Storm FM

Mazingira

3 August 2021, 1:33 pm

Mfumo wa uchukuaji taka ni kero kwa wakazi.

Na Zubeda Handrish: Wakazi wa mtaa wa Nyerere Road katika halmashauri ya mji wa Geita, wameuomba uongozi wa serikali ya mtaa huo kusimamia suala la uchukuaji  wa taka katika makazi yao kwakua magari yanayobeba taka hizo hupita barabara kuu pekee…