Uhuru
15 May 2026, 15:27
Mil. 214 zawanufaisha walemavu, wanawake, vijana Kasulu
Mikopo ni mojawapo ya njia muhimu zinazosaidia maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii kwa makundi tofauti ya watu ili kuwawezesha kujiletea maendeleo na miongoni mwa makundi yanayonufaika sana na mikopo ni wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Na Hagai…
15 May 2026, 15:08
Idydc Microcredit yawa mkombozi kwa wajasiriamali Ifunda
“Mkopo kutoka IDYDC umesaidia kusomesha watoto na kukuza Biashara” Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ifunda Wilaya ya Iringa wameishukuru Taasisi ya Utoaji Mikopo ya IDYDC Microcredit kwa kuwapatia Mikopo iliyowasaidia kuanzisha biashara na kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Nuru…
13 May 2026, 20:18
Wananchi Kibaoni walalamikia ubovu wa barabara
Wananchi wameiomba serikali kukarabati barabara hiyo haraka ili kuboresha mawasiliano na shughuli za kiuchumi. Na Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Kibaoni katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameiomba serikali kutatua haraka ubovu wa barabara ya kuvuka reli kuelekea Uwanja…
6 May 2026, 12:41
DAS Kasulu ataka wanufaika mikopo ya 10% kuirejesha kwa wakati
Kamati ya Uhakiki wa mikopo ya asilimia 10 katika Wilaya ya Kasulu imefanya zoezi la kuhakiki vikundi mbalimbali vilivyowasilisha maombi ya mikopo kupitia Halmashauri ya Wilaya hiyo, kwa ajili ya kutolewa katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa…
30 April 2026, 7:34 pm
Watumishi wa mahakama wafikishwa kizimbani Geita
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Geita imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria kwa kufikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa mbalimbali yanayofanyiwa uchunguzi. Na: Ester Mabula Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imewafikisha…
April 28, 2026, 3:21 pm
Semagogwa aibuka kinara sekta ya habari 2026
Semagogwa ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuitendea haki tuzo hiyo, huku akisisitiza dhamira yake ya kuiwakilisha vyema sekta ya habari pamoja na wanawake na wanaume wa Kanda ya Ziwa na Tanzania kwa ujumla. MWANZA Mwandishi wa habari wa…
21 April 2026, 9:34 am
Kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.
Zaidi ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza Na Devi Moses ZAIDI ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza ya kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe. Kambi hiyo imefunguliwa rasmi April 20,…
14 April 2026, 19:57
Kaya 18 zanufaika na maji ya mkopo
Shirika la IDYDC limefanikiwa kuwapatia maji ya mkopo wananchi wa Mgera ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu kufuata huduma ya maji mabondeni. Na Hafidh Ally Jumla ya kaya 18 za kijiji cha Mgera kilichopo kata ya Kiwele Wilaya ya Iringa zimenufaika…
3 April 2026, 10:26
IDYDC yatatua changamoto ya maji Mangawe
Wananchi wa Kijiji cha Mangawe kilichopo Jimbo la Ismani wanatarajia kunufaika na mradi wa maji ya mkopo usiokuwa na riba. Na Hafidh Ally Shirika lisilo la kiserikali la Idydc Mkoani Iringa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi…
29 March 2026, 16:07
IDYDC kuwakopesha maji wananchi Mikong’wi
Changamoto wa upatikanaji wa huduma ya maji Katika Kijiji cha Mikong’wi imepelekea Uongozi wa kijiji hicho kuwakaribisha Shirika la IDYDC kuwapatia maji ya Mkopo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Mikong’wi Kilichopo Kata ya Kising’a Wilaya ya Iringa Vijijini…