Kilimo
4 Septemba 2023, 1:56 um
Wananchi walalamika kutolipwa fidia mradi wa bwawa Nagulo na Uhelela
Kwa kujibu wa viongozi hao wanasema kuwa mradi huu ulianza tangu mwaka 2021 ambapo lengo ni kuwasaidia wananchi wa eneo hilo kufanya shughuli ndogondogo za kilimo ikiwemo mbogamboga. Na Thadei Tesha. Wananchi katika kijiji cha Uhelela na Nagulo kata ya…
2 Septemba 2023, 2:13 um
Geita DC na mkakati wa kuongeza uzalishaji mpunga
Kutokana na mabadiliko ya tabianchi wakulima wilayani Geita wameishauri serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa chakula. Na Mrisho Sadick: Kuboreshwa kwa miundombinu ya kilimo katika halmashauri ya wilaya ya Geita itasaidia kuongeza uzalishaji wa…
29 Agosti 2023, 4:32 um
Dodoma wafurahishwa ongezeko la mtama sokoni
Kutokana na Shirika la Afya , mtama umeweza kuwa chakula muhimu katika kupambana na changamoto ya udumavu pamoja na unyafunzi kwa watoto. Na Astedi Bambora. Upatikanaji wa zao la mtama kwa wingi katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma kumewanufaisha…
24 Agosti 2023, 1:44 um
Zaidi ya asilimia 95 ya pamba yanunuliwa Bunda
Zoezi la ununuzi wa pamba linaelekea ukingoni na tayari kilo milioni saba na laki tatu na elfu hamsini na sita zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya tani elfu 7 za pamba tayari zimenunuliwa katika vituo…
Agosti 22, 2023, 10:12 mu
Mkulima Shinyanga amwangukia Waziri wa Kilimo ukame kwenye mashamba yake
Paul Kayanda amezungumza na mkulima Shauri Elias namna ambavyo anafanya shughuli zake za kilimo sambamba na changamoto zinazomkabili. Na Paul Kayanda Mkulima wa kijiji cha Lyagiti kata ya Lyabukande halmashauri ya Shinyanga vijijini, Shauri Elias Mbelele amemuomba Waziri wa Kilimo…
20 Agosti 2023, 3:02 um
Utata malipo ya tumbaku Nsimbo
NSIMBO Wakulima wa zao la tumbaku halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameutaka uongozi wa kampuni ya ununuaji wa tumbaku ya Mkwawa kuharakisha kufanya malipo ya zao hilo. Wakizungumza na kituo hiki kwa nyakati tofauti wakulima hao wametaja kuwa ucheleweshwaji wa…
17 Agosti 2023, 2:02 um
Mazao 13 nchini yatajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani
Na Mindi Joseph. Jumla ya mazao 13 nchini yametajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani ikiwa ni hatua kubwa kutoka mazao machache ndani ya miaka 3 iliyopita. Hii ni kufuatia uhamasishaji wa matumizi ya mfumo huu kwa wananchi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji…
17 Agosti 2023, 8:17 mu
Kipindi: Jinsi kilimo cha umwagiliaji kilivyowakomboa wanawake wakulima Mkoani
13 Agosti 2023, 2:13 um
Wakulima, wafugaji Kojani wanyoosheana vidole
Baada ya migogoro ya muda mrefu kati ya wakulima na wafugaji katika shehia ya Kojani bado suala hili limekuwa kizungumkuti kutokana na kukosekana kwa ufumbuzi wa tatizo hilo. Na Mwiaba Kombo Wakulima shehia ya Kojani Wilaya ndogo ya Kojani mkoa…
10 Agosti 2023, 2:55 um
Masheha watakiwa kuyatumia maonesho ya nanenane kujiongezea elimu
Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…