
Uhuru

19 June 2025, 8:34 am
Jamii acheni kunyanyapaa watoto wenye ulemavu
Picha ya viongozi wa serikali katikati ni mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Kumfungia mtoto ndani ni kumnyima haki zake za msingi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…

5 June 2025, 9:15 am
DC Maswa atahadharisha Madiwani figisu za Ununuzi wa Pamba
Diwani ni haki yake kufanya biashara ya Ununuzi wa Pamba kwasababu pamba siyo shughuli ya Halmashauri kwahiyo hakuna mgogoro wa kimasirahi kwa diwani kununua Pamba, Lakini sitavumilia Diwani atakayefanya hujuma katika ununuzi wa Pamba mimi Nitakuning’iniza tu “Mhe Dkt Vicent…

3 June 2025, 06:44
Fahamu kilichoandikwa kwenye magazeti 3/6/2025
Siku ya leo June 3,2025 kurasa za magazeti zimechepisha habari mbalimbli kama ifuatavyo Na Ezra Mwilwa

26 May 2025, 15:31
Wanahabari wapigwa msasa matumizi ya mtandao wa radio jamii
Kutokana na uwepo wa uzalishaji maudhui mbalimbali katika mitandao ya kijamii waandishi wa habari wametakiwa kutumia taaluma Zao kuelimisha jamii Na Ezra Mwilwa Mafunzo hayo yaliyo andaliwa na mtandao wa Radio Jamii (TADIO) yamefanyika katika ukumbi wa hotel ya Mdope…

22 May 2025, 16:57
BoT yatoa elimu ya usalama katika fedha kwa watu wenye uoni hafifu
Watu wenye mahiataji maalum wakiwemo wenye uoni hafifu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wametakiwa kufuatilia na kutambua alama za usalama katika fedha pamoja na utunzaji unaofaa wa fedha. Na Glory Paschal Benki Kuu ya Tanzania BoT imetoa elimu ya fedha kwa…

20 May 2025, 5:08 pm
UVCCM Maswa kuwaunga mkono vijana uchaguzi mkuu
‘‘Vijana ni nguvu kazi ya taifa hili hatupaswi kabisa kuwa tunalalamika kulingana na viongozi wetu ambao tuliwaamini tukawapa kura za kuwa wawakilishi wetu kwenye vyombo vya maamuzi kwa sheria za nchi hii unaruhusiwa kugombea udiwani,ubunge kuanzia miaka 21 hivyo vijana…

8 April 2025, 20:09
Auawa kwa kuchomwa moto kwa tuhuma za wizi Mbeya
Vijana wengi wamekua wakipoteza maisha kutokana na kujihusianisha na vitendo vya kihalifu ambavyo wamekuwa wakifanya kwa kizingizio cha ukosefu wa ajira. Na Hobokela Lwinga Mkazi mmoja wa Iganzo, Vincent Jafari (21), amefariki dunia baada ya kuchomwa moto na wananchi wenye…

1 April 2025, 11:58 am
Utekelezaji wa ahadi za kampeni uchaguzi wa serikali za mitaa 2024
Kipindi hiki kinaangazia hali ya utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati wa Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa kupitia kwa Bi Lukia Mnyachi Mwenyekiti wa kijiji cha Nyengedi ambae ni mwanamke pekee aliyefanikiwa kupata kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa kata…

13 March 2025, 10:38
Jiji la Mbeya kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi
Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 halmashauri mbalimbali nchini zimeanza kujadili ugawaji wa majimbo ili kurahisisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Baraza la madiwani la halmashauri ya jiji la Mbeya limepitisha kwa kauli moja azimio la kuligawa jimbo la Mbeya mjini…

3 March 2025, 09:22
George ajiua kwa sumu kisa madeni ya vicoba vya mke wake ,Mbeya
Wanandoa mara zote huwa wanashauri kushirikiana pamoja katika maamuzi,hali hiyo imekuwa tofauti kwa ndoa za sasa. Na Ezekiel Kamanga Kijana George Arubati (29) mkazi wa mtaa wa Kanda ya Juu, kata ya Iduda jijini Mbeya amefariki dunia baada ya kudaiwa…