Storm FM
Storm FM
17 June 2026, 08:52
Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…
12 June 2026, 6:20 pm
Watumishi wa hospitali ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wamepongezwa kwa utoaji wa huduma bora kwa wananchi wanapofika kwa ajili ya kupata huduma na kuwasisitiza kuendelea kutimiza majukumu yao kikamilifu. Na Omben Mgongolwa Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa…
11 June 2026, 9:56 am
Lulu Samson pamoja na mganga Mfawidhi hospitali ya wilaya ya Makete Dkt Amanda Mollel Jamii imesisitizwa kuendelea kuyakumbuka makundi maalumu katika maeneo yao ili kuwafariji na kuwapa pole ili waweze kupata faraja kutoka kwa watu wengine wanaowatembelea Na mwandishi wetu.…
10 June 2026, 08:43
Bima hizo zimetolewa ili kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha jamii inapata huduma bora za afya. Na Fredrick Siwale Katika kuunga Mkono upatikanaji wa bima ya afya kwa wote, chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimekabidhi shilingi Sh. 450,000…
9 June 2026, 13:17
Hali ya mimba za mapema wilaya ya Ruangwa bado ni tishio ikiwa kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huu zimeongezeka kwa asilimia 16 huku awamu ya Aprili ni asilimia 15 tofauti na takwimu za hapo awali. Na mwandishi wetu…
30 May 2026, 2:50 pm
‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…
22 May 2026, 18:02
Hatutawavumilia viongozi wote watakaofanya udanganyifu wa uchezea (kuchakachua) mizani kwa lengo la kuwaibia wakulima, Lakini pia hatutawavumilia wakulima wataoharibu pamba kwa kuweka Maji, mchanga au Mafuta ya kenge hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kufungwa Jela. “Ndinda Antony – Mkaguzi…
22 May 2026, 9:10 am
Wajasiriamali wa kata ya Bomang’ombe wamepatiwa mafunzo maalumu ya kulinda mitaji yao na vipato vyao pamoja na kuanzisha biashara kwa mitaji midogo, wamefundishwa kutengeneza batiki, sabuni ushonaji na mafunzo mengine ya ujasiriamali. Na Henry keto, Hai-Kilimanjaro Diwani wa Kata ya…
20 May 2026, 00:23
Kwasasa wilaya ya Meatu tumepiga marufuku uvunaji wa pamba kwa kutumia vikundi vya ngoma na muziki maana havizingatii kanuni bora za pamba hali inayosababisha uchafuzi wa pamba wakati wa uvunaji ” Thomas Shilabu afisa kilimo wilaya ya Meatu. Viongozi wa…
15 May 2026, 4:52 pm
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) lilianzishwa mwaka 1986 ambapo maadhimisho ya miaka 40 yanatarajiwa kufanyika Mei 30, 2026. Na: Ester Mabula Kuelekea maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…