Radio Tadio

Ulemavu

6 December 2023, 8:27 pm

Jaccafo yafanya maadhimisho ya watu wenye ulemavu Maswa

Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi  na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…

1 December 2023, 15:54

Wananchi Mbeya watakiwa kutowanyanyapaa watu wenye ulemavu

Watoto na watu wazima wenye ulemavu mara nyingi hukabiliwa na ubaguzi, unaosababisha kupungua kwa upatikanaji wa huduma za msingi za kijamii na kutotambuliwa kwa ujumla. Na Lameck Charles Jamii mkoani Mbeya imekumbushwa kuachana na tabia ya kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu…

28 September 2023, 12:56

Serikali kushugulikia changamoto za viziwi

Watu wenye uziwi wamekuwa wakipitia changamoto mbalimbali za kijamii hali inayopelekea kushindwa kufikia malengo yao Na Samwel Mpogole Wizara ya afya imesema kuwa inatambua changamoto zinazo wakabili walemavu hivyo inaendelea kushirikiana na wadau kuhakikisha wanashughulikia kikamilifu. Hayo yameelezwa na Dibogo…

August 31, 2023, 9:19 am

Walemavu Makete wafanya Uchaguzi

Shirikisho la Vyama vya watu wenye ulemavu Wilayani Makete limefanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Chama hicho na kumchagua BI. MARIA MSIGWA kuwa Mwenyekiti wa shirikisho hilo  Katika uchaguzi uliofanyika Agosti 30, 2023 katika ukumbi mdogo wa mikutano wa  halmashauri…

13 June 2023, 3:33 pm

Jamii yatakiwa kufufua ndoto za wenye ulemavu Iringa

Na Frank Leonard Wadau wa mtoto mkoani Iringa wameilaumu jamii wakisema ndiyo inayotengeneza mazingira ya watoto wenye ulemavu kutojiweza na kukosa fursa za maisha yaliyo jumuishi. Lawama hizo walizosema zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa ili kuleta suluhisho ya changamoto za…