Radio Tadio

Miundombinu

25 February 2026, 11:05 am

Waliohusika kumuua Irene kukiona

“Nilimtuma mdogo wake hakumkuta,tukaenda wote kumtafuta hadi usiku wa saa sita hatukufanikiwa kumuona basi tukafunga mlango tukalala“ Na Anna Milanzi -Katavi Kufuatia mauaji ya  Irene Yosia binti mwenye  umri wa miaka 16 mkazi wa mtaa wa Tulieni manispaa ya Mpanda…

16 February 2026, 23:27

Hivi ndivyo uchumi wa wana-Pangani utakavyokuwa

“Ujenzi wa barabara hii na daraja la Mto Pangani imeweka alama isiyofutika katika wilaya ya Pangani” Na Cosmas Clement Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dokta Mwigulu Nchemba ameiagiza wizara ya ujenzi kuhakikisha vipande vya barabara vinavyoendelea…

30 January 2026, 13:46

Wananchi Dodoma wahimizwa kuwekeza kibiashara

Picha ni Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma. Picha na Dodoma City Tv. Katika kikao hicho, Shekimweri amelipongeza baraza hilo  kwa kazi…

19 January 2026, 6:39 pm

Mwanamke mwenye ulemavu aliyetelekezwa apatiwa msaada

Kundi la watu wenye ulemavu linaendelea kukumbana na changamoto mbalimbali, hususan wanawake wanaotelekezwa. Na Mrisho Sadick: Mwanamke mwenye ulemavu Sarah Malale mkazi wa Kata ya Lulembela Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amewaomba Watanzania wenye mapenzi mema kujitokeza kumsaidia baada ya…

8 January 2026, 11:36 am

Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara

Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…

16 December 2025, 8:15 pm

Wafanyabiashara  Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati

Wafanyabiashara mkoani  Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara  ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…