Radio Tadio

Mazingira

16 October 2023, 18:03

Serikali, FAO wazindua kampeni ya upandaji miti Kigoma

Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini, serikali kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani FAO wamezindua zoezi la upandaji miti ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Na, Tryphone Odace Shirika la Chakula na Kilimo la…

15 October 2023, 1:32 pm

Pangani watakiwa kufanyia kazi taarifa za majanga ya asili

“Ni vyema wananchi wakachukua tahadhari wanapoona viashiria vya majanga na pia kuepuka kujenga nyumba kiholela.” Na Catheline Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuchukua tahadhari wanapopewa taarifa za uwepo wa viashiria vya matukio ya majanga ya asili ili kuepusha…

14 October 2023, 1:56 pm

Serikali yatoa maagizo kukabiliana na el nino

Kikao hicho kilihitimishwa kwa Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko kukabidhi Mpango wa Taifa wa Dharura wa kuzuia na kukabiliana na madhara ya El nino kwa mawaziri na viongozi waliohudhuria mkutano huo. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya hali ya hewa nchini…

October 10, 2023, 4:14 pm

Miti ya matunda yapandwa kupunguza udumavu wilayani Makete

Ikumbukwe kua Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka vipaumbele kwa mwaka 2023/2024 kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa hifadhi na usimamizi wa mazingira na kuchukua hatua za kupunguza uharibifu wa mazingira na Aldo Sanga Katika kuunga mkono juhudi…

October 7, 2023, 7:37 am

Dc Ileje awapongeza wananchi wa Itale kulinda Misitu

Na Denis Sinkonde, Ileje Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Itale Kata ya Itale wilayani humo Kwa kufuata sheria na kanuni za kulinda utunzaji wa mazingira hususani Msitu wa Itale na…

6 October 2023, 1:34 pm

TARURA kuufungua mji wa Pangani kwa barabara za lami

Ukimulika nyoka unaanzia miguuni, kwahiyo tumeanza kujenga barabara za mjini kisha tutaenda kujenga za vijijini. Na Maajabu Ally. Uongozi wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA wilaya ya Pangani mkoani Tanga umesema unaendelea kuufungua mji huo kwa kujenga…

1 October 2023, 5:47 pm

Madereva watakiwa kuchukua tahadhari katika msimu wa mvua

Madereva wa magari ya abiria na binafsi mkoani Katavi wametakiwa kuwa makini na kuchukua tahadhari katika kuelekea msimu wa mvua za masika KATAVI.Madereva wa magari ya abiria na binafsi mkoani Katavi wametakiwa kuwa makini na kuchukua tahadhari katika kuelekea msimu…