Micheweni FM
Micheweni FM
6 June 2025, 11:16 am
Picha ambayo ikimuonyesha Masoud Hamad Omar ambae amekutiwa hatian kwa kosa la kukamata na dawa za kulevya aina yabhangi yenye uzito wa gm 460 katika kijiji cha Sizini wilaya ya Micheweni Pemba (Picha na mtandao) Mamlaka ya kudhibiti na kupambana…
18 December 2024, 6:24 pm
meneja mamalaka ya mapato TRA mkoa wa kikodi pemba Arif Said akizungumza na mfanya biashara katika maeneo ya duka kiswani pemba ikiwa ni ziara maalum ya kuwatembelea na kusikiliza changamaoto zinazowakabili ikiwa ni ziara maalumu ya kuwatambelea wafanya biashara kwa lengo la kujua changamoto zinazo wakabili.…
16 December 2024, 4:57 pm
Wandishi wa habari na wafanya kazi wa Radio jamii Micheweni wakipatiwa mafunzo ya maadili ya habari na mkufunzi Hilali Alikisanda Ruhundwa kutoka Radio TADIO. Waandishi wa habari wapewa elimu ya maadili ya uandishi wa habari katika kituo cha Radio Jamii…
15 December 2024, 12:15 pm
Ushirikiano katika maeneo ya kazi ni jambo muhimu katika kufikia malengo husika na utekelezaji wa majukumu katika kuwasaidia wananchi Na Kuruthum Ramadhan Watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba watakiwa kufanya kazi kwa mashirikiano ili lengo…
15 December 2024, 12:05 pm
Kutokana na mabadiliko ya tabiachi tasisi zisizo za kiraia zimekusanyika kuzungumuza katika mradi wa mazingira ZANIADAPT mradi ambao unawashirikisha wanawake kwa asilimia kubwa. Na Essau Kalukubila Chama cha waandishi wa habari Wanawake Tanzania, TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na wadau wa…
15 December 2024, 12:00 pm
Wanawake ni kundi kubwa linalokabiliwa na umasikini lakini kupitia kilimo msitu kitaweza kuwakomboa kiuchumi. Na Time Khamis Mwinyi Chama cha wandishi wa habari wanawake Tazania Tamwa Zanzibar kisiwani Pemba wamezitaka asasi za kiraia na tasisi za Serekali kutowa ushirikiano katika…
2 December 2024, 4:40 pm
Kumekuwa na dhana potofu kuwa mwanamke hawezi kuwa kiongozi mzuri katika jamii kwenye vyama vya siasa na hata serikalini, jambo ambalo ni tofauti na uhalisia. Na Time Khamis Mwinyi Karibu usikilize kipindi kinachoelezea kwa kina namna mwanamke anavyopambana na changamoto…
2 December 2024, 4:05 pm
Kumekuwa na mtazamo hasi juu ya mwanamke kushindwa kufanya maamuzi bila ya uwepo wa mwanaume jambo ambalo ni kinyume kabisa ,wanawake walio wengi wanashindwa kujieleza kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo aibu ,kejeli idhini kutoka kwa mwenza wake. Na Kuruthumi…
2 December 2024, 3:47 pm
Mwanahabari ni mtu yeyote yule ambae nafanya kazi ya uandishi wa habari kwa kukusanya,kutayarisha na kusambaza taarifa aidha anaweza kufanya kazi hiyo akiwa ameajiriwa ikiwa ni gazeti redio au kituo cha televisheni au wa kujitegemea akiuza kazi zake kama vile…
25 November 2024, 12:43 pm
Ulemavu ni hali ya kuwa na hitilafu ya kudumu mwilini au akilini inayomzuia mtu kutekeleza shughuli zilizo kawaida katika maisha ya jamii. Unamwekea mtu mipaka asiweze kutekeleza shughuli fulani katika maisha yake, tofauti na watu wengine. Na Mwiaba Kombo Nchini Tanzania katiba ya 1977 ilitambua haki za watu wenye ulemavu na kukataza aina zote…
Micheweni Fm inapatikana mkoa wa kaskazini pemba – Zanzibar. ni kituo cha kijamii kinachotoa maudhui yanayoigusa jamii moja moja kwa moja