Radio Tadio

Kilimo

2 Septemba 2023, 2:13 um

Geita DC na mkakati wa kuongeza uzalishaji mpunga

Kutokana na mabadiliko ya tabianchi wakulima wilayani Geita wameishauri serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa chakula. Na Mrisho Sadick: Kuboreshwa kwa miundombinu ya kilimo katika halmashauri ya wilaya ya Geita itasaidia kuongeza uzalishaji wa…

29 Agosti 2023, 4:32 um

Dodoma wafurahishwa ongezeko la mtama sokoni

Kutokana na Shirika la Afya , mtama umeweza kuwa chakula muhimu katika kupambana  na changamoto ya udumavu pamoja na  unyafunzi kwa watoto. Na Astedi Bambora. Upatikanaji wa zao la mtama kwa wingi katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma kumewanufaisha…

24 Agosti 2023, 1:44 um

Zaidi ya asilimia 95 ya pamba yanunuliwa Bunda

Zoezi la ununuzi wa pamba linaelekea ukingoni na tayari kilo milioni saba na laki tatu  na elfu hamsini na sita zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya tani elfu 7 za pamba tayari zimenunuliwa katika vituo…

20 Agosti 2023, 3:02 um

Utata malipo ya tumbaku Nsimbo

NSIMBO Wakulima wa zao la tumbaku halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameutaka uongozi wa kampuni ya ununuaji wa tumbaku ya Mkwawa kuharakisha kufanya malipo ya zao hilo. Wakizungumza na kituo hiki kwa nyakati tofauti wakulima hao wametaja kuwa ucheleweshwaji wa…

13 Agosti 2023, 2:13 um

Wakulima, wafugaji Kojani wanyoosheana vidole

Baada ya migogoro ya muda mrefu kati ya wakulima na wafugaji katika shehia ya Kojani bado suala hili limekuwa kizungumkuti kutokana na kukosekana kwa ufumbuzi wa tatizo hilo. Na Mwiaba Kombo Wakulima shehia ya Kojani Wilaya ndogo ya Kojani mkoa…

10 Agosti 2023, 2:55 um

Masheha watakiwa kuyatumia maonesho ya nanenane kujiongezea elimu

Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo  Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…