Miundombinu
2 July 2026, 17:02
Jiji la Dodoma latangaza fursa za uwekezaji maonesho ya sabasaba
Akiongelea huduma zinazotolewa katika Banda la Halmashauri ya Jiji la Dodoma, alizitaja kuwa ni huduma zinazogusa wawekezaji na wafanyabiashara pamoja wananchi kwa ujumla wao. Na. Anwary Shaban. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imejipanga kujitangaza kama kitovu cha uwekezaji, biashara na…
26 June 2026, 8:05 pm
Nyang’hwale yatoa milioni 211 kwa vikundi 32
Wilaya ya Nyang’hwale imeendelea Wilaya ya Nyang’hwale imeendelea kusisitiza umuhimu wa kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili kuimarisha uchumi Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame ameziagiza taasisi nunuzi …
26 June 2026, 12:48
Waziri Kapinga aipongeza Mainland kwa uwekezaji mkubwa
Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo maboresho ya sera, sheria na mifumo ya kodi ili kuvutia uwekezaji zaidi katika viwanda vya mafuta ya kula na kuongeza uzalishaji wa ndani. Na Mariam Kasawa.Serikali imeahidi kuendelea kuweka mazingira bora kwa wawekezaji katika…
24 June 2026, 1:01 am
Shirika la Hand in Hand lasaidia wafuga kuku Manyara
Wafugaji na wanunuzi wa kuku Wilayani Babati mkoani Manyara wamelishukuru Shirika la Hand in Hand kwa kuwakutanisha pamoja kujadili juu ya mahusiano ufugaji na soko la kuku. Na Christina Christian Wakizungumza kwenye jukwaa la mahusiano ya kibiashara kwa wadau katika…
4 June 2026, 4:08 pm
RIVACU yaja na mipango mikakati ya kuinua ushirika Manyara
Chama kikuu Cha ushirika mkoa wa Manyara (RIVACU)kimefanya mkutano mkuu wa mwaka ambapo mipango mbalimbali imewasilishwa ikiwemo miradi itakayoendelezwa pamoja na uzalishaji kwa ajili ya kukuza chama hicho. Na Mzidalfa Zaid Akiongea baada ya kikao hicho mwenyekiti wa bodi ya…
20 May 2026, 5:38 pm
Siku ya vipimo yaadhimishwa Manyara kwa utoaji elimu
Leo ikiwa ni kilele cha siku ya vipimo duniani, wananchi mkoani Manyara wametakiwa kufahamu vipimo sahihi wanaponunua bidhaa za mchanga, mawe kokoto na pumba ili kuepuka kununua bidhaa hizo zikiwa na ujazo usio sahihi. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa…
16 May 2026, 09:59
AWF yatambuliwa kuinua kilimo cha kakao Mlimba
AWF inajivunia mafanikio yaliyopatikana katika kuhamasisha wananchi kujikita kwenye kilimo cha kakao ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa SUSTAIN-ECO Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika (AWF) umetunukiwa cheti cha kutambuliwa kama mmoja wa wadau…
14 May 2026, 4:59 pm
Wanaushirika Manyara watakiwa kuzingatia uadilifu
Wanaushirika mkoani Manyara wametakiwa kuendesha shughuli za ushirika kwa kuzingatia uadilifu na kutimiza majukumu yao kama sheria zinavyoelekeza katika usimamizi wa vyama vya ushirika. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na mrajisi msadizi wa vyama vya ushirika mkoa wa…
April 29, 2026, 1:40 pm
Zimamoto Geita waanzisha klabu za usalama mashuleni
Elimu hiyo kwa wanafunzi wa shule za msingi inajenga kizazi chenye uelewa wa mapema kuhusu tahadhari za majanga ya moto. Na Clement Shawishi- GEITA. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita limeendelea kutoa elimu kwa wanafunzi wa Shule za…
3 April 2026, 09:37
Kisa mafuta, madereva wapandisha nauli Iringa
Nauli imepanda jambo lililopelekea baadhi ya abiria kuiomba mamlaka husika kutangaza bei halisi. Na Telesia Chalamila Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza ongezeko la bei ya mafuta, madereva wa vyombo vya usafiri wa…