Radio Tadio

Miundombinu

7 March 2023, 4:11 pm

Ujenzi wa barabara watajwa kuwa kichocheo cha fursa

Sekta ya barabara imekuwa na mchango mkubwa katika shughuli mbalimbali ikiwemo usafirishaji wa bidhaa. Na Thadei Tesha. Ujenzi wa barabara kuelekea mtaa wa Ntyuka jijini dodoma unatajwa kuwa chanzo cha kuchochea zaidi fursa za kiuchumi. hayo ni kwa mjibu wa…

24 February 2023, 4:19 pm

Wananchi walia na uhaba wa Miundombinu ya Umeme Chiboli

Jografia ya kijiji hicho  cha Champumba imekuwa na changamoto katika kusambaza nguzo za umeme licha ya kupewa ahadi ya kusubiri awamu inayofuata. Na Victor Chigwada. Kukosekana kwa Miundombinu ya Umeme ikiwemo Nguzo za Kutosha katika Kata ya Chiboli Wilaya ya…

21 February 2023, 12:17 pm

Waiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kujengewa daraja

Wakazi wa kata ya Dabalo wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwajengea daraja linalounganisha baadhi ya vijijini katika kata hiyo. Na Fred Cheti. Wakazi wa kata ya Dabalo wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wameiomba serikali kuchukua hatua…

17 February 2023, 1:55 pm

TARURA yakamilisha marekebisho ya barabara kata ya Chiboli

Marekebisho hayo yanapunguza adha ya wananchi wa kata hiyo kusafiri  Umbali wa kilometa zaidi ya ishirini na nane kwa usafiri wa pikipiki. Na Victor Chigwada                                                         Diwani wa Kata ya Chiboli  Wiliamu Teu ameishukuru mamlaka ya usimamizi barabara za vijijini na…

16 February 2023, 4:51 am

Wananchi Kapanga Wamlilia Mrindoko

TANGANYIKA Wananchi wa kijiji cha Kapanga Tarafa ya Mwese wilayani Tanganyika wamemuomba mkuu wa mkoa wa katavi kuwasaidia changamoto zinazowakabili katika kijiji hicho. Wakizungumza mbele ya mkuu wa mkoa alipokuwa anakagua miradi iliyojengwa kupitia Fedha za Hewa ya ukaa kijijini…

9 February 2023, 10:30 am

Zaidi ya wananchi 7000 watarajia kunufaika

Zaidi ya wananchi 7000 wa kijiji cha Ibihwa na Mpamantwa Wilayani Chemba wanatarajia kunufaika na huduma ya maji safi na salama pindi ujenzi wa mradi wa kisima kikubwa cha maji unaotekelezwa katika vijiji hivyo utakapokamilika. Na Fred Cheti. Hayo yameelezwa…