Mazingira FM
Mazingira FM
23 July 2026, 18:16
Benki ya CRDB imekabidhi vitanda 33 vya wagonjwa na makabati 26 vyenye thamani ya shilingi milioni 25 kwa Hospitali ya Saratani ya Good Samaritan Ifakara, ili kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa. Na: Hospice Lipipa Benki ya CRDB imekabidhi vitanda…
20 June 2026, 15:06
Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imekabidhi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar gawio la zaidi ya shilingi bilioni 15.3, ikiwa ni ongezeko la asilimia 53 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Juma Malik Akil, amepongeza mafanikio…
29 May 2026, 10:36
Maziwa ni chakula muhimu na kamili kwa watu wa rika zote kutokana na kuwa na makundi yote ya virutubishi muhimu kwa mwili wa binadamu. Na Hafidh Ally WAANDISHI wa habari mkoani Iringa wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya maziwa bora na…
15 May 2026, 1:19 pm
Mkama alieleza kuwa anatambua kazi ya ukunga na uuguzi ni wito wa kujitolea unaoendelea kuwa msaada mkubwa kwa jamii, huku akipongeza ufanisi mkubwa wa kazi hiyo kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Na Adelinus Banenwa Hospitali ya Wilaya…
11 May 2026, 12:27
“Kuanzishwa kwa wodi maalumu ya uangalizi wa watoto wachanga na watoto njiti (NIKU) katika Hospitali ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, umeongeza upatikanaji wa huduma za karibu na kwa wakati kwa watoto wanaohitaji uangalizi maalumu” Na Saa Zumo Hospitali ya…
25 April 2026, 16:09
Ushiriki wa wanafamilia wote kwa pamoja ndiyo nguvu kubwa zaidi katika ukuaji wa lugha ya mtoto, familia inayokaa pamoja na kula chakula cha jioni, inayosali pamoja, au inayofanya kazi pamoja shambani inafanya mtoto asikie lugha ikitumika katika hali mbalimbali za…
3 February 2026, 11:49 am
Na Dorcas Charles Wakati CCM ikiazimisha miaka 49 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1977, Katibu wa CCM Wilaya ya Simanjiro, Bi. Wambura Igembya, ameelezea mabadiliko makubwa ya kijamii na kiuchumi yaliyopatikana wilayani humo. Katibu amebainisha kuwa tangu kuzaliwa kwa chama hicho,…
12 January 2026, 12:50
“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …
9 January 2026, 12:11 pm
“Kimsingi zoezi la kuandikisha wanafunzi linaendelea hadi Marchi 31, 2026 kwa mujibu wa mwongozo wa serikali kupitia wizara ya elimu” – Mwalimu Mtweve Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kujitokeza…
5 January 2026, 6:39 pm
Ni mafunzo ya mfumo wa School Information System. Na Devi Moses JUMLA ya walimu 110 kutoka Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wameshiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa School Information System (SIS) yaliyofanyika ukumbi wa Shule ya Sekondari Vwawa Day. Mafunzo hayo…