Radio Tadio

Miundombinu

20 September 2023, 4:45 pm

Hombolo Makulu walia na uchakavu wa shule

Mazingira magumu au uchakavu wa miundombinu ya shule pamoja ongezeko la wanafunzi ni moja ya changamoto zinazo ikabili sekta ya elimu. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Hombolo Makulu wamelalamikia uchakavu wa miundombinu ya shule yao ya msingi hali…

13 September 2023, 5:46 pm

Wananchi Membe waomba semina zaidi mradi wa bwawa

Mradi huo wa kilimo cha umwagiliaji unatarajia kuchukua takribani hekari 8000 ambapo ndani yake ndipo yanapatikana mashamba ya wananchi wanao hitaji kufahamu hatima ya mashamba hayo. Na Victor Chigwada. Uelewa wa wananchi wa Kijiji cha Membe wilayani chamwini kuhusu Mradi…

11 September 2023, 10:08 pm

Ujenzi daraja la Magufuli wafikia 76%

Serikali imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Magufuli la Busisi-Kigongo jijini Mwanza ambalo linatarajiwa kukamilika mapema mwaka kesho. Na Mrisho Sadick – Geita Ujenzi wa daraja la Magufuli la Kigongo Busisi jijini Mwanza umefikia asilimia 76…

6 September 2023, 2:27 pm

Upungufu wa madarasa Vilindoni wasababisha mrundikano wa wanafunzi

Jumla ya madarasa 19 yanahitajika kujengwa katika shule hiyo ili kupunguza mrundikano wa wananfunzi darasani. Na Mindi Joseph. Upungufu wa madarasa katika shule ya msingi Vilindoni umesababisha mrudukano wa wananfunzi darasani. Darasa moja wanafunzi wanakadiriwa kukaa 90 hadi 100. Hapa…