Micheweni FM
Micheweni FM
14 September 2023, 9:04 am
Wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa wilaya ambazo zinaendelea kufanya vizuri katika mitihani yake ya taifa lakini bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi na walezi kutowapa kipaombele watoto wao kuhudhiria skuli. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi wa skuli za…
5 September 2023, 1:00 pm
Wanawake na watoto wamekuwa ni wahanga wakubwa kwenye suala zima la utelekezaji hivo ipo haja kuhakikisha kuwa tunashirikiana kwa kina kuhakikisha tunaondoa tatizo hilo ambalo linapigiwa kelele siku hadi siku katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo
30 August 2023, 7:54 am
Udhalilishaji ni vitendo ambavyo vinapigiwa kelele siku hadi siku katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo ni vyema kuhakikisha tunashirikiana kwa pamoja kutokomeza suala hili ambalo limekuwa likirejesha nyuma maendeleo. Na Mwiaba Kombo Afisa mkuu wa mawasiliano na uchochemuzi kutoka Chama cha…
24 August 2023, 7:29 am
Mradi wa viungo ni mradi ambao umekuja kwa lengo la kumkomboa mwananchi kiuchumi kuondokana na hali ngumu ya maisha. Na Mwiaba Kombo Maafisa kilimo wameshauriwa kutoa taarifa kamili kuhusu udongo bora wenye kukidhi viwango kwa lengo la kuzalisha mazao bora…
15 August 2023, 10:15 am
Na Mwiaba Kombo. Wananchi wa shehia ya Mtambwe kijiji cha Kokota wilaya ya Wete mkoa wa kaskazini Pemba wamewataka wasaidizi wa sheria katika wilaya hiyo kuwasaidia upatikanaji wa huduma za kijamii katika shehia hiyo. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi…
13 August 2023, 2:13 pm
Baada ya migogoro ya muda mrefu kati ya wakulima na wafugaji katika shehia ya Kojani bado suala hili limekuwa kizungumkuti kutokana na kukosekana kwa ufumbuzi wa tatizo hilo. Na Mwiaba Kombo Wakulima shehia ya Kojani Wilaya ndogo ya Kojani mkoa…
8 August 2023, 11:51 am
Wanafunzi wa skuli za Pandani msingi na sekondari wakipokea vifaa ambavyo vitawasaidia kwa ajili ya kujisome baada Na Essau Kalukubila Wanafunzi wa skuli ya msingi na sekondari Pandani pamoja na sekondari Wete ambao wanajitayarisha na mitihani yao ya taifa, wamepatiwa…
8 August 2023, 9:31 am
7 August 2023, 11:28 am
Baada ya Rais Hussein Mwinyi kutoa ahadi ya kituo cha afya Mleteni wilayani Wete wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2020 wananchi wameikumbusha serikali ujenzi wa kituo hicho. Na Mwiaba Kombo Wanawake wa kijiji cha Mleteni shehia ya Kisiwani…
24 June 2022, 7:22 am
NA MWIABA KOMBO. WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kusoma na kuzielewa sheria zote, ili kufanya kazi ya habari kwa ufanisi na bila vikwazo. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Khatib Juma Mjaja wakati alipokuwa akifungua mafunzo ya siku…
Micheweni Fm inapatikana mkoa wa kaskazini pemba – Zanzibar. ni kituo cha kijamii kinachotoa maudhui yanayoigusa jamii moja moja kwa moja