Mazingira
1 Febuari 2024, 3:02 um
Miti milioni kumi kupandwa Katavi kutunza mazingira
Halmashauri zote zilizopo mkoani Katavi kuhakikisha zinapanda miti milioni 2. Picha na Festo kinyogoto Na John Benjamin-katavi Halmashauri zote na mamlaka za Mistu mkoani Katavi zimetakiwa kuhakikisha zinapanda Miti kwa ajili ya kutunza mazingira na uoto wa AsiliHayo yamebainishwa na…
31 Januari 2024, 12:47
Wananchi watakiwa kuendeleza maeneo yao Kasulu
Wananchi watakiwa kuendeleza maeneo yao ili yasitumike kutupwa takataka. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendeleza maeneo yao ya viwanja ambayo yako wazi ili kuepuka kuwa na vichaka ambavyo haviakisi dhana ya usafi…
31 Januari 2024, 07:36
Zoezi la uzoaji taka lasuasua baadhi ya maeneo Jijini Dodoma
Ni hivi karibuni Dodoma Tv iliripoti uwepo wa mkusanyiko wa taka katika maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la Nyerere square. Na Thadei Tesha. Kuharibika kwa magari ya kuzolea taka katika maeneo mbalimbali Jijini Dodoma imetajwa kuwa miongoni mwa sababu inayochangia baadhi…
29 Januari 2024, 13:04
Waharibifu vyanzo vya maji kukiona
Bodi ya maji Bonde la Pangani kwa kushirikiana na Jumuiya ya watumia maji mto Kware wamewataka wananchi katika kata ya Masama Magharibi wanaoharibu vyanzo vya maji kwa kukata miti kuacha mara moja na badala yake watunze vyanzo hivyo. Na Elizabeth…
Januari 22, 2024, 8:36 um
Zaidi ya miti 2,000 yapandwa Makete kutunza, kuhifadhi mazingira
katika kuendeleza juhudi za utunzaji wa mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Makete kupitia Idara ya Mazingira imeendelea kutoa elimu kwa jamii ikiwa nipamoja na kupanda miti zaidi ya Elufu mbili (2000) katika kata ya Tandala na Aldo Sanga Zoezi la…
18 Januari 2024, 12:16
Wananchi Hai watakiwa kutunza mazingira
Mkuu wa wilaya ya Hai Amiri Mkalipa awataka wananchi kutunza mazingira. Na Elizabeth Mafie Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kulinda na kutunza mazingira ili kuhifadhi vyanzo vya maji dhidi ya uharibifu na kubaki salama kwaajili ya vizazi vijavyo. Kauli…
18 Januari 2024, 08:44
Kongwa watakiwa kushiriki katika utunzaji wa mazingira
Zoezi la upandaji miti limehusisha kamati ya usalama ya Wilaya, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, wananchi na watumishi ambapo Mhe. Mayeka alipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa zoezi. Na Alfred Bulahya.Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka…
17 Januari 2024, 1:54 um
Tanganyika DC yazindua mradi wa urejeshwaji endelevu wa mazingira
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akipanda Mti akikaimu kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Deus Daudi lengo la mradi huo ni kuimarisha usimamizi wa pamoja wa mazingira na urejeshwaji wa ardhi iliyoharibiwa ili kujenga uhimilivu wa…
16 Januari 2024, 11:07
Miche 1000 kupandwa shule wilayani Rungwe
Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Rungwe ikishirikiana na wadau wengine (TFS &Bonde la maji ziwa Nyasa) imeungana na Watanzania wengine katika zoezi la upandaji wa miti. Zoezi hili limefanyika katika shule mpya ya sekondari Isaka iliyopo katika kata…
16 Januari 2024, 10:25
Mwaka wa fedha 2023/2024 Rungwe kupanda miti milioni1.5
Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Rungwe inatarajia kupanda miche ya miti Millioni 1.5 katika mwaka huu wa fedha 2023/24. Hii inajumuisha miche iliyopo katika kitalu cha Halmashauri kilichopo Tukuyu mjini na mingine kupitia wadau mbalimbali. Katika kitalu cha…