Storm FM
Storm FM
11 July 2026, 4:43 pm
Viongozi wa Vijiji na mitaa wilaya ya Hai wameashwa kuwatambua watu wote wanaotoa tiba asili, kufuatia vifo vya watu wanne wa familia moja waliofariki kwa kudhaniwa wamekunywa dawa za asili. Na Oliver Joel Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bomang’ombe, Julius Swai,…
3 July 2026, 09:11
Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa wilayani Iringa, wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya, kufuatia ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho kufikia hatua nzuri ya utekelezaji. Akikagua maendeleo ya…
17 June 2026, 08:52
Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…
12 June 2026, 6:20 pm
Watumishi wa hospitali ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wamepongezwa kwa utoaji wa huduma bora kwa wananchi wanapofika kwa ajili ya kupata huduma na kuwasisitiza kuendelea kutimiza majukumu yao kikamilifu. Na Omben Mgongolwa Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa…
11 June 2026, 9:56 am
Lulu Samson pamoja na mganga Mfawidhi hospitali ya wilaya ya Makete Dkt Amanda Mollel Jamii imesisitizwa kuendelea kuyakumbuka makundi maalumu katika maeneo yao ili kuwafariji na kuwapa pole ili waweze kupata faraja kutoka kwa watu wengine wanaowatembelea Na mwandishi wetu.…
10 June 2026, 08:43
Bima hizo zimetolewa ili kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha jamii inapata huduma bora za afya. Na Fredrick Siwale Katika kuunga Mkono upatikanaji wa bima ya afya kwa wote, chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimekabidhi shilingi Sh. 450,000…
9 June 2026, 13:17
Hali ya mimba za mapema wilaya ya Ruangwa bado ni tishio ikiwa kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huu zimeongezeka kwa asilimia 16 huku awamu ya Aprili ni asilimia 15 tofauti na takwimu za hapo awali. Na mwandishi wetu…
30 May 2026, 2:50 pm
‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…
22 May 2026, 18:02
Hatutawavumilia viongozi wote watakaofanya udanganyifu wa uchezea (kuchakachua) mizani kwa lengo la kuwaibia wakulima, Lakini pia hatutawavumilia wakulima wataoharibu pamba kwa kuweka Maji, mchanga au Mafuta ya kenge hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kufungwa Jela. “Ndinda Antony – Mkaguzi…
22 May 2026, 9:10 am
Wajasiriamali wa kata ya Bomang’ombe wamepatiwa mafunzo maalumu ya kulinda mitaji yao na vipato vyao pamoja na kuanzisha biashara kwa mitaji midogo, wamefundishwa kutengeneza batiki, sabuni ushonaji na mafunzo mengine ya ujasiriamali. Na Henry keto, Hai-Kilimanjaro Diwani wa Kata ya…