Loliondo FM
Loliondo FM
16 October 2024, 11:30 pm
Waziri wa maliasili na utalii mh balozi dkt Pindi Chana amekuwa akifanya vikao mara kwa mara na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa lengo la kujenga mahusiano mazuri baina ya wizara, NCCA na wananchi waishio pembezoni wa hifadhi ya…
13 October 2024, 12:54 pm
Na Mwandishi Wetu. Zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa limeanza rasmi Oktoba 11,2024 na bado zoezi hili linaendelea katika maeneoa mbalimbali kwa wilaya ya Ngorongoro. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Ngorongoro Murtallah…
6 October 2024, 5:38 am
Kumekuwepo na viongozi wa mikoa au wilaya kutoa maelekezo ya kuwahamisha wafugaji katika maeneo yao ambayo ni malisho ya mifugo yao kwa kisingizio cha kufuata maelekezo ya mh rais. Na mwandishi wetu . Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala…
27 September 2024, 12:02 pm
Ni katika hatua za kuendelea kuhakikisha kuwa kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na viongozi wa wilaya, viongozi wa serikali, siasa na viongozi wa kimila wanashirikiana na kuwa na mahusiano mazuri kwa lengo la uhifadhi endelevu pamoja na…
24 September 2024, 5:03 pm
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ni miongoni mwa halmashauri baadhi ya vijiji na vitongoji vilikuwa vimefutwa na kutangazwa kutoshoriki uchaguzi wa serikali za mitaa hata hivyo hivi karibuni waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa ametangaza kuvirejesha tena na maandilizi yanaendelea…
16 September 2024, 3:36 pm
Baada ya kuwa na hofu na wasiwasi kwa wananchi wa baadhi ya vijiji, mitaa na vitongoji kutoshoriki uchaguzi ikiwepo wilaya ya Ngorongoro sasa watapata nafasi ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwaka huu. Na mwandishi wetu. Serikali kupitia…
16 September 2024, 10:56 am
Katika kuhakikisha inaendelea kuboresha huduma za kijamii taasisi ya NGOLAC imeendelea kukutana na wadau mbalimbali ili kuimarisha utoaji wa huduma kwa jamii kwa kushirikiana na wadau hao. Na Saitoti Saringe Akizungumza Septemba 15/2024 katika ofisi za NGOLAC zilizopo ofisi za…
15 September 2024, 5:54 pm
Wafugaji wameendelea kupata neema ya kuboresha aina za mifugo yao na kufuga kisasa kupitia jitihada mbalimbali za serikali za kuboresha sekta ya mifugo katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Na mwandishi wetu. Wizara ya Mifugo na Uvuvi imedhamiria kununua madume…
12 September 2024, 7:41 pm
Inatajwa kuwa askari walio wengi wa hifadhi hapa nchini wamekuwa wakiingia migogoro na wananchi wanao zizunguka hifadhi kutona na sababu mbalimbali ikiwepo mifugo yao kuingia hifadhini. Na mwandishi wetu. Askari uhifadhi wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wametakiwa kujenga…
23 August 2024, 5:24 pm
Baaada ya maandamano ya siku kadhaa tarafa ya Ngorongoro, hatimaye kwa mara ya kwanza uongozi wa mkoa wa Arusha ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda wamefika Ngorongoro kuwasikiliza wananchi. Na mwandishi wetu. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda…
Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general
Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities
Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights
Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas