Radio Tadio

Miundombinu

12 January 2024, 08:37

Kibondo hakuna mafuriko lakini kuna athari kubwa

Licha ya kutokuwepo mafuriko katika wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma lakini mvua zinazoendelea kunyesha zimeacha athali mbali mbali ikiwemo uharibifu wa miundo mbinu ya barabara, uharibifu wa mazao shambani na kuezuliwa kwa nyumba.  Na, James Jovin Hayo yamebainishwa na mkuu…

6 January 2024, 6:02 pm

Wakazi wa Loje watoa shukrani ujenzi wa Daraja

Wananchi hao wanasema kukosekana kwa daraja pia kulihatarisha hali ya usalama wao hasa kipindi cha mvua. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kata ya Loje Wilaya ya Chamwino wametoa Shukrani kwa Serikali kwa Juhudi kubwa ya Ujenzi wa Daraja linalounganisha Kijiji cha…

4 January 2024, 4:28 pm

Shekimweri ataka mapungufu yarekebishwe Mayeto

Zoezi la ukaguzi wa shule mpya jijini Dodoma zinazo tarajia kufunguliwa january 8 umeendelea ambapo mkuu wa wilaya alipata wasaa wa kutembelea shule mbili ambazo pia zimekamilika. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri ametaka mapungufu yaliyopo katika…