Radio Tadio

Mazingira

29 September 2023, 12:21 pm

WWF watua kwenye kitalu cha miti cha WUAs-Butiama

Na Thomas Masalu Watalaamu wa WWF wametembelea kitalu cha miti cha Jumuiya ya watumia maji ya mto Mara kusini ( WUAs) kilichopo Kijiji cha Kwisaro kata ya Nyamimange wilaya ya Butiama katika lengo la kujionea shughuli zinavyoendelea katika utunzaji wa…

26 September 2023, 7:27 pm

BUCKREEF kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti

Mgodi wa BUCKREEF umeendelea kupanua wigo katika kuzalisha miche ya miti ili kuhakikisha mazingira yanaendelea kutunzwa katika kupanda miti maeneo yanayozunguka mgodi. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kutatua changamoto ya uharibifu wa mazingiara ikiwemo ukataji miti kiholela, Mgodi Wa…

13 September 2023, 11:59 pm

Maadhimisho ya 12 ya Mto Mara yazinduliwa rasmi leo

Mamlaka za serikali na wadau wengine wa Mazingira wametakiwa kudhibiti matumizi ya maji yasiyoendelevu na kudhibiti vyanzo vya maji ili kuulinda Mto Mara Na Edward Lucas Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara yamezinduliwa rasmi leo katika Viwanja vya…

13 September 2023, 6:05 pm

Mtanda awapongeza WWF kwa uhifadhi Mto Mara

Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amelipongeza Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF na wadau wengine katika juhudi wanazozifanya katika kuulinda Mto Mara Mtanda ametoa kauli hiyo leo wakati wa zoezi la upandaji wa…