

20 June 2025, 12:46 pm
Joel Headman “Kwenye upande wa FM ahami anabaki na redio yake, anayetaka kupokea signal ya dijitali ni lazima awe na kifaa cha kupokelea chenye uwezo wa kupokea signal ya dijitali” Mha. Jan kaaya Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA imetangaza kuanza…
19 June 2025, 12:37
Jamii wilayani Kyela imetakiwa kuacha tabia ya kuwafungia watoto wenye ulemavu ndani na kuwanyima haki zao za msingi. Na James Mwakyembe Kutana na Siza Mwahula mlemavu wa viungo ambaye anasimulia maisha yake jinsi alivyoondokana na utegemezi kwa familia na hata…
13 June 2025, 10:51 am
Chama cha wananchi CUF ni miongoni chama kikongwe cha kisiasa ambacho kwa upande wa Zanzibar kilikuwa ni chama kikuu cha Upinzani kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2000 ambapo kuliingia migogoro ndani ya chama hicho na kusababisha kupotea kwa wanachama wake…
11 June 2025, 00:23
Wadau mbalimbali wakiwa picha ya pamoja wakiwemo watoa huduma, vyama vya ushirika, wafanya biashara, wasindikizaji wa mazao na maofisa wa serikali mara baada ya kuhitimisha mafunzo ya kikao biashara. Picha na Marko Msafiri. Awali, wakulima wengi walikumbana na changamoto mbalimbali…
June 1, 2025, 11:20 am
Kanisa la Last Church of Tanzania limeendesha zoezi la kugawa misaada ya bidhaa muhimu kwa wahitaji wilayani Mbozi, likisisitiza kuwa huduma hiyo itaendelea kila mwezi. Na Anyisile Fredy Askofu wa Kanisa la Last Church of Tanzania, David Sichone, amesema utoaji…
27 May 2025, 11:11 am
“Mazao ya kibiashara katika nchi yetu hususani zao la kahawa kwa mkoa wetu wa Kilimanjaro, tumedharau zao la kahawa, tunakata mikahawa na kujenga majumba lakini tukumbuke kwamba mikahawa hiyo ndio imewasomesha watoto wetu kufika chuo kikuu” Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro…
26 May 2025, 13:11
Mafunzo hayo ni ya kuwainua wakulima kutawala katika soko la dunia kupitia uwepo wa mazingira wezeshi. Na Marko Msafiri Taasisi ya Nafaka Kilimo kupitia mradi wa Kilimo Masoko (FtMA) Kwa imewakutanisha wadau mbalimbali katika sekta ya pembejeo kwa lengo la…
25 May 2025, 10:34 am
Kata ya Oloipiri imetajwa kuwa miongoni mwa kata zenye hali mbaya ya lishe kwa watoto hali iliyopelekea mkuu wa wilaya ya Ngorongoro kutoa maagizo mazito kwa shule ambazo wanafunzi hawali chakula cha mchana shuleni. Na Zacharia James. Mkuu wa wilaya…
28 March 2025, 5:42 pm
Na Said Kuelekea Sikukuu ya Eid-el-fitri Jeshi la Polisi mkoa wa mjini magharib llimetoa wito kwa wananchi kusherehekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu na isiwe chanzo cha kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwemo, wizi, uporaji, unyang’anyi, udhalilishaji na…
25 March 2025, 3:39 PM
Picha na Google Tukio hilo limeibua hofu miongoni mwa wakazi wa eneo hilo, huku wakihofia usalama wao kutokana na tembo kuvamia makazi na mashamba yao. Na Neema Nandonde Mkulima Abasi Bakari Libunda (62) kutoka Kitongoji cha Nangorokoro, Kijiji cha Mirui…