Miundombinu
7 December 2023, 1:43 pm
Ndege kuruka saa 24 Arusha
Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…
6 December 2023, 12:41 pm
Mvua yaleta athari katika baadhi ya maeneo jijini Dodoma
Tukio hilo limetokea Usiku wa Kumkia Disemba 5 baada ya Mvua kubwa kunyesha jijini Dodoma na kusababisha eneo hilo kujaa maji na kusababisha baadhi ya nyumba kubomoka. Na Seleman Kodima. Mtu mmoja amejeruhiwa huku Zaidi ya Nyuma Tano za Mtaa…
6 December 2023, 11:44 am
Bahi Road walalamika kuziba kwa makaravati ya kupitisha maji ya mvua
Baadhi ya wafanyabiashara wa eneo hilo wamelalamika kushindwa kuendelea na biashara zao kutokana na maji kuzingira eneo hilo. Na Khadija Ibrahim. Wafanyabiashara katika mtaa wa Bahi road Jijini Dodoma wamelalamikia ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo hilo kilichosababisha kuziba…
4 December 2023, 4:45 pm
Ujenzi daraja la Munguri kuanza Januari mwakani
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema daraja hilo ni lazima lijengwe kwa kuwa ni daraja la kitaifa. Na Nizar Mafita. Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amethibitisha ujenzi wa daraja la Munguri kuanzia mwezi Januari mwakani. Akitoa maelezo mafupi kwa Waziri…
2 December 2023, 3:41 pm
RC Katavi apiga marufuku shughuli katika hifadhi ya barabara
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na Wajumbe katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa hatua zaidi ziweze kuchukuliwa kwa Wananchi watakaobainika kufanya Shughuli zilizo kinyume katika hifadhi ya Barabara. Na Anna Milanzi -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
19 November 2023, 4:37 pm
Madiwani Maswa wakerwa na majibu ya TARURA
TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…
17 November 2023, 11:55 am
Prof Kabudi akabidhi mradi wa kukabarati barabara Kilosa
Serikali imeendelea kuwafikia wananchi waishio vijijini kwa kuwasogozea nyanja za ufunguzi wa maendeleo hususani katika ukarabati wa barabara kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) ambapo zinakwenda kuwaunganisha wananchi pamoja na kuwainua kiuchumi kwenye kilimo ambayo watayasafirisha hadi…
7 November 2023, 3:42 pm
Chama cha mafundi kuboresha mazingira ya kazi zao Dodoma
Ufundi ni moja kati ya tasnia yenye mchango mkubwa katika kuanzisha ukuaji wa miji. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa uwepo wa chama cha mafundi rangi na ujenzi Mkoani Dodoma itasaidia kwa kiasi kuboresha mazingira ya kazi kwa mafundi hao. Kutokana…
31 October 2023, 10:49 am
Wakandarasi watakiwa kuzingatia matakwa ya jiji la Dodoma
Huu ni mpango wa Uboreshaji wa Miundombinu katika miji ya Tanzania ujulikanao kama TACTIC unaofanywa na wakandarasi watatu. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi waliopewa miradi ya kujenga miundombinu ya barabara katika jiji…
30 October 2023, 16:01
Wachimbaji wadogo wa madini Chunya walia na mercury, wapata ulemavu
Teknolojia ni jambo zuri katika ulimwengu wa sasa lakini hali imekuwa tofauti kwa wachimbaji eneo la Chunya ambapo badala ya furaha imegeuka kilio. Na Hobokela Lwinga Wachimbaji wadogo wa madini katika eneo la Itumbi kata ya Matundasi wilaya ya Chunya…