Radio Tadio

Miundombinu

26 October 2023, 15:05

Ukosefu wa bweni unachochea wanafunzi kupata mimba

Ni wajibu wa Wananchi, wadau wa maendeleo na Serikali kushirikiana kuhakikisha wanajenga mabweni katika shule zao hasa za vijijini ambazo wengi wa wanafunzi wanatoka mbali na kutembea kwenda mashuleni au kulazimika kupangiwa vyumba vya kuishi (mageto) hali ambayo ni hatarishi…

25 October 2023, 12:39 pm

Vifusi barabarani kero kwa watumiaji wa vyombo vya moto Katoro

Kuchelewa kurekebishwa kwa miundombinu ya barabara imekuwa kikwazo nakuzorotesha uchumi wa wa wananchi. Na Kale Chongela: Madereva pikipiki na Bajaji wanaotumia barabara ya  soko kuu la  mji mdogo wa  katoro wilayani Geita wamelalamikia uwepo wa vifusi katikati ya barabara hilo hali…

25 October 2023, 11:39 am

BOOST, EP4R na TEA zaing’arisha shule ya msingi Pangani

Serikali kupitia viongozi wetu wametuheshimisha, madarasa yaliyojengwa yatakuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi. Na Cosmas Clement. Serikali imefanikiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 100 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2022/23 kwa ajili kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya madarasa…

24 October 2023, 11:58 am

Wakazi wa Chisamila na Manzase kuondokana na kero ya barabara

Bajeti ya ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini imekuwa ikiongezeka kutoka Shilingi bilioni 272.56 mwaka 2020/21 hadi Shilingi bilioni 722 katika mwaka wa fedha 2021/22 sawa na ongezeko la asilimia 185. Na Mindi Joseph. Zaidi ya millioni…

16 October 2023, 11:48 am

Wananchi Tukuyu walilia matuta kupunguza ajali za barabarani

Na Sabina Martin Rungwe-MbeyaKufuatia uwepo wa ajali za mara kwa mara katika eneo la ushirika mji mdogo wa Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya wananchi wa eneo hilo wameiomba serikali kuweka matuta katika eneo hilo. Baadhi ya wananchi waliozungumza na chai…

11 October 2023, 17:13

Kiwanda cha kutengeneza meli kujengwa Kigoma

Hatua ya kuanza ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza meli kinatjwa kuwa ni miongoni mwa mikakati ya Serikali kuboresha huduma za usafirishaji ndani ya Ziwa Tanganyika. Na, Tryphone Odace Serikali Kupitia Wizara ya Uchukuzi, imetia Saini makubaliano ya kuanza ujenzi wa…

10 October 2023, 5:48 pm

Pangani kupata usafiri wa majini wa uhakika

“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…

9 October 2023, 8:16 pm

Vilindoni yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo

Shule zinapaswa pamoja na mambo mengine kuwa na vyoo bora na vya kutosha kwa walimu na wanafunzi. Na Mindi Joseph. Shule ya Msingi Vilindoni inakabiliwa na uhaba wa matundu ya vyoo 15. Shule hiyo inajumla ya matundu 9 ya vyoo…