Miundombinu
31 July 2023, 16:22
Waziri Mbarawa atoa siku 15 kwa mkandarasi Kigoma
Na, Emmanuel Matinde Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, ametoa siku 15 kwa mkandarasi kampuni ya Sinohydro Corporation inayojenga kipande cha pili cha barabara ya Kabingo – Manyovu mkoani Kigoma kufikisha mitambo eneo la kazi ili kukamilisha ujenzi…
28 July 2023, 2:13 pm
Billioni 12 zatarajiwa kutekeleza miradi ya barabara Bahi
Kupitia mradi huo wananchi wametakiwa kuanzisha miradi midogomidogo itakayowasaidia kujikwamua kimaisha. Na. Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi Billion 12 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya barabara wilayani Bahi mwaka huu ili kuboresha miundombinu ya usafiri na kuharakisha maendeleo ya wananchi wa Bahi.…
27 July 2023, 5:10 pm
Wananchi Buchosa walia na ubovu wa barabara
Baadhi ya barabara kongwe nchini zimeonekana kutelekezwa na serikali ili hali zilitumika katika harakati za kudai uhuru wa taifa la Tanganyika zaidi ya miaka 60 iliyo pita. Na: Katemi Lenatusi Wananchi wa vijiji vya Busekeseke na Magulukenda katika kata ya …
26 July 2023, 7:36 pm
Mafinga wakamilisha ujenzi wa Miradi ya Boost.
Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego ameipongeza Halmashauri ya Mji Mafinga kwa Utekelezaji wa Miradi ya BOOST. Dendego ametoa pongezi hizo baada ya kutembelea Shule ya Msingi Nyamalala iliyokamilisha ujenzi wa vyumba vitano(5) vya madarasa…
26 July 2023, 5:26 pm
Ujenzi wa bweni la wasichana Mpendoo lita wanusuru na vitendo hatarishi
Ujenzi wa bweni hilo unatarajia kupunguza adha kwa wanafunzi hao katika shule hiyo kutokana wengi kutembea umbali mrefu hadi shuleni hapo hali inayohatarisha usalama wao. Na Fred Cheti. Kukamilika wa kwa ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike katika shule…
24 July 2023, 2:32 pm
Walimu watakiwa kuboresha mazingira ya shule kwa kupanda miti
Na Bernad Magawa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Mheshimiwa Donald Mejitii amewaagiza walimu wa shule za msingi wilayani Bahi kuhakikisha wanaboresha mazingira ya shule mpya zilizojengwa kupitia fedha za BOOST pamoja na zile za zamani kwa kupanda miti…
20 July 2023, 11:49 am
Wananchi Boma la ng’ombe wafurahia miundombinu ya barabara, zahanati
Na Hafidh Ally Wananchi wa kata ya Bomalang’ombe wilaya ya Kilolo mkoani Iringa wameishukuru serikali kwa kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, zahanati na shule. Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamesema kuwa kwa sasa miundombinu…
18 July 2023, 2:39 pm
Wasimamizi wa ujenzi shule ya sekondari Msalato watakiwa kuongeza kasi
Mh. Senyamule ameonesha kuridhishwa na utekelezaji wa ujenzi huo ambapo ametoa rai kwa wasimamizi kuongeza kasi ili yakamilike kabla ya tarehe 30 Mwezi huu. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameridhishwa na utekelezaji wa ujenzi…
18 July 2023, 11:19 am
Zaidi ya shilingi milioni 14 za wananchi kuanza ujenzi wa barabara wa kilomita k…
Ukosekanaji wa barabara unachangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa maendeleo katika maeneo mengi hasa ya wananchi wanategemea kilimo kuwakomboa kiuchumi na wakati mwingine majanga kama vile vifo hutokea hususan kwa akinamama wajawazito kukosa usafiri pindi wanapojitaji kwenda Hospitali. Na Asha…
15 July 2023, 11:22 am
Mbunge Nyamoga Aahidi ujenzi wa Shule ya Msingi
Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Mh Justine Nyamoga ameahidi kuanza ujenzi wa shule ya Msingi Kising’a ili kunusuru watoto wanaotembea umbali mrefu kufuata elimu. Mh. Nyamoga ambaye yupo kwenye ziara inayolenga kusikiliza kero za wananchi wake katika…