Uchumi
5 Agosti 2023, 10:25 mu
Madiwani Mafinga watoa tamko bei ya nyama
Na Hafidh Ally Baraza la Madiwani halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa limeridhia bei ya nyama iuzwe kwa shilingi elfu 9 baada ya wafanyabiashara wa nyama kuuza kwa shilingi elfu 10. Hatua hiyo imekuja baada ya kuongezeka kwa bei…
30 Julai 2023, 11:46 um
Wachimbaji wadogo wa madini Bunda wafunguka kinachowarudisha nyuma
Wachimbaji wadogowadogo walia kukosa msaada na kulazimika kutumia vifaa duni lakini wakati dhahabu inapopatikana ndipo viongozi wa serikali, mamlaka na wadau wengine hujitokeza kwa ajili ya mgao wa mali. Na Edward Lucas Utaratibu wa viongozi, wadau na mamlaka zingine za…
26 Julai 2023, 6:00 um
Madiwani Waishauri Serikali kuhusu TASAF
MPANDA Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameishauri serikali kuzipitia changamoto zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya Maskini TASAF ikiwa ni Pamoja na malipo ili kuufanya mpango huo kuwa na manufaa kwa walengwa . Ushauri huo wameutoa…
16 Julai 2023, 12:28 um
Masaburi: urasimu chanzo kusitishwa mikopo ya halmashauri
Urasimu chanzo cha kusitishwa kwa mikopo ya asilimia kumi kutoka mapato ya ndani ya halmashauri ambapo serikali inaandaa mfumo mwwingine ambao makundi ya akina mama vija na wenye ulemavu watatumia kupata fedha hizo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa serikali imeamua…
11 Julai 2023, 10:32 mu
Wachimbaji Dhahabu wakubali kukatwa 2% ya mauzo
Kutokuwepo kwa mfumo rasmi wa utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na mauzo kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu hali ambayo ilikuwa ikichangia wengi wao kukwepa kodi, serikali imefanya mabadiliko ya sheria ili kila mchimbaji aweze kulipa kodi. Na Mrisho…
10 Julai 2023, 8:42 um
Kicheko kwa bodaboda Storm Fm ikisaidia kutatua changamoto yao
Kutokana na changamoto ya muda mrefu ya kutozwa faini iliyokuwa ikiwasumbua waendesha pikipiki katika soko la Nyankumbu mjini Geita hatimaye adha hiyo imetatuliwa baada ya Storm FM kufika na kuripoti changamoto hiyo. Na Kale Chongela Waendesha pikipiki maarufu kwa jina…
7 Julai 2023, 2:58 um
Lugha ya kiswahili ni fursa ya kiuchumi duniani
Mamlaka zinazoshughulikia masuala ya ajira ikiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu zimetakiwa kuhakikisha kuwa wanaandaa na kuratibu mipango ya kutafuta nafasi za kufundisha lugha ya Kiswahili katika Nchi mbalimbali ili Watanzania waweze kwenda kutumia fursa…
30 Juni 2023, 10:24 mu
Katavi: Kusafirisha asali lazima kibali
KATAVI Wafanyabiashara wa mazao ya nyuki manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wemetakiwa kufuata taratibu na sheria za usafirishaji wa mazao ya nyuki ikiwamo kuwa na vibali vya usafirishaji. Mpanda Radio Fm imezungumza na wafanyabiashara wanaojihusisha na uuzaji wa asali ili…
12 Mei 2023, 1:18 um
NEEC na Bodi ya wakala wa uwezeshaji wananchi Zanzibar zasaini mkataba wa ushiri…
Tukio hilo la utiaji Saini limefanyika katika ofisi za baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi zilizopo eneo la Nzuguni jijini Dodoma. Na Fred Cheti. Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) pamoja na Bodi ya wakala wa uwezeshaji…
12 Mei 2023, 8:12 mu
Kampeni ya TRA ya Tuwajibike Yawagusa Wananchi
KATAVI Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza namna ambavyo wanapaswa kuwajibika katika ulipaji wa Kodi ili kuendelea kushiriki katika kuchangia kukuza uchumi wa nchi. Wameyaeleza hayo kutokana na kampeni ya Tuwajibike ambayo inafanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…