
Na Joel Headman, Arusha Uongozi wa soko kuu jiji la Arusha umepiga marufuku watoto kujihusisha na biashara sokoni hapo. Katazo hilo limekuja ikiwa ni siku chache baada ya shule kufunguliwa kote nchini. Akizungumza na Triple A fm amesema kumekuwa na…
17 December 2024, 9:05 pm
Na Joel Headman Arusha Siku 1 baada ya wananchi wa kata ya Muriet Jijini Arusha kumtembeza kwenye matope na maji machafu diwani wao Francis Mbise mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameeleza kufurahishwa na tukio hilo. Akizungumza leo kwenye…
13 December 2024, 5:40 pm
Na Joel Headman Babati Ndio..baada ya msoto wa karibu miezi miwili kwenye uwanja wa nyumbani bila ushindi wa ligi, hatimaye Fountain Gate wamepata alama 3 leo dhidi ya Coastal Union ya Tanga yenye makazi ya muda Jijini Arusha. Mara ya…
1 December 2024, 5:23 pm
Na Joel Headman Arusha Unazijua sababu zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa? Mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara kati ya Coastal Union na Tanzania Prisons umepigwa kalenda. Mchezo huo namba 102 uliopangwa kuchezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha umeshindikana…
6 November 2024, 8:52 am
Na Joel Headman – Babati Haikuwa bahati tena kwa Fountain gate kuendeleza rekodi yao ya kutopoteza mchezo kwenye uwanja wa nyumbani mpaka ilipotamatishwa na Pamba jini jana. Timu hizo zilianza mchezo kwa kushambuliana kwa zamu na kama kawaida Fountain gate…
30 October 2024, 9:22 am
Na Joel Headman Timu maalumu ya kupambana na makosa ya mtandao kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha na Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA wamewakamata watu 20 kwa tuhuma za kuingilia mifumo ya mawasiliano. Kwa mujibu wa taarifa…
28 October 2024, 8:28 pm
Na Joel Headman Babati: Ndo ivyo bwana mchezo wa Ligi kuu ya NBC kati ya Fountain Gate na Mashujaa umetamatika hapa uwanja wa Tanzanite Kwaraa kwa sare maua ya 2-2 Fountain gate ndio wenye furaha zaidi baada ya kutanguliwa goli…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES