Radio Tadio

Miundombinu

1 February 2024, 17:15

Wakandarasi wa barabara Kigoma wanyoshewa kidole kutowajibika

Wajumbe Wa Bodi ya Barabara Mkoa wa Kigoma, Wamelalamikia Kusuasua kwa Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara za Uvinza – Tabora na Kigoma – Kalya, Kwa madai ya wakandarasi kutowajibika ipasavyo, Pamoja na Kiwango Duni cha Ujenzi wa Mitaro Katika Barabara…

January 25, 2024, 8:28 am

Milioni 622 kufidia ujenzi wa barabara Makete

Ikiwa tayari ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika eneo la ujuni umeshaanza kwa zaidi ya kilometa 3 serikali imeendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kutoka Makete ,kupitia Nkenja kwenda Mbeya Na Aldo Sanga Waziri wa…

24 January 2024, 10:17 pm

Wafanyabishara sabasaba wafurahia mazingira ya soko

Soko la Sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa yaliyopo Jijini Dodoma ambayo ni maarufu kwa uuzwaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo mbogamboga matunda na mavazi. Na Thadei Tesha.Wafanyabiahara wa soko la sabasaba Jijini Dodoma Wameelezea kufurahishwa na hali ya mazingira ya…

24 January 2024, 2:57 pm

MPANDA, Wananchi Walia na Ubovu wa Barabara

“Wananchi Wamesema Barabara nyingi zilizopo Manisapa zina Mashimo yaliyojaa maji na matope, mitalo iliyojaa michanga na takataka inayosababisha maji kuchepuka na kuingia barabarani” Picha Na Festo Kinyogoto Na Gladness Richard-katavi Wananchi  wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba Serikali kuboresha…

January 19, 2024, 6:30 pm

DC Sweda aahidi laki tano matengenezo barabara Kinyika-Mlondwe

na mwandishi wetu. Imeelezwa kuwa barabara ni moja ya njia inayowasaidia wanananchi kuweza kujikwamua kiuchumi. mkuu wa wilaya makete mh juma sweda ametembela barabara  ya kinyika- mlondwe na kuona changamoto inayowakumba wanachi wa maeneo hayo  na kuahidi  kutoa kiasi cha…

16 January 2024, 11:58 am

Mvua kubwa yaua watatu Same

Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Same Mkoani Kilimanjaro na zimesababisha madhara katika miundombinu ya barabara pamoja na kusababisha watu kupoteza maisha. Na Elizabeth Mafie Watu watatu wamefariki Dunia Wilayani same Mkoani Kilimanjaro kwa kufukiwa na nyumba na mmoja…

15 January 2024, 11:49

Zaidi ya nyumba 100 zaezuliwa wilayani Kibondo

Tathimini iliyofanywa na kamati ya maafa wilayani Kibondo mkoani Kigoma imebaini kuwa zaidi ya nyumba 100 ziliezuliwa na mvua iliyoambatana na upepo katika kambi ya wakimbizi Nduta ndani ya wiki mbili zilizopita. Hayo yamebainishwa na mkuu wa wilaya ya Kibondo…

14 January 2024, 12:42 pm

22 wafariki kwa kuporomokewa na kifusi mgodini Simiyu

Tumefanikiwa kuokoa miili ishirini na mbili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabushu kufuatia kuporomoka kwa duara wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji Na,Daniel Manyanga Watu ishirini na mbili  wamefariki dunia  kwa kufukiwa  (kuporomokewa) na kifusi…