Mazingira
1 Agosti 2025, 11:43
Viongozi wa dini watakiwa kuepuka ubaguzi Kigoma
Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewaasa viongozi wa dini kuwa na mshikamano wa pamoja katika kuwahumia waumini na jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Viongozi wa umoja wa makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa…
16 Julai 2025, 12:07 um
Emboreet sekondari yageuza kinyesi kuwa nishati ya kupikia
Shule ya Sekondari Embooreet iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara, inatumia bayogesi inayotokana na kinyesi cha wanafunzi kama chanzo kikuu cha nishati ya kupikia. Teknolojia hiyo, iliyosimikwa na Eclat Foundation kwa kushirikiana na Kamatec ya Arusha, imelenga kupunguza utegemezi wa kuni,…
7 Julai 2025, 12:19
Viongozi wa dini watakiwa kutokuwa na chuki
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Wesern Tanganyika amewataka wachungaji kuwatumikia kwa upendo. Na Hagai Ruyagila Wachungaji na viongozi wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Western Tanganyika (DWT), wametakiwa kuachana na roho ya chuki na migawanyiko miongoni mwao, badala…
6 Julai 2025, 02:06
Je, ni kwanini wanafungiwa ndani?
Elimu jumuishi itasaidia kutoa fursa kwa watoto wenye ulemavu kupata haki zao. Na Cosmas Clement Wazazi na walezi wa watoto wenye ulemavu wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa ushirikiano kwa serikali katika kuwafichua watoto wao na kuwapa fursa ya kupata…
26 Juni 2025, 2:07 um
Waandishi wapigwa msasa Katavi
Baadhi ya waandishi wa habari wakipatiwa mafunzo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo ya leo yatatusaidia katika kuandaa habari kwa umakini” Na Anna Mhina Zaidi ya waandishi wa habari 20 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya lishe bora pamoja na ukatili kwa…
26 Juni 2025, 10:38
Fahamu faida watoto wenye mahitaji maalumu kupata elimu
“lengo la mafunzo hayo ni kuwaibua watoto wenye mahitaji maalumu ili kutambulika na kujumuishwa katika elimu sawa na watoto wengine.” Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imeanza utekelezaji wa mpango wa elimu jumuishi chini ya mradi wa Shule…
5 Juni 2025, 5:46 um
Lishe bora kinga ya ugonjwa wa macho kwa watoto
Mratibu wa huduma ya macho dokta Japhet Chomba. Picha na Anna Mhina “Tunaomba tupewe elimu ya lishe bora” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iwape elimu ya kuwakinga watoto na…
26 Mei 2025, 16:03
Wanaume ni vichwa na viongozi kuweni kielezo cha kanisa Kasulu
“Wanapokutana wanaume wakatoliki na kufanya hafla mbali mbali ni moja ya kuendelea kujenga umoja ikiwemo kutiana moyo katika kuendelea kushiriki matendo ya huruma kwa kuwatunza wahitaji wenye shida mbalimbali” Na Mwandishi wetu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo…
20 Mei 2025, 4:27 um
Baraza la Amani Maswa wafanya kongamano kuliombea taifa, uchaguzi mkuu 2025
Lengo la Kongamano hili la Baraza la Amani ni kuwakutanisha Viongozi mbalimbali wa Dini na kukumbushana nafasi ya Viongozi hao katika kuleta amani hasa kuelekea uchaguzi mkuu utaofanyika mwaka huu pamoja na kuombea Rais Samia anapoongoza taifa kubwa kama Tanzania…
1 Aprili 2025, 5:27 um
Sheikh Kwezi: Wananchi acheni kuwaazimisha akili watu wengine
“Maneno ya wanasiasa yenye viashiria vya uvunjifu wa amani yasipuuzwe lazima tuweze kuchukua hatua kwa hao viongozi maana amani tuliyonayo Kuna nchi zingine huko kila kukicha wanatafuta amani na hawajui lini wataipata hiyo amani fikra zangu tu ivi kwani sheria…