Miundombinu
13 August 2022, 7:41 am
Uwanja Wa Ndege Wa Nduli Kuwa Lango La Fursa Ya Utalii
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli mkoani Iringa utakapokamilika utaongeza fursa za kibiashara na kuifungua zaidi kanda ya Kusini kwenye sekta ya Utalii. Rais Samia Suluhu…
August 5, 2022, 5:59 pm
Madiwani Manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundo mbinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi. Wameyasema hayo leo katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa…
20 June 2022, 2:03 pm
Makulu waishukuru serikali kwa kutenga fedha kwaajili ya ujenzi wa barabara
Na; Alfred Bulahya. Uongozi wa kata ya Dodoma makulu jijini Dodoma umeishukuru Serikali kwa kuwapatia bilioni 10 na milioni 300, kwa ajili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami, inayounganisha eneo la Chaduru, Njendegwa mashariki, Njedengwa magharibi, Medeli, Mwangaza…
27 May 2022, 3:22 pm
Wakazi wa Magaga waiomba serikali kuwatatulia changamoto ya barabara
Na;Mindi Joseph. Wananchi wa kitongoji cha Magaga wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya miundombinu ya Barabara Kutoka Magaga kuelekea Mvumi pamoja na kuwajengea Daraja. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema changamoto hii inawaathiri katika shughuli zao za maendeleo na wameomba Serikali…
26 May 2022, 9:14 am
Kingiti waiomba TARURA kuwatengenezea barabara za mitaani
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa barabara za mitaa katika kata ya Kingiti imekuwa adha kubwa kwa wananchi hivyo wanaiomba mamlaka ya barabara za vijijini TARULA kuwasaidia kuchonga barabara hizo. Barabara za mitaa Ni muhimu katika jamii kwani zinasaidia kuweka mazingira…
16 April 2021, 10:49 am
Serikali kuhamasisha wawekezaji ujenzi wa viwanda vya mbolea nchini
Na;Mindi Joseph . Mkurugenzi wa mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania (TFRA) Dtk.Stephane Ngailo amesema kuwa wataendelea kuhimiza na kuhamasisha wawekezaji kushirikiana na serikali ikiwemo kituo cha uwekezaji , kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya mbolea hapa nchini . Dkt.Ngailo…