Uhuru
26 June 2026, 6:17 pm
TAKUKURU Geita yawafikisha Mahakamani watumishi 18 kwa ubadhirifu
Leo Juni 26, 2026 TAKUKURU imewafikisha mahakamani watumishi wapatao 18 kutoka katika halmashauri tano za mkoa mkoa wa Geita kutoka na makosa ya ubadhirifu. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewafikisha Mahakamani…
12 June 2026, 4:34 pm
Takukuru Geita yawafikisha kizimbani watumishi 7 kwa ubadhirifu wa fedha
TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kuzuia mianya ya Rushwa kwa kuchukua hatua mbalimbali kwwenye makosa mbalimbali kwa kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imefanya uchunguzi wa upotevu wa fedha…
20 May 2026, 15:00
Viongozi wa kamati za mikopo ya 10% wafanya tathmini Uvinza
Kikao cha kamati za mikopo ya asilimia 10 husaidia kuhakikisha uwazi na usahihi katika utoaji wa mikopo kwani viongozi hupitia taarifa mbalimbali za vikundi na waombaji wa mikopo ili kuhakikisha fedha zinawafikia walengwa sahihi wenye sifa zinazotakiwa. Na Mwandishi wetu…
15 May 2026, 15:27
Mil. 214 zawanufaisha walemavu, wanawake, vijana Kasulu
Mikopo ni mojawapo ya njia muhimu zinazosaidia maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii kwa makundi tofauti ya watu ili kuwawezesha kujiletea maendeleo na miongoni mwa makundi yanayonufaika sana na mikopo ni wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Na Hagai…
15 May 2026, 15:08
Idydc Microcredit yawa mkombozi kwa wajasiriamali Ifunda
“Mkopo kutoka IDYDC umesaidia kusomesha watoto na kukuza Biashara” Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ifunda Wilaya ya Iringa wameishukuru Taasisi ya Utoaji Mikopo ya IDYDC Microcredit kwa kuwapatia Mikopo iliyowasaidia kuanzisha biashara na kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Nuru…
13 May 2026, 20:18
Wananchi Kibaoni walalamikia ubovu wa barabara
Wananchi wameiomba serikali kukarabati barabara hiyo haraka ili kuboresha mawasiliano na shughuli za kiuchumi. Na Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Kibaoni katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameiomba serikali kutatua haraka ubovu wa barabara ya kuvuka reli kuelekea Uwanja…
6 May 2026, 12:41
DAS Kasulu ataka wanufaika mikopo ya 10% kuirejesha kwa wakati
Kamati ya Uhakiki wa mikopo ya asilimia 10 katika Wilaya ya Kasulu imefanya zoezi la kuhakiki vikundi mbalimbali vilivyowasilisha maombi ya mikopo kupitia Halmashauri ya Wilaya hiyo, kwa ajili ya kutolewa katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa…
30 April 2026, 7:34 pm
Watumishi wa mahakama wafikishwa kizimbani Geita
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Geita imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria kwa kufikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa mbalimbali yanayofanyiwa uchunguzi. Na: Ester Mabula Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imewafikisha…
April 28, 2026, 3:21 pm
Semagogwa aibuka kinara sekta ya habari 2026
Semagogwa ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuitendea haki tuzo hiyo, huku akisisitiza dhamira yake ya kuiwakilisha vyema sekta ya habari pamoja na wanawake na wanaume wa Kanda ya Ziwa na Tanzania kwa ujumla. MWANZA Mwandishi wa habari wa…
21 April 2026, 9:34 am
Kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.
Zaidi ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza Na Devi Moses ZAIDI ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza ya kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe. Kambi hiyo imefunguliwa rasmi April 20,…