Mpanda FM

Umeme

20 June 2025, 12:46 pm

Redio kuhamia mfumo wa dijitali kama ilivyokuwa kwa TV

Joel Headman “Kwenye upande wa FM ahami anabaki na redio yake, anayetaka kupokea signal ya dijitali ni lazima awe na kifaa cha kupokelea chenye uwezo wa kupokea signal ya dijitali” Mha. Jan kaaya Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA imetangaza kuanza…

19 June 2025, 12:37

Mwahula: Nilitoroka nyumbani miaka miwili

Jamii wilayani Kyela imetakiwa kuacha tabia ya kuwafungia watoto wenye ulemavu ndani na kuwanyima haki zao za msingi. Na James Mwakyembe Kutana na Siza Mwahula mlemavu wa viungo ambaye anasimulia maisha yake jinsi alivyoondokana na utegemezi kwa familia na hata…

13 June 2025, 10:51 am

CUF Zanzibar yajipanga kurejesha ufalme wao

Chama cha wananchi CUF ni miongoni chama kikongwe cha kisiasa ambacho kwa upande wa Zanzibar kilikuwa ni chama kikuu cha Upinzani kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2000 ambapo kuliingia migogoro ndani ya chama hicho na kusababisha kupotea kwa wanachama wake…

11 June 2025, 00:23

Wadau wakutana kuteta muarobaini soko mazao

Wadau mbalimbali wakiwa picha ya pamoja wakiwemo watoa huduma, vyama vya ushirika, wafanya biashara, wasindikizaji wa mazao na maofisa wa serikali mara baada ya kuhitimisha mafunzo ya kikao biashara. Picha na Marko Msafiri. Awali, wakulima wengi walikumbana na changamoto mbalimbali…

27 May 2025, 11:11 am

RC Babu akemea wanaodharau zao la kahawa

“Mazao ya kibiashara katika nchi yetu hususani zao la kahawa kwa mkoa wetu wa Kilimanjaro, tumedharau zao la kahawa, tunakata mikahawa na kujenga majumba lakini tukumbuke kwamba mikahawa hiyo ndio imewasomesha watoto wetu kufika chuo kikuu” Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro…

26 May 2025, 13:11

Kilimo Masoko yaja na mkakati masoko

Mafunzo hayo ni ya kuwainua wakulima kutawala katika soko la dunia kupitia uwepo wa mazingira wezeshi. Na Marko Msafiri Taasisi ya Nafaka Kilimo kupitia mradi wa Kilimo Masoko (FtMA) Kwa imewakutanisha wadau mbalimbali katika sekta ya pembejeo kwa lengo la…

25 March 2025, 3:39 PM

Mkulima auwawa na tembo Liwale

Picha na Google Tukio hilo limeibua hofu miongoni mwa wakazi wa eneo hilo, huku wakihofia usalama wao kutokana na tembo kuvamia makazi na mashamba yao. Na Neema Nandonde Mkulima Abasi Bakari Libunda (62) kutoka Kitongoji cha Nangorokoro, Kijiji cha Mirui…