Ileje FM
Ileje FM
September 15, 2025, 9:37 am
Na Denis Sinkonde Chama cha mapinduzi kata ya Mlale wilayani Ileje Mkoani Songwe kimezindua rasmi kampeni za kusaka kura za udiwani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29 2025. Uzinduzi wa kampenzi hizo umefanyika Septemba 14 mwaka huu katika Kijiji cha Iyuli…
September 10, 2025, 6:17 am
Na Denis sinkonde na Anord Kimbulu Jumla ya watahiniwa 2641 wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wilayani Ileje Mkoani Songwe utakaofanyika Septemba 10 na 11 mwaka huu. Akizungumza na Ileje Fm juu ya maandalizi ya mitihani hiyo Mkurugenzi…
September 9, 2025, 6:08 am
Na Denis Sinkonde Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Senga amekabidhi jumla ya magari 6 mapya kwa ajili ya kuimarisha utendaji kazi wa Jeshi hilo hususani kuzuia na kupambana na uhalifu. Akizungumza wakati wa…
June 18, 2025, 3:03 pm
Mikakati hiyo ya serikali imetajwa kuwa itasaidia kukabiliana na wimbi la udumavu,utapiamlo na ukondefu hususani kwa watoto chini ya miaka 5 Na:Joel Kibona Serikali itaendelea kuimarisha ustawi wa jamii kupitia utekelezaji wa agenda ya lishe bora kwa watoto, ili kukabiliana…
June 18, 2025, 1:17 pm
Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa ya asilimia ya mikopo inayotolewa na hamashauri mji Tunduma kwa lengo la kuinua uchumi wao. Na:Denis Sinkonde Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilaya ya Momba Mkoani Songwe kwa kipindi cha uongozi wa serikali ya Awamu ya…
June 11, 2025, 1:21 pm
Usimamizi wa fedha za mradi usipofuata taratibu baada ya mabazara ya madiwani kuvunjwa kutaibuka miradi mingi haitakamilika kwa wakati ukilinganisha na malengo ya serikali na kuibua hoja za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG. Na:Denis Sinkonde Ileje.Mkuu wa Mkoa…
June 10, 2025, 3:06 pm
Imeelezwa kuwa daraja hilo pindi litakapokamilika litawasidia wananchi wa halmashauri ya Momba na Tunduma kurahisisha shughuli za usafirishaji yakiwepo mazao. Na: Denis Sinkonde Momba.Serikali imeanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa mita 54 linalounganisha halamashauri ya Momba na Tunduma wilaya…
June 6, 2025, 7:31 am
Mamlaka ya udhibiti wa mbolea nyanda za juu kusini TFRA yatoa tahadhari kwa wafanyabiashara wanaovusha mbolea za ruzuku kwenda nchi za nje bial vibali. Na:Denis Sinkonde Wafanyabiashara na wamakala wa uuzaji wa pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku na…
June 5, 2025, 7:10 am
Asilimia 40 ya watoto wa kitongoji cha Nkaka kijiji cha Itumba wanakabiliwa na udumavu. Na:Sikudhani Minga Halmashauri ya wilaya ya Ileje Mkoani Songwe inakabiliwa na changamoto za udumavu kwa watoto luicha ya wananchi kuzalisha mazao mbalibali ya vyakula pamoja na…
May 26, 2025, 1:13 pm
Na Denis Sinkonde Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Songwe kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi SACP Augustino Senga amesema kufuatia zoezi la kitaifa la uchaguzi mkuu linalotalajiwa kufanyika October mwaka huu ana imani Songwe itavuka salama ambapo amewataka askari…
“ILEJE FM” is a community radio, variety hits radio station transmitting from ITUMBA ILEJE, SONGWE. The radio is programmed with community, well-researched information, ethical advertisements, and promotions. The station employs competent individuals who are creative and professionally dedicated to satisfying our listeners’ and advertisers’ needs in the community.
The radio is owned by ILEJE DISTRICT, registered under the Tanzania Act of Companies on 31st October 2002 with certificate of incorporation No.112581 of 31st October 2002.
The main purpose for the establishment of ILEJE FM was to air to the community the important events, occurring in the country and outside of it, as well as, education, customs, tradition, science, health, agriculture, road traffic, household knowledge, and entertainment through to traditional and modern songs, opera, drama, music among others. This satisfies the need for information sharing and talent development.
Location
ILEJE FM is located in the Songwe region, Ileje District though its broadcasting covers areas of neighbouringregions.Rukwa, Mbeya, Ruvuma, Njombe, and some parts of Northern regions of Zambia and Malawi. The maximum of listeners is 5,000,00.
Vision
The Vision of ILEJE FM is to build community, a loyal and growing audience, and an engaged and educated citizenry by providing the highest quality of free-form programming that broadcasts entertainment, music, news, thoughts, sounds, ideas, and event listings that support free speech, diversity, and the interests of the local and global communities.
The ongoing ripple effect of sustaining ILEJE FM COMMUNITY RADIO is to expand a dedicated listener base who embrace and support ILEJE FM COMMUNITY RADIO because they feel their lives are enriched and improved, their communities strengthened, and the world is a better place.
Values
Inclusion: We believe that the fabric of our community is stronger when all of its members have the opportunity to express their diverse interests, concerns, and points of view.
Empowerment: We believe in providing educational opportunities that enable community members to build new skills and gain valuable experience. We promote an exchange of ideas that enriches people’s lives.
Mutual Support: We believe in fostering connections among the people of Songwe region in order to strengthen appreciation for the community and support among neighbors. Communication and local self-sufficiency during an emergency are important in a small, remote community.
Independence: We believe it is important that communities take responsibility for understanding the issues that affect them. Locally controlled media have the ability to provide viewpoints and information unavailable elsewhere.