Mazingira FM

Maadhimisho

9 September 2026, 11:43

Miradi 13 kutembelewa na mwenge wa uhuru Kasulu

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2026 Wazo Mwang’onda amesema dhamira ya serikali ni kuhakikisha inaboresha miundombinu ya kutolea huduma muhimu kwa wananchi Na Hagai Ruyagila Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2026 umeanza mbio zake katika Wilaya ya…

2 September 2026, 13:14

Mwenge wa uhuru kuwasili Kasulu Septemba 9, 2026

Mwenge wa Uhuru ni miongoni mwa alama muhimu za kitaifa, ambazo hutumika kuhamasisha wananchi kuhusu masuala ya maendeleo, amani, umoja, uzalendo na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Kanali…

23 July 2026, 18:16

CRDB yakabidhi vitanda Good Samaritan

Benki ya CRDB imekabidhi vitanda 33 vya wagonjwa na makabati 26 vyenye thamani ya shilingi milioni 25 kwa Hospitali ya Saratani ya Good Samaritan Ifakara, ili kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa. Na: Hospice Lipipa Benki ya CRDB imekabidhi vitanda…

20 June 2026, 15:06

PBZ yatoa gawio la bilioni 15.3 kwa SMZ

Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imekabidhi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar gawio la zaidi ya shilingi bilioni 15.3, ikiwa ni ongezeko la asilimia 53 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Juma Malik Akil, amepongeza mafanikio…

29 May 2026, 10:36

Wanahabari Iringa wapewa elimu ya matumizi ya maziwa

Maziwa ni chakula muhimu na kamili kwa watu wa rika zote kutokana na kuwa na makundi yote ya virutubishi muhimu kwa mwili wa binadamu. Na Hafidh Ally WAANDISHI wa habari mkoani Iringa wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya maziwa bora na…

15 May 2026, 1:19 pm

Bunda DDH yaadhimisha Siku ya Wauguzi kwa harambee

Mkama alieleza kuwa anatambua kazi ya ukunga na uuguzi ni wito wa kujitolea unaoendelea kuwa msaada mkubwa kwa jamii, huku akipongeza ufanisi mkubwa wa kazi hiyo kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Na Adelinus Banenwa Hospitali ya Wilaya…