Radio Tadio

Mazingira

10 November 2025, 8:00 am

Akili Unde: mfariji mpya au tishio liliojificha?

Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…

7 November 2025, 10:16 am

Makala ya kurunzi kuhusu matumizi ya AI

“Kutokana na uwezo wake wa kuboresha huduma katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, usafiri, na biashara, AI inatoa faida nyingi“ Na Dorcus Charles Katika ulimwengu wa leo, teknolojia ya Akili Bandia (AI) imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya…

15 October 2025, 15:53

Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…

21 September 2025, 8:56 pm

Machifu Songwe waombea uchaguzi

Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…

18 September 2025, 7:38 pm

Wananchi Geita waipongeza Storm FM kutimiza miaka 11

Storm FM imekuwa daraja la kuunganisha jamii ya Geita kupitia vipindi vyake vya elimu, michezo, habari na burudani, jambo ambalo limewasaidia kuongeza mshikamano. Na Boaz Azalia: Wananchi mkoani Geita wameipongeza Storm FM kwa kutimiza miaka 11 leo  tangu ianze kurusha…

8 September 2025, 14:43

Sangoma arudisha matunguli kanisani na kuokoka Uvinza

Wito umetolewa kwa waganga wa jadi kuacha kupiga ramli chonganishi kwenye jamii kwani zimekuwa zikileta uchonganishi kwa wananchi na kuchochea migogoro Na Sofia Cosmas Wakristo katika Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na imani za kishirikina na…

3 September 2025, 12:20

Wakristo watakiwa kuombea uchaguzi mkuu Kasulu

Wakati uchaguzi Mkuu ukitarajia kufanyika Oktoba 29, 2025, waumini wa kikristo wametakiwa kuendelea kuliombea amani Taifa ili uchaguzi ufanyike kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo Wilayani Kasulu, Mkoani Kigoma, wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maombi…

1 August 2025, 11:43

Viongozi wa dini watakiwa kuepuka ubaguzi Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewaasa viongozi wa dini kuwa na mshikamano wa pamoja katika kuwahumia waumini na jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Viongozi wa umoja wa makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa…

16 July 2025, 12:07 pm

Emboreet sekondari yageuza kinyesi kuwa nishati ya kupikia

Shule ya Sekondari Embooreet iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara, inatumia bayogesi inayotokana na kinyesi cha wanafunzi kama chanzo kikuu cha nishati ya kupikia. Teknolojia hiyo, iliyosimikwa na Eclat Foundation kwa kushirikiana na Kamatec ya Arusha, imelenga kupunguza utegemezi wa kuni,…

7 July 2025, 12:19

Viongozi wa dini watakiwa kutokuwa na chuki

Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Wesern Tanganyika amewataka wachungaji kuwatumikia kwa upendo. Na Hagai Ruyagila Wachungaji na viongozi wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Western Tanganyika (DWT), wametakiwa kuachana na roho ya chuki na migawanyiko miongoni mwao, badala…