Storm FM

Mazingira

27 August 2026, 9:17 am

Polisi Hai watoa elimu kupinga uhalifu

Jeshi la Polisi wilaya ya Hai kitengo cha Polisi jamii limetoa elimu kuhusu kupinga uhalifu na matumizi ya madawa ya kulevya katika shule ya sekondari Lyamungo na katika jamii. Na Henry Keto Jeshi la Polisi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro,…

25 August 2026, 10:30

Serikali yaombwa kuongeza watumishi, wodi Ihongole

Uhaba wa watumishi katika Kituo cha afya ihongole unahatarisha usalama wa wagonjwa wanaofika kituoni hapo kupata huduma za afya. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kata ya Boma, Halmashauri ya Mji Mafinga, wameiomba Serikali kuongeza watumishi wa afya pamoja na wodi…

3 August 2026, 17:04

Maafisa tabibu 62 wahitimu Kilosa

Chuo cha Maafisa Tabibu Kilosa kimefanya Mahafali ya 23 ambapo kimeendelea kudumisha ufaulu wa asilimia 100 kwa miaka mitano mfululizo licha ya kukabiliwa na changamoto za miundombinu na uhaba wa vifaa vya TEHAMA. Na Asha Madohola Wahitimu wa Chuo cha…

28 July 2026, 10:28

Wananchi Mtwango kunufaika na jengo la mama na mtoto

Serikali inaendelea kuwekeza katika kuboresha miundombinu ya afya ili kusogeza huduma bora karibu na wananchi na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma nchini. Na Hafidh Ally Zaidi ya wananchi 17,000 wanatarajiwa kunufaika na ujenzi wa jengo la huduma za mama…

22 July 2026, 11:48

Vijana Kilosa wahimizwa kupinga rushwa

Kupambana na rushwa kunahitaji ushirikiano wa wananchi wote kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na kutoa taarifa kwa mamlaka husika pindi vitendo vya rushwa vinapobainika. Na Asha Madohola Jamii, hususan vijana wa Wilaya ya Kilosa, wamehimizwa kujiepusha na vitendo vya rushwa na…

3 July 2026, 09:11

Ndiwili kunufaika na ujenzi wa Zahanati

Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa wilayani Iringa, wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya, kufuatia ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho kufikia hatua nzuri ya utekelezaji. Akikagua maendeleo ya…

17 June 2026, 08:52

Wamiliki day care Kilosa watakiwa kujisajili

Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…