
Siasa

8 August 2023, 10:52 am
ACT-Wazalendo wahitimisha mzunguuko wa kwanza wa mikutano ya hadhara mkoa Kaskaz…
ACT-Wazalendo wakamilisha mzunguunko wa kwanza wa mikutano ya hadhara kwa kusisitiza umoja, mshikamano na uzalendo kwa Wazanzibari. Na mwandishi wetu. MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa ndugu Juma Duni Haji, amesema kwamba ni muhimu wazanzibari kushikama na kuwawamoja ili kutengeneza…

8 August 2023, 9:31 am
Kipindi: Mafanikio ya serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar

27 July 2023, 09:10
Chongolo: CCM itaendelea kuisimamia serikali
Chama Cha Mapinduzi kimesema kitaendelea kuhakikisha kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa masuala mbalimbali ya maendeleo ili kufikisha huduma bora kwa wananchi. Na, Tryphone Odace Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Daniel Chongolo amesema chama hicho kitaendelea kuisimamia Serikali Kuu…

16 July 2023, 3:14 pm
BAVICHA kuadhimisha siku ya vijana duniani mkoani Mwanza
BAVICHA maadhimisho ya siku ya vijana Duniani yatafanyiaka Mwanza kauli mbiu kijana ijue na itambue nguvu yako, lengo ni kuwakutanisha vijana na badarishana mawaza ya fursa zilizopo. Na Adelinus Banenwa Baraza la vijana chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA wanatarajia…

15 July 2023, 8:47 pm
Masaburi, vijana changamkia fursa
Ili kuhakikisha vijana wanaendelea kujikwamua kimaisha wametakiwa kuchanagmkia fursa zinazotolewa na serikali ikiwa ni pamoja na kuomba mikopo ya asilimia kumi kutoka halmashauri. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana mkoani Mara kuchangamkia fursa zinazotolewa na serikali ili kujikwamua kimaisha…

14 July 2023, 4:24 pm
Ahadi zilizoahidiwa kwenye uchaguzi zitekelezwe
Katika uchaguzi wa wa uongozi katika nyadhifa mbalimbali ukiwemo wa mtaa, viongozi hunadi sera zao kwa wananchi ili waweze kupigiwa kura za kuwahudumia wananchi wa eneo husika, Je ahadi huwa zinatekelezwa? Na Zubeda Handrish- Geita Kufuatia utaratibu wa Kipindi cha…

13 July 2023, 12:00 pm
Uchaguzi mdogo wa madiwani Tanzania bara kufanyika leo
Upigaji kura unafanyika katika vituo vilivyotumika wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 na mpiga kura aliyepoteza kadi au kadi yake kuharibika ataruhusiwa kutumia kitambulisho mbadala iwapo tu atakuwa ameandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura . Na Mindi…

13 July 2023, 11:49 am
Baiskeli 58 zatolewa kwa vikundi vya wanawake UWT Tabora
Jumla ya baiskeli 58 zimetolewa na kugawiwa; baiskeli mbili kila kata kwa vikundi vya wanawake UWT pamoja na vijana mkoani Tabora ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Zaituni Juma Mbunge wa viti maalum mkoani Tabora Munde Tambwe amesema baiskeli hizo zilizotolewa…

7 July 2023, 7:33 pm
ACT wazalendo walalamikia bendera zao kushushwa
Katibu wa ACT- Wazalendo amekuja juu na kutoa shutuma baada ya bendera kadhaa za chama chao kushushwa katika mitaa na barabara za mjini Geita, jambo lililopelekea Katibu wa chama hicho kuzungumzia hilo. Na Said Sindo- Geita Bendera za chama cha…

6 July 2023, 4:50 pm
Uzinduzi kampeni za uchaguzi wa udiwani CCM Kilosa mgombea akabidhiwa ilani ya c…
Kutokana na kuachwa wazi katika kata mbalimbali Tanzania bara, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ilitangaza kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 14 utakaofanyika Julai 13 mwaka huu na kampeni zilianza tangu Julai mosi hadi Julai 12 mwaka…