Micheweni FM
Micheweni FM
3 November 2023, 7:48 pm
Udhalilishaji ni kumfanyia mtu kitendo chochote kile kitakachomuathiri utu wake na heshima yake na kikamuathiri kimwili na kisaikolojia. Na Mwiaba Kombo Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kutumia kalamu zao na kupaza sauti zao kwa lengo la ukuweza kwatetea waathirika…
27 October 2023, 9:02 am
Umoja wa wanawake Tanzania UWT taifa umeandaa utaratibu wakutembelea miradi mbali mbali ambayo inafanywa na Serikali ya Tanzania pamoja na ya Zanzibar lengo likiwa ni utekeleaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 ya CCM kwa wananchi juu ya kuwapelekea…
24 October 2023, 10:09 am
Lishe ni jambo muhimu kwa binadam hivo ni jukumu la kila binadamu kuhakikisha anapata lishe iliyobora ili kujenga mwili imara na madhubuti. Na Essau Kalukubila. Viongozi wa dini kisiwani Pemba wametakiwa kutumia nafasi zao kufikisha Elimu ya Lishe kwa jamii…
18 October 2023, 11:19 am
Tatizo la upatikanaji wa vitambulisho pamoja na vyeti bandi (feki) limekuwa ni tatizo sugu ambalo kwa sasa katika visiwa vya Zanzibar ni jambo la kawaida licha ya serikali pamoja na wadau wengine kupiga kelele siku hadi siku kuhusu kupatikana kwa…
13 October 2023, 2:55 pm
Binadamu yeyote duniani ana haki ya kupata kile ambacho anastahili kupata bila ya kuwepo na ubaguzi wowote haijalishi ni mlemavu au sio mlevu , bila kujali ukabila wake ,dini yake ama rangi yake Na Mwiaba Kombo Wadau wa haki za…
5 October 2023, 3:43 pm
Elimu ni haki ya kila mtu hivyo kila mmoja kwa mujibu wa nafasi yake hana budi kuhakikisha anashirikiana kwa pamoja na wenzake ili watoto waweze kupata haki yao ya msingi ya elimu. Na Mwiaba Kombo. Wizara ya Elimu na Mafunzo…
2 October 2023, 1:08 pm
Kojani ni miongoni mwa kisiwa ambacho kinapatikana upande wa Mashariki mwa kisiwa cha Pemba mkoa wa Kaskazini Pemba wilaya ya Wete. Na Mwiaba Kombo Wananchi wa wilaya ndogo Kojani shehia ya Mpambani wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba, wameishukuru…
27 September 2023, 6:21 pm
Kilimo ni miongoni mwa uti wa mgongo wa taifa ambacho kinatuingizia kipato pamoja na chakula kwa mahitaji yetu ya kila siku hivo ni jukumu letu kuhakikisha tunaendeza kilimo ili kuweza kujikwamua na hali ya maisha. Na mwandishi wetu Rais wa…
23 September 2023, 4:21 pm
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeandaa mpango maalum wa kuhakikisha kwamba wanafunzi ambao wako kwenye madarasa ya mitihani wanapata muda wa ziada wa kujisomea. Na Ali Kombo Ikiwa ni siku ya elimu bila ya malipo Zanzibar Waziri…
20 September 2023, 7:18 am
Chuo cha kiislam Pemba ni miongoni mwa chuo ambacho kipo kisiwani Pemba ambapo kinatoa fani ya ualimu kwa ngazi ya cheti na diploma Na Mwiaba Kombo WAZIRI wa nchi ofisi ya rais tawala za Mikoa ,Serikali za mitaa na Idara…
Micheweni Fm inapatikana mkoa wa kaskazini pemba – Zanzibar. ni kituo cha kijamii kinachotoa maudhui yanayoigusa jamii moja moja kwa moja