Radio Tadio

Uhuru

19 June 2025, 8:34 am

Jamii acheni kunyanyapaa watoto wenye ulemavu

Picha ya viongozi wa serikali katikati ni mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Kumfungia mtoto ndani ni kumnyima haki zake za msingi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…

26 May 2025, 15:31

Wanahabari wapigwa msasa matumizi ya mtandao wa radio jamii

Kutokana na uwepo wa uzalishaji maudhui mbalimbali katika mitandao ya kijamii waandishi wa habari wametakiwa kutumia taaluma Zao kuelimisha jamii Na Ezra Mwilwa Mafunzo hayo yaliyo andaliwa na mtandao wa Radio Jamii (TADIO) yamefanyika katika ukumbi wa hotel ya Mdope…

20 May 2025, 5:08 pm

UVCCM Maswa kuwaunga mkono vijana uchaguzi mkuu

‘‘Vijana ni nguvu kazi ya taifa hili hatupaswi kabisa kuwa tunalalamika kulingana na viongozi wetu ambao tuliwaamini tukawapa kura za kuwa wawakilishi wetu kwenye vyombo vya maamuzi kwa sheria za nchi hii unaruhusiwa kugombea udiwani,ubunge kuanzia miaka 21 hivyo vijana…

8 April 2025, 20:09

Auawa kwa kuchomwa moto kwa tuhuma za wizi Mbeya

Vijana wengi wamekua wakipoteza maisha kutokana na kujihusianisha na vitendo vya kihalifu ambavyo wamekuwa wakifanya kwa kizingizio cha ukosefu wa ajira. Na Hobokela Lwinga Mkazi mmoja wa Iganzo, Vincent Jafari (21), amefariki dunia baada ya kuchomwa moto na wananchi wenye…

13 March 2025, 10:38

Jiji la Mbeya kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi

Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 halmashauri mbalimbali nchini zimeanza kujadili ugawaji wa majimbo ili kurahisisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Baraza la madiwani la halmashauri ya jiji la Mbeya limepitisha kwa kauli moja azimio la kuligawa jimbo la Mbeya mjini…