Jamii
3 Novemba 2023, 22:21
Bodaboda wengi siku hizi wanapenda mizigo,halafu hamuwi na mzigo mmoja
Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe Mhe. Solomon Itunda, ameelekeza kuanzishwa Chama cha maafisa usafirishaji Wilaya ya Songwe ambacho kitahusika na uratibu wa masuala yote yanayohusu madereva wanaotoa huduma za usafiri na usafirishaji huku akiwataka kuzingatia Sheria za Barabarani…
Novemba 1, 2023, 1:19 um
Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete
baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…
1 Novemba 2023, 11:21 mu
Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono
Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…
25 Oktoba 2023, 1:02 um
Watendaji wa serikali watakiwa kutatua kero za wananchi
Katika Mkutano huo Mkuu wa wilaya ya Bahi Mh Godwin Gondwe aliambatana na kamati ya usalama ya wilaya hiyo. Na Bernad Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwa amewaagiza watendaji wa Serikali katika ngazi zote wilayani humo kuhakikisha…
25 Oktoba 2023, 9:28 mu
Wananchi Dodoma wakemea tabia ya baadhi ya watu kuwatetea wahalifu
Hayo yanajiri kutokana na matukio mbalimbali ya kihalifu yanayoendelea katika mitaa ya jiji la Dodoma. Na Aisha Shaban. Baadhi ya wanachi wamezungumzia tabia ya baadhi ya watu katika mitaa kupenda kuwatetea wahalifu na kwenda kuwawekea dhamana wakikamatwa hali inayosababisha uhalifu…
20 Oktoba 2023, 5:57 mu
RPC Katavi awataka wazazi, walezi kuzingatia malezi
Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amewataka wazazi na walezi kuzingatia mahitaji muhimu ya Watoto . Na Ben Gadau – KataviKamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amewataka wazazi na walezi kuwatimizia mahitaji…
18 Oktoba 2023, 10:53 mu
Nyumba zaidi ya 100 zaezuliwa na upepo Nyang’hwale, mmoja afariki
Tangu kuanza kwa msimu wa mvua mwaka huu imeendelea kuleta madhara kwa baadhi ya wananchi Mkoani Geita huku chanzo cha madhara hayo ni uduni wa makazi. Na Mrisho Sadick: Mvua iliyoambatana na upepo mkali iliyodumu kwa dakika 30 imeezua na…
16 Oktoba 2023, 6:24 um
Viongozi wa mitaa watakiwa kushirikiana na viongozi wa dini
Pamoja na hayo, kanisa hilo linategemea kupitia ushirikiano waliongia na Foundation for Hope utaongeza hali ya upatikanaji huduma za kiroho kwa ujenzi wa makanisa, sambamba na huduma za kijamii ikiwemo zahanati, uchimbaji wa visima vya maji na mahitaji mengine .…
11 Oktoba 2023, 10:46 mu
Jamii yaeleza inavyojihusisha kumkomboa mtoto wa kike
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 19 Desemba 2011 ulipitisha Azimio na kutangaza kwamba, kila tarehe 11 Mwezi Oktoba itakuwa ni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike Duniani kote, dhamira ikiwa ni kutambua haki za mtoto wa kike…
6 Oktoba 2023, 16:05
DC Uvinza apiga marufuku ramli chonganishi kwenye jamii
Serikali imesema itawachukulia hatua za kisheria wanaoendelea kupiga ramli chonganishi kwenye jamii wilayani Uvinza mkoani Kigoma. Na Kadislaus Ezekiel Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Dinna Mathamani amethibitisha kufariki watu watatu wakazi wa kijiji na kata ya Kazuramimba wilayani Uvinza mkoani…