Storm FM
Storm FM
15 May 2026, 4:52 pm
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) lilianzishwa mwaka 1986 ambapo maadhimisho ya miaka 40 yanatarajiwa kufanyika Mei 30, 2026. Na: Ester Mabula Kuelekea maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…
15 May 2026, 11:50 am
Bodaboda watakaobadili taa na milio ya pikipiki kukiona Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Maafisa usafirishaji maarufu bodaboda wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wameaswa kutokubadilisha mifumo ya milio na taa iliyowekwa katika pikipiki zao na kuweka taa zenye mwanga mkali pamoja na kuweka…
14 May 2026, 3:33 pm
Ili kuendelea kufuga kwa tija na kukuza kipato cha mtu mmoja mmoja, wafugaji wametakiwa kuzingatia taratibu na kanuni za ufugaji. Na Anasta Urio Hai- Kilimanjaro Wafugaji wa Nguruwe wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kufata kanuni na taratibu za ufugaji zinazotolewa…
12 May 2026, 19:02
Lazima mkulima ashiwe mkono kama mtoto mdogo anavyoshikwa mkono wakati wa kuvukishwa barabarani, ndio maana serikali inamhudumia kuanzia pembejeo hadi kwenye masoko, tunatamani heshima ya pamba urudi. ” Agrey Mwanri -balozi wa pamba tanzania “ Imeelezwa kuwa Serikali ya awamu…
12 May 2026, 18:00
Yamezungumzwa mengi na watangulizi wangu lakini naomba nikuongezee machache mgeni rasmi kuwa hapa Igunga kutajengwa kiwanda kiubwa cha kuchakata pamba kabla ya mwaka huu haujaisha maana tayari tumeshapata eneo “Renatus Luneja Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya pamba Tanzania-TCB “ Serikali …
May 12, 2026, 9:38 am
Pendekezo hilo la kutoa shilingi 1,000 kila mwezi kama ada ya taka limetolewa na Meya Acton Rwankomezi kutokana na kutozolewa taka kwa wakati sababi ikiwa ni ukosefu wa magari ya kubeba taka Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Kutokana na changamoto…
April 28, 2026, 3:42 pm
Watumishi wanatakiwa kuwa kiunganishi kati ya serikali na wananchi hali itakayosaidia kuepusha wananchi kuichukia serikali pamoja na viongozi. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Afisa Mtendaji wa kata ya Busunzu wilayani Kibondo mkoani Kigoma Bw. Shedrack Totoye amewataka watumishi wa Umma…
18 April 2026, 11:20 am
Kuna aina nyingi za uhalifu ikiwemo uhalifu dhidi ya mali, uhalifu dhidi ya binadamu, uhalifu dhidi ya maadili ya jamii yetu na uhalifu wa kimtandao hizo zote zinasumbua jamii. Na Oscar Mwakipesile Jamii Wilaya ya Butiama imepewa elimu kuhusu uhalifu…
14 April 2026, 11:13 am
”Viongozi wote wa vijiji na vitongoji kwa kushirikiana na wazazi tunapaswa kujua tunao watoto wangapi na kati ya hao ni wangapi ambao wako nje ya mfumo wa elimu ili tuwapeleke shule kwa ajili ya kulinda haki za mtoto”Afisa Tarafa ya…
2 April 2026, 09:26
Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…