Micheweni FM
Micheweni FM
1 October 2024, 3:32 pm
Makamo mwenyekiti Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mbarouk Salim Mbarouk akifungua mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi katika ukumbi wa Makonyo Chake chake Pemba. Kabla ya kufika tarehe ya uteuzi wa wagombea tume ina wajibu wa kuboresha daftari…
2 September 2024, 1:40 pm
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetoa ng’ombe 153 wa kufugwa kisiwani Pemba ambayo itakuwa ni chachu ya kuwaletea maendeleo wananchi hao. Na Mwiaba Kombo Waziri wa kilimo, Umwagiliaji, Mifugo na Maliasili Zanzibar Shamata Shaame Khamis amewataka wafugaji hao…
21 May 2024, 10:12 am
Waandishi wa habari wanapaswa kuhakikisha kuwa habari zao zinawajibisha watendaji ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi na uadilifu ili kuleta matokeo chanya katika jamii. Na Mwiaba Kombo Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuandika habari za michezo ambazo zitawafanya wanawake…
29 March 2024, 9:36 am
Skuli ya Minungwini ni baadhi ya skuli ambayo ipo katika wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba na ni miongoni mwa skuli ambazo zimejengwa kwa muda mrefu na miundombinu yake imechakaa. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi 274 wa skuli ya msingi…
7 March 2024, 12:36 pm
IIT Madrasa ni chuo kikuu chenye kujitegemea kinachotoa kozi mbali mbali za Teknolojia ambapo ujio wake hapa hapa Zanzibar kitaweza kutangaza fursa nyingi na kuleta mabadiliko na mageuzi makubwa ya maendeleo kwa upande wa Zanzibar. Na Mwiaba Kombo WANAFUNZI kisiwani…
25 November 2023, 6:31 pm
Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA) ni shirika la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo lina wajibu wa kusimamia na kukusanya na kuhifadhi mapato yote kama ambavyo sheria zinasema na ni kwa niaba ya Serikali. Na Mwiaba Kombo Mkuu…
24 November 2023, 9:46 am
Choo ni moja kati ya jambo muhimu katika nyumba hivo ni muhimu kuhakiksha kila mwanajamii amechimba choo katika nyumba yake lakini licha ya umuhimu wake ni lazima kuhakiksha huchimbi choo hicho karibu na vianzio vya maji kwani vinaweza kusababisha madhara…
23 November 2023, 4:47 pm
Na Mwiaba Kombo Wadau wa afya kisiwani Pemba wametakiwa kufikisha taarifa sahihi Kwa jamii kuhusiana na maradhi ya mripuko kutokana na mvua ambazo zinazoendelea kunyesha. Ushauri huo umetolewa na Afisa mdhamin wizara ya Afya Pemba Khamis Bilali Ali wakati alipokuwa…
19 November 2023, 1:18 pm
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kwa mujibu wa kifungu cha 4(1)(c)cha sheria ya kuanzisha afisi ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar namba 1ya mwaka 2017 na sheria ya uchaguzi namba 4 ya mwaka mwaka 2018,imepewa jukumu la kuandaa ,kutayarisha ,kuhifadhi…
16 November 2023, 12:17 pm
Udhalilishaji wa kijinsia ni ukatili wowote unaofanywa na mtu kumfanyia mtu mwingine bila kujali umri maumbile kabila rangi dini au mitazamo tofauti ya kisiasa au mingine. Na Mwiaba Kombo Walimu na wanafunzi wa skuli ya msingi Wesha wilaya ya Chake chake…
Micheweni Fm inapatikana mkoa wa kaskazini pemba – Zanzibar. ni kituo cha kijamii kinachotoa maudhui yanayoigusa jamii moja moja kwa moja