Mpanda FM

Umeme

11 June 2026, 7:49 pm

Ukarabati MV Liemba wafikia asilimia 75%

Mradi wa terminal ya kisasa ya abiria wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 20 za Marekani unahusisha kuongeza kina cha bandari, kujaza maeneo maalum pamoja na ujenzi wa gati jipya lenye uwezo wa kuhudumia meli mbili kwa wakati mmoja.…

5 June 2026, 17:04

Vijana Kiteto waaswa kutotegemea urithi wa wazazi

Viongozi wa dini wana wajibu wa kuendelea kuwahimiza vijana kuzingatia maadili mema. Na Kitana Hamis. Vijana wilayani Kiteto mkoani Manyara wameaswa kuacha kutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao na badala yake kujikita katika kufanya kazi kwa bidii, kujiajiri pamoja na…

30 May 2026, 2:50 pm

Wavamizi wachoma nyumba Muhunda

‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…

24 May 2026, 11:45 pm

TADIO, TADB kushirikiana kuwafikia wakulima

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) iliazishwa mwaka 2012 kwa kazi maalum ya kuleta maendeleo katika sekta ya kilimo nchini Tanzania. Na. Abdunuru Shafii Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inaendesha semina kwa wamiliki na wahariri wa redio…

13 May 2026, 19:53

Jamii Ifakara yataka ulinzi vyanzo vya maji

Bodi ya Maji ya Bonde la Rufiji Kidakio cha Kilombero,imekiri kuwepo kwa shughuli zinazotishia mazingira ya vyanzo vya maji Na Katalina Liombechi Baadhi ya Vijana na wanawake Kata ya Lumemo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameelezea wasiwasi wao kuhusu hatma ya…

28 April 2026, 15:33

Vijana watakiwa kuchangamkia fursa kujiingizia kipato

Serikali imeendelea kuboresha mazingira  ya kilimo  kwa kuweka mindombinu ya kisasa hususani katika kilimo cha umwagililiaji. Na Victor Chigwada. Vijana wametakiwa kujikita kwenye fursa mbalimbali ili kujiingizia kipato na kuacha kisingizio cha kukosa ajira . Wakiongea na taswira ya habari…

23 March 2026, 16:11

Vijana wakatoliki Zanzibar wapeleka tumaini kwa wagonjwa

Zaidi ya vijana 250 wa Jimbo Katoliki la Zanzibar wametembelea Hospitali ya Wilaya ya Mbuzini kutoa msaada na faraja kwa wagonjwa ikiwa ni sehemu ya mfungo wa kwaresima. Na Mary Julius. Katika kipindi cha mfungo wa kwaresima, vijana zaidi ya…